supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
konda anamwambia dereva "NIULIZIE HUYO MZUNGU KAMA ANASHUKA POSTA" dereva kajibu 'waambie abiria wakusaidie mm jino linaniuma' [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Idea ngumu sana hii,Baada ya kufunga ndoa siku ya pili wakapelekana kwa hakimu...
Hakimu akawauliza nini tena?
MKE AKASEMA:
Mi nilifikiri iko hivi
==========>
Ama hivi
=======>
Kumbe iko hivi
==>
Bora talaka tu...
MUME NAE AKASEMA:
Nami nilifikiri iko hivi
( )
Ama hivi
( ___ )
Kumbe iko hivi
(______)
Bora nimpe talaka.
Sipendagi Ujinga mimi[emoji125] [emoji125] [emoji125]
We jamaa kibookkoo,Kuna jamaa moja alienda kuiba kuku alipoona anafuatwa akakimbilia mtoni.
Halafu jamaa kufika mtoni akamtoa kuku manyoya kisha akamrusha kwenye maji.. Watu walipofika wakamuuliza: kuku yuko wapi!?.
Mwizi: kaenda kuogelea yule kule amenipa nguo zake nimshikie akawaonesha manyoya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yalaaaaahh ..!!Baba, mama na mtoto wao wamelala, ghafla usiku
MTOTO: mamaa nataka nikakojoe
MAMA:chukua tochi
mtoto akanyoosha mkono anatafuta tochi kumbe baba kalala uchi mtoto akashika naniihino ya baba yake akidhani tochi.
BABA(kwa kuzuga):we acha hiyo haina betri. [emoji12][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]