When Kenya runs away from UN resolution, it’s time to assess the quality of our leadership

Huu ushabiki sijui kweli tunashirikisha akili zetu. Kwahiyo Hao Wapalestina kwa vile ni Waislamu hawastahili kuishi hapo?

Usiruhusu hisia kutawala akili yako, kwahiyo tangu hiyo Israeli iwepo kwanini haikuufanya mji wa Jerusalem kuwa Capital yake? Huoni hata wao waliona kuna tatizo furani ndo wakaupeleka Tel Aviv? Baada ya kuona Wapalestina wametengwa na wenye nguvu ndo wanaanza kufanya wayatakayo bila kujali haki za watu wengine.
 
Aisee una akili sana ww, wenzako watakuponda ila ukweli wanaujua!
 
sijawahi ona mKenya kama huyu anaye value humanity and equity. your fellow Kenyans will stone you coz you support something that is not your culture.

good brother, let's go on embracing love and togetherness.
Hahah hajielewi huyo!
 
Kimbili na barozi ndo nn??[emoji3] jaribu kuficha ujinga mswahili!
 
Wewe na wakenya wenzako ni wanafiki Sana, kama nchi ilitakiwa kuwa wazi, wanakubaliana na Trump au la, sio kuacha watu kwenye mabano kisa misaada, kesho ndoa ya jinsia moja inawafuata
 
Stupidity thread
 
Pesa zangu zinaniwezesha kutembeza makalio hiyo nchi yako ya LDC.
Kwanini usijenge choo kwanza kabla ya kusafiri, au umezoea kujisaidia katika mifuko ya plastic?, kumbuka siku hizi imepigwa marufuku haipatikani Kenya.
 
Bora nilinde heshima yangu kuliko kujifanya kidume kumbe unasurvive kwa kutumiwa na kidume mwenzio
Hata huyo huenda ana bwana USA, wanaume wa Kenya wanaolewa kwa wingi sana huko US.
 
Mtu ajisemee pande yake... sema Tanzania ni masikini hohe hahe Tena wa kutupwa sio kujishikilia na Nchi zingine so as not to feel lonely au kujifariji.
I'm nt just talking, I have stats to prove it. You are just talking what you have been fed since childhood by your primitive, tribal society that is known for dome-giving.
But it's the brown-nosing that we are talking about here and I know you are ashamed of it.
 
Sasa tuna nini cha kujifunza kutoka tz? Nchi ambayo haina hata clear foreign policy? Kimataifa, tz hata haijulikani iko bara gani. We got respect home and abroad man. What is Tanzania? Just a local confused banana country led by a dictator with a funny forehead .
 
Kwanini usijenge choo kwanza kabla ya kusafiri, au umezoea kujisaidia katika mifuko ya plastic?, kumbuka siku hizi imepigwa marufuku haipatikani Kenya.
Umesahau Tz inaorodheshwa ya 8 kati ya nchi zisizo na vyoo duniani mzima...yani 80%ya Tz wanajisaidia pale ubungo na kwa beach.
 
Provide us with your stats man.
 
Without Tanzania, Africa wouldn't't the way it is today, all freedom fighters started their liberation movements from Tanzania, you mention any, tell us you Kenyans, what have you done for Africa?

Sent from my MediaPad T1 8.0 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…