Where Is Ontario?

yupo zake insta kule anapost mapicha kwa raha zake.....
 
Kama ndo haka basis heshima ziende kwake,kiwanda sio lazima ujenge likitu likubwaaa hats huyu ni kiwanda Tayari,safi sana kijana kwa kutumia kichwa chako vizuri kujipatia maisha bora,sasa achana na hiyo kazi Fanya kazi halali,Tengeneza kipato halali ,saidia wasiojiweza,lipa kodi,Mungu atakuelewa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…