Where Is Ontario?

kuna mambo fulani huwezi kujifunza kama usipokubali kuwa yakupasa kujifunza. Iwe aliwapiga au mlijipiga wenyewe kwa uzembe wenu still jamaa kaonyesha ana uwezo mkubwa sana wa kuifiikirisha akili yake katika kutafuta mkwanja. Na kilichowapata wengi humu ndani ni kielelezo tu cha ukomo wenu wa kufikiri. Naendelea kujifunza kupitia hustle zake, kama ni kweli aliwapiga basi jiandaeni kupigwa nitakapohitimu.
 
Jamaa nilikuwa namkubali kwa story zake nje ya forex, jamaa alikuwa kichwa sana

jamaa kwenye uandishi wa story yupo vizuri
 
Sidhani kuwa ni mjanja au ana akili sana! Labda ukimweka kwa standard za akili za vijana wengi wa kitanzania ambao kwangu wako below standard ya nchi nyingi! Mimi tangu post yake ya kwanza tu alivyoelezea wala sikupata shida kuona ni utapeli!
 
hahaa
 
Hahah jamaa ni smart mind alieweza kuwa outsmart raia karibia buku. Kwa kujumlisha na tour alioipiga nchi nzima baada ya wao kukodisha floor ya Jangid plaza.

Halafu akawatumia wa south ili kusudi mumuone kuwa yupo real. Tanzania ni nchi pekee ambayo kumtapeli mtu kwa kutumia wageni kama kielelezo cha umakini wa biashara ni rahisi mno.

Mfano naamua kusajili kampuni kwa lengo la kuwapiga watu pesa, nakuja na model tofauti ya biashara kisha na introduce kwa mtindo ule ule wa kulambisha asali watu kumi ili waniitie watu 100 kisha nawafyatua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…