Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kuwa ni mjanja au ana akili sana! Labda ukimweka kwa standard za akili za vijana wengi wa kitanzania ambao kwangu wako below standard ya nchi nyingi! Mimi tangu post yake ya kwanza tu alivyoelezea wala sikupata shida kuona ni utapeli!kuna mambo fulani huwezi kujifunza kama usipokubali kuwa yakupasa kujifunza. Iwe aliwapiga au mlijipiga wenyewe kwa uzembe wenu still jamaa kaonyesha ana uwezo mkubwa sana wa kuifiikirisha akili yake katika kutafuta mkwanja. Na kilichowapata wengi humu ndani ni kielelezo tu cha ukomo wenu wa kufikiri. Naendelea kujifunza kupitia hustle zake, kama ni kweli aliwapiga basi jiandaeni kupigwa nitakapohitimu.
hahahaaaKawapiga wazee wa mteremko!
Alafu si mlikuwa mnasemaga"jamaa ni very smart"
Tulieni tuli msubirini anafanya mpango Kuja kivingine
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Si unajua watu washazoea kupata hela ya msesereko kwa hyo wakisikia kuna mchongo sijui kwa mwezi unapata $4000 hku umekaa tu kitandani lazima waingie kingi! : 😀
hahahaaaa ...mwenyewe anasema alipo mwambia demu wake kuwa yeye nimkulima tu " daaahh drama zikaanzia hapojina lake ni noumah sana yaani refu afu linachekesha
hahahaha jamaa ni noumaaaah sanqhahahaaaa ...mwenyewe anasema alipo mwambia demu wake kuwa yeye nimkulima tu " daaahh drama zikaanzia hapo
hahaakuna mambo fulani huwezi kujifunza kama usipokubali kuwa yakupasa kujifunza. Iwe aliwapiga au mlijipiga wenyewe kwa uzembe wenu still jamaa kaonyesha ana uwezo mkubwa sana wa kuifiikirisha akili yake katika kutafuta mkwanja. Na kilichowapata wengi humu ndani ni kielelezo tu cha ukomo wenu wa kufikiri. Naendelea kujifunza kupitia hustle zake, kama ni kweli aliwapiga basi jiandaeni kupigwa nitakapohitimu.
ilikuwa" hivyo kwangu mimi pia ".Sidhani kuwa ni mjanja au ana akili sana! Labda ukimweka kwa standard za akili za vijana wengi wa kitanzania ambao kwangu wako below standard ya nchi nyingi! Mimi tangu post yake ya kwanza tu alivyoelezea wala sikupata shida kuona ni utapeli!
mnooo
BUY EURUSD now
FOREX TRADW: BIASHARA AMBAYO HAKUNA BANK ITATAKA UIJUEKwani jamaaa alifanyaje