Whistleblower: Kashfa nzito suala la sukari, wamo vigogo wazito

wahuni ndio wanamfitinisha huko ccm sisi yetu kushangilia tu.
 
Ukishakuwa mpigaji unakosa guts za kuwatia hatiani wengine, sababu utahofia nawe madhambi yako yatawekwa hadharani...

CCM kuna madudu sana mkuu...
Ndio maana hawawezi kurekebisha matatizo. Kila mtu ana yake.
 
wahuni ndio wanamfitinisha huko ccm sisi yetu kushangilia tu.
Huku kwetu CCM tupo makini na wahuni. Wanajitahidi sana, maana mpaka sasa Mama alikuwa hajastuka, ila kaanza kuusoma mchezo. Kikubwa Mama ni mtu muadilifu sana tena sana hata Mzee JK ni waadilifu tatizo ni ushikaji tu. Dkt Magufuli hakuwa na urafiki linapokuja mambo ya kitaifa.
 
Halafu ameandika:
Magufuli akafirki dunia. Haraka haraka Mfugale akatuma hela iliyobakia kwenda Malaysia, yani bilioni 169. Hayo malipo yalipata baraka za Waziri Mkuu Majaliwa na yeye alipewa shilingi bilioni 4.6.
Yeye anadhani malipo ya bilioni 169 ni kama kwenda kulipia soda kwenye duka la Mangi! Process ni ndefu na Mama Samia angeweza kuisimamisha kama alivyoomba uchunguzi wa Benki Kuu!
Haache kumchafua Mama na wengine!
 
Wewe ndio muongo na mpotoshaji..ulikua wapi kusema haya mwanzoni..baada ya kuona wizi wenu uaanikwa ndio unakuja na utetezi wa kipumbafu..haya mambo peleka huko fbk sio Jf huku watu wanajielewa na wanajua kuhoji.

#MaendeleoHayanaChama
 
Halafu ameandika:

Yeye anadhani malipo ya bilioni 169 ni kama kwenda kulipia soda kwenye duka la Mangi! Process ni ndefu na Mama Samia angeweza kuisimamisha kama alivyoomba uchunguzi wa Benki Kuu!!
Hapo hajazungumzia process za malipo. Amesema malipo yalifanyika.
 
Tatizo Samia naye ni sehemu na zao la ufisadi, yuko mikononi mwa mafisadi na ananufaika nao. Dawa pekee ingekuwa ni katiba ya wananchi lakini mafisadi wanajua katiba hiyo itawaumiza, hawako tayari kuona inapatikana. CCM tulishambiwa kuwa ni ukoo wa panya
 
Nanukuu: "Hao mabwana wakamuhakikishia Magufuli kupata chake, naye akaingia tamaa"😁😁😁

Alieandika hii barua ni punguani kwa sababu hadi yeye ambae ni kapuku anapata taarifa hizi maana yake ni kwamba Rais wa nchi ambae ana intelijensia ya hali ya juu tayari ana taarifa hizi.

Rais anayajua yote haya ila anakula kimya kwa manufaa yake.Either na yeye anapata chake cha juu au anakaa kimya kulinda urais wake ambao hauna kibali cha wananchi.

Mwandika barua ungekuwa na akili badala ya kumwandikia Rais barua hii ulipaswa utuandikie sisi wananchi hii barua ambao ndiyo wenye nchi kisha utushauri kuwa tuiondoe CCM madarakani kwa nguvu kwa kuwa CCM ni mafisadi.Ungefanya haya ungekuwa na akili.
 
Dini Ni mwamvuli wa kuwatia Moyo masikini
 
Dini Ni mwamvuli wa kuwatia Moyo masikini

Kama huamini ni wewe ila bila dini naona tungekuwa kama wanyama kabisa

Dini ni imani ila wengi wanaikimbia na kufuata mengine
Ni maamuzi yako kufanya mema au mabaya
Umasikini hauhusiani na unachoamini

Umasikini sio wa kuomba bali kuukemea na pia tunasema eeh Mungu tuepushe na umasikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…