wahuni ndio wanamfitinisha huko ccm sisi yetu kushangilia tu.Tatizo njia mnayotumia siyo sahihi. Mama ndiye rais na ndiye mpeperusha bendera wetu wa 2025, ila nyie mnafanya kila mbinu kuhakikisha mnamfitinisha na wapiga kura. Mnatunga uongo mwingi wa ufisadi ili awamu ya 5 ionekane ilikuwa fisadi ili mje kusema Mama alikuwa sehemu ya ufisadi hafai. Kikubwa tumewastukia lazima Mama na Dkt Magufuli tuwatetee kwa nguvu zetu zote. Awamu ya 5 ilikuwa ni serikali ya kizalendo sana
Waliopiga wawajibishwe kwanza. Na pilato akipiga tutamsema
Ndio maana hawawezi kurekebisha matatizo. Kila mtu ana yake.Ukishakuwa mpigaji unakosa guts za kuwatia hatiani wengine, sababu utahofia nawe madhambi yako yatawekwa hadharani...
CCM kuna madudu sana mkuu...
Huku kwetu CCM tupo makini na wahuni. Wanajitahidi sana, maana mpaka sasa Mama alikuwa hajastuka, ila kaanza kuusoma mchezo. Kikubwa Mama ni mtu muadilifu sana tena sana hata Mzee JK ni waadilifu tatizo ni ushikaji tu. Dkt Magufuli hakuwa na urafiki linapokuja mambo ya kitaifa.wahuni ndio wanamfitinisha huko ccm sisi yetu kushangilia tu.
Halafu ameandika:Huyu jamaa katunga uongo na ni mnafiki kabisa. Mh. Majaliwa ni muadilifu sana na Mama Samia ni muadilifu sana. Mleta habari lengo lake ni kuichafua serikali ya Mama Samia. Akikubali tu watabadili gia, mtoto akikunyea mkononu unajisafisha hukati mkono, ila watasema Mama nayeye alikuwa sehemu ya uovu hivyo hafai na yeye ni mwizi. Yaani Mama ajue genge analohusika nalo la Msoga ni hatari sana tena sana. Arejee Salim Ahmad Salim walivyomtungia mpaka kitabu na wakamuita mhizbu na walienda zenj kuzindua kitabu cha kumdhalilisha. Mama achana na akina Makamba na Nape ni wahuni. Mipango yao ni noma, juzi kati hapa wamemnyamazisha msukuma kwa kumpatia PhD fake, sasa msukuma hawezi kujipambanua tena maana kila akiropoka watasema PhD fake. Hahahah
Yeye anadhani malipo ya bilioni 169 ni kama kwenda kulipia soda kwenye duka la Mangi! Process ni ndefu na Mama Samia angeweza kuisimamisha kama alivyoomba uchunguzi wa Benki Kuu!Magufuli akafirki dunia. Haraka haraka Mfugale akatuma hela iliyobakia kwenda Malaysia, yani bilioni 169. Hayo malipo yalipata baraka za Waziri Mkuu Majaliwa na yeye alipewa shilingi bilioni 4.6.
Wewe ndio muongo na mpotoshaji..ulikua wapi kusema haya mwanzoni..baada ya kuona wizi wenu uaanikwa ndio unakuja na utetezi wa kipumbafu..haya mambo peleka huko fbk sio Jf huku watu wanajielewa na wanajua kuhoji.Wewe jamaa ni liongo na linafiki. Yaani ktk kujiita mnyetishaji ni muongo kabisa. Huo mradi kwanza ulikwama kwa sababu kuna watu walileta feasibility study ya kubumba na ya kifisadi serikali ikaamua kufumua na kufanya upya. Na hiyo ndiyo sababu ya prof kuondolewa kwa sababu alitoa kazi ya kuandaa plan kishikaji na hao ma prof wa udsm walijifungia ndani na kuandika andiko. So ujue serikali ya Dkt Magufuli ilikuwa makini sana. Acha kupotosha. Huu ujinga wako ni wakitoto sana, kila ulichoandika ni cha kutunga na ni uongo. Nimepuka tu hint kidogo ya kilichoanza mi najua mpaka mwisho wewe muhuni muhuni usipotoshe. Mnataka Mama kumjaza uongo ili afanye kama kwenye mkataba wa meli, wahuni nyie.
Hapo hajazungumzia process za malipo. Amesema malipo yalifanyika.Halafu ameandika:
Yeye anadhani malipo ya bilioni 169 ni kama kwenda kulipia soda kwenye duka la Mangi! Process ni ndefu na Mama Samia angeweza kuisimamisha kama alivyoomba uchunguzi wa Benki Kuu!!
Chini ya Rais wa wanyonge tumepigwa sanaHali inatisha
Dini Ni mwamvuli wa kuwatia Moyo masikiniKama wanaamini siku ya mwisho na iwe hivyo
Ila kama wote wamo katika ufisadi huu tutajua mbele
Umewataja mpaka waliotangulia (wafu) sasa je unafikiri Mama hajui haya?
Hapo kuna Seif, Mama na PM wote waislam na Ramadhan imebaki miezi kadhaa
Tutaona kama hii sukari itashuka au ndio wataendeleza kutengeneza hela za HARAM huku wakiwa wamefunga mwezi mtukufu
Subhanaa Allah eee Mwenyezi Mungu tupe Imani Thabit
Tamaa mbele mauti nyuma mlikumbuke hili kuwa hela ni mapambo tu
Kama tuhuma ni za kweli basi mbele ya Mungu hata mama haponi
Hakuna shaka HanaSamia Ni mnyenyekevu, na Hana chembe ya ufisadi
Dini Ni mwamvuli wa kuwatia Moyo masikini