Whistleblower: Kashfa nzito suala la sukari, wamo vigogo wazito

Whistleblower: Kashfa nzito suala la sukari, wamo vigogo wazito

Yule majaliwa hafai kabisa sijui kwa Nini mama alikunaliana naye kuwa aendelee kuwa pm. Alivyonishangaza ni pale aliponiletea majina yake eti nihakikishe yanapita kipindi kile afasi za ualimu elfu 13 zimetangazwa. Mana yake anachikiongeaga Ni tofauti kabisa na anachokitenda. Yuko pale kwa ajiri ya kumuangusha mama. Mama ashtuke mapema
PM siyo msafi, hata kwenye michezo, yeye ndo alikuwa Master Mind wa Karia ili aendelee kuwa raus wa TFF. Hata zile Harrasment za waliokuwa wakichuana na Karia. PM yuko nyuma ya ujinga ule.

Kumbuka hata alivyopita bila kupingwa kule jimboni kwake, uhuni aliowafanyia wagombea wa ACT na Chadema.

PM hafai, abadilushwe!
 
Mwambie huyo mchambuzi alete ushahidi wa maelezo yake. Mbona Hutaki Unaacha alikuwa anatupa hata na account namba za benki pesa zilipopita, siku hata saa na nani alipokea hizo fedha!? Watu watoe tuhuma kwa ushahidi usiotiliwa shaka. Vinginevyo, huku ni kuchafuana kwa maslahi binafsi.
Ingekuwa ni rahisi hivyo hata wewe ungefanya hiyo kazi.
 
Nashukuru niliyoweka moyoni yamepata msemaji watz amkeni kuna watu wanajifnya wazalendo kumbe ni unafiki mtupu kuna mambo mnaweza mlaumu mama bure kumbe kuna watu wanamwangusha Sana.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Sijawahi wala sitakaa nimfikirie Majaliwa kama mtu mwema kwa hili Taifa na waru wake. Mungu anisamehe ila namuona Majaliwa kama mtu mwenye roho mbaya, mnafiki, mzandiki na mwenye tamaa. Hajawahi kuwa mkweli kwa Taifa. Hata sasa namuona ndie masta mind wa anguko la Mama. Ana jionyesha kwake kama mtu mwema lakini hafai. Muda utaongea. Nani alijua yeye na Jenister ndio wako nyuma ya sakata la sukari? Bado ikija ya mafuta ya kula na mafuta ya gari utamkuta Majaliwa.
Tulimpigia Mama aanze na safu yake akaona watu wana mfundisha kazi. Akabeba uchafu wa mwenda kuzimu. Sasa wazimu una mkuta. Amebaki kusema hato kubali wakati amesha kubali. Hata madudu yaliyopo bandarini ukifuatilia mkono wa Majaliwa upo. Makesi ya hovyo mahakamani Majaliwa yupo.. Say all evils lazima yupo..
Msma alitakiwa achague PM mpya, nilishangaa kuendelea na wa aliyekuwepo
 
Mada zingine weka upumbavu wako mfukoni mwako,hii mada it got nothing to do with politics ,ni issue inayoongolea kuhusu watanzania wote regardless itikadi zao,welldone my whistleblower maana mpo wachache sana,kama ni kweli uliyoyaandika hapa Imani yako itakujibu,umenikimbusha uandishi wa gazeti la Rai(sio la sasa)na gazeti la mfanyakazi;shame on us kwa kuyafanya maisha ya mtanzania wa kawaida kuwa hovyo kabisa.
Huyu john ni mkuu wa wahuni na wapumba.vu, tumesoma hadi tunatoa machozi yeye anakuja na mambo ya kijinga
 
Msma alitakiwa achague PM mpya, nilishangaa kuendelea na wa aliyekuwepo
Yaani mpaka wengine wanahisi pana ndumba hatari,yaani ile siku anateuliwa na JPM kwa mara ya pili na kumnanga kuwa hana ubia na mtu alikuwa mpore sana.
 
Wewe jamaa ni liongo na linafiki. Yaani ktk kujiita mnyetishaji ni muongo kabisa. Huo mradi kwanza ulikwama kwa sababu kuna watu walileta feasibility study ya kubumba na ya kifisadi serikali ikaamua kufumua na kufanya upya. Na hiyo ndiyo sababu ya prof kuondolewa kwa sababu alitoa kazi ya kuandaa plan kishikaji na hao ma prof wa udsm walijifungia ndani na kuandika andiko. So ujue serikali ya Dkt Magufuli ilikuwa makini sana. Acha kupotosha. Huu ujinga wako ni wakitoto sana, kila ulichoandika ni cha kutunga na ni uongo. Nimepuka tu hint kidogo ya kilichoanza mi najua mpaka mwisho wewe muhuni muhuni usipotoshe. Mnataka Mama kumjaza uongo ili afanye kama kwenye mkataba wa meli, wahuni nyie.
Matusi ya nini. Weka uthibitisho ya unachoongea kama huna wewe ndiye muhuni.
 
Mwenzako ametoa ushahidi na uhusika wake na makampuni kadhaaa wewe unapinga kwa kutumia hoja gani??
Hojazake zimejichanganya changanya ukimsoma vizuri utaona amejikita kumchafua Marehemu tu.

Kama akiliyako imechangamka kidogo huwezi hata kumaliza kusoma uziwakemrefu kabla hujajua lengolake.
Ameunganisha unganisha uovuwa watuwengine ilikupata mtaji wa kustabilize malengoyake.
 
Kazi sana, tukiweka sheria ya kunyongwa/kupigwa risasi kwa ukweli ukibainika juu ya mtenda makosa, basi ndani ya miaka mitatu Taifa litaanza kuigwa na kufuata maadili na sio kuimba na kuhubiri amani
Ubaya ni pale ambako Jaji wa kutoa hukumu ni Ridhiwani Mrisho Kikwete halafu mtuhumiwa ni Khalfani J Kikwete😅

Tuanze na kukata hii chain ya kupeana vyeo kwanza kabla hatujaimpose wasimamizi wa sheria!
 
Siku CCM ikitoka madarakani, hii nchi maisha yatakuwa mazuri sana,maana michezo wanayoicheza ya kuhujumu nchi na kuwatesa wananchi itapungua ama kuisha ,
Wamekazana kuwafukuza wanao kula ganji 50,000 ,200,000, wakati wao wanapiga billions bila woga?
Walaaniwe kabisa
Kabisa yaani. Haya majitu ni mfano kamili wa shetani katika hii dunia. Hivi unapata raha gani ya kutumia pesa inayotokana na mipango ambayo inadhuru raia wasio na hatia na masikini kabisa.

Unatakiwa kuwa na roho mbaya sana kuwa na tabia za ki*en*e kama viongozi wa CCM..

Hata Hitler angefikiria mara mbili badala ya kuwa na roho mbaya hivi.
 
Tatizo njia mnayotumia siyo sahihi. Mama ndiye rais na ndiye mpeperusha bendera wetu wa 2025, ila nyie mnafanya kila mbinu kuhakikisha mnamfitinisha na wapiga kura. Mnatunga uongo mwingi wa ufisadi ili awamu ya 5 ionekane ilikuwa fisadi ili mje kusema Mama alikuwa sehemu ya ufisadi hafai. Kikubwa tumewastukia lazima Mama na Dkt Magufuli tuwatetee kwa nguvu zetu zote. Awamu ya 5 ilikuwa ni serikali ya kizalendo sana
Hujui kitu wewe, umekaa kuandika mipasho tu.
 
Mwambie huyo mchambuzi alete ushahidi wa maelezo yake. Mbona Hutaki Unaacha alikuwa anatupa hata na account namba za benki pesa zilipopita, siku hata saa na nani alipokea hizo fedha!? Watu watoe tuhuma kwa ushahidi usiotiliwa shaka. Vinginevyo, huku ni kuchafuana kwa maslahi binafsi.

Kwa kawaida aliyechafuliwa jina huenda kudai haki yake mahakamani na hapo ndipo ushahidi wa kina huhitajika pande zote.
 
Propaganda nyingi hamna lolote Sasa pamoja na kwanza Magufuli amefariki mbona Bado sukari inapanda bei Kama yy ndo alikuwa kikwazo? Haya nchi mmeachiwa Kikwete, Maushungi, Kinana, makamba, Nape na Membe wenu mbona Vitu vinapanda bei, machinga wanalia, Ufisadi unaongezeka, madini yanatoroshwa Kila Leo, tozo kibao, kiburi kwa watendeji wa maofsini umekithiri mno , ila nyinyi ccm mmesahau Chama chenu kilivyokuwa kinanuka, jamaa amewarudishia chanel ten yenu, Majengo mengi ya CCM, viwanja vingi vilikuwa jina tuu Kama Kaitaba, kirumba , dodoma jamhuri , Karme Arusha, Leo hii mnamiliki asilimia 💯 ya hisa Leo hii mnajifanya kumchafua Magufuli,sawa madhaifu Alikuwa nayo Kama mwanadamu lakin vitu vimeonekana mfano , Bwawa la Nyerere, Busisi bridge, Chato airport, Barabara nyingi, Hospital nyingi.

Hata nyinyi fanyeni Ufisadi lakin tunataka tuone Mambo ysnafanyoka , Tatizo lenu mnataka mhodhi vyote bila kukumbuka wananchi mfano kikwete kuuza bandari ya Bwaga moyo sio sawa et kwa sababu ya mwanae asinyongwe tamaa za kuuza madawa ndo unataka uligharimu taifa, Gesi Mtwara hata haieleweki,
 
Back
Top Bottom