Whistleblower: Kashfa nzito suala la sukari, wamo vigogo wazito

Whistleblower: Kashfa nzito suala la sukari, wamo vigogo wazito

Ujinga mtupu hivi nyie watu mnaomsifia huyo mnafiki mna memory span ya muda gani. Surely tofauti yetu kubwa binadamu na wanyama wengine ni uwezo wa kutunza kumbukumbu kwa muda mrefu na kuwaachia vizazi maarifa.

Well kwa walio sahau



Mipango ya Magufuli kwenye sukari ilikuwa ni kutaka wafanyabiashara wa ndani wachukue fursa alilisema hilo mara kadhaa.

Na mmoja wa watu aliyemshawishi aanzishe kiwanda cha sukari ni Bakhresa, alipokwenda kutembelea kiwanda chake cha matunda na eneo la kulima miwa akampa Bagamoyo kwenye mkutano wa wazi.
 
Mwambie huyo mchambuzi alete ushahidi wa maelezo yake. Mbona Hutaki Unaacha alikuwa anatupa hata na account namba za benki pesa zilipopita, siku hata saa na nani alipokea hizo fedha!? Watu watoe tuhuma kwa ushahidi usiotiliwa shaka. Vinginevyo, huku ni kuchafuana kwa maslahi binafsi.
Hakuna hiyo inatosha kabisaaa!!! Asante sana whistleblower.

Kama wako serious na ufisadi basi vyombo husika viingie kazini. Acheni kupotezea kwa mada nzuri na serious kama hii eti kisa ushahidi
 
Kama wanaamini siku ya mwisho na iwe hivyo
Ila kama wote wamo katika ufisadi huu tutajua mbele

Umewataja mpaka waliotangulia (wafu) sasa je unafikiri Mama hajui haya?

Hapo kuna Seif, Mama na PM wote waislam na Ramadhan imebaki miezi kadhaa
Tutaona kama hii sukari itashuka au ndio wataendeleza kutengeneza hela za HARAM huku wakiwa wamefunga mwezi mtukufu

Subhanaa Allah eee Mwenyezi Mungu tupe Imani Thabit
Tamaa mbele mauti nyuma mlikumbuke hili kuwa hela ni mapambo tu

Kama tuhuma ni za kweli basi mbele ya Mungu hata mama haponi
Kwahiyo kila mwenyejina la kislam ukasema ni muislam balozi seif Ali Iddi yule pale yy na sheni pamoja na kikwete wamewaweka mashekhe wa uamsho ndani
 


Kiwanda cha Bakhresa leo kimifikia hatua za mwisho.

Mbona hilo ajalisema huyo cha uongo, halafu zama za Magufuli viwanda vinavyotumia sukari ndio vilikuwa vinapewa vibali vya kujiagizia deficits (hakuna middleman).

Sukari ya sokoni kwa walaji wakawaida waagizaji ni body ya sukari.

Yaani mtu anaandika ujinga mwanzo, mwisho and he has a gullible audience to shallow his nonsense.
 
huyu Kassim anatakiwa ajiuzulu kisha achunguzwe maana kwenye issue ya korosho pia katajwa.
 
Hili Taifa limejaa Mafisadi Madiketa uchwara na washabiki wao.

Allah tunusuru tuondolee na huyo Polepole.
 
Naona mnamuandama sana Waziri Mkuu. Leta uthibitisho. Usiandike waraka mreefu bila barua hata moja. Ni uhuni tu na uchonganishi.

By tye Way, mmemuandaa nani kuwa PM. Mimi simuoni zaidi ya KMM ndani ya wabunge wa kuchaguliwa wa CCM. Also, historia inaonyesha mara zote Rais alipobadilisha PM nchi hii, serikali ilikuwa dhaifu inayonuka rushwa kuliko kawaida.
 
Wewe jamaa ni liongo na linafiki. Yaani ktk kujiita mnyetishaji ni muongo kabisa. Huo mradi kwanza ulikwama kwa sababu kuna watu walileta feasibility study ya kubumba na ya kifisadi serikali ikaamua kufumua na kufanya upya. Na hiyo ndiyo sababu ya prof kuondolewa kwa sababu alitoa kazi ya kuandaa plan kishikaji na hao ma prof wa udsm walijifungia ndani na kuandika andiko. So ujue serikali ya Dkt Magufuli ilikuwa makini sana. Acha kupotosha. Huu ujinga wako ni wakitoto sana, kila ulichoandika ni cha kutunga na ni uongo. Nimepuka tu hint kidogo ya kilichoanza mi najua mpaka mwisho wewe muhuni muhuni usipotoshe. Mnataka Mama kumjaza uongo ili afanye kama kwenye mkataba wa meli, wahuni nyie.
Naomba nikuulize swali, ni kwanini viongozi wetu yaani R,WM na W-kilimo walitoa matamshi kinzani hadharani kuhusu sukari siku chache tu zilizopita?
 
Yule majaliwa hafai kabisa sijui kwa Nini mama alikunaliana naye kuwa aendelee kuwa pm. Alivyonishangaza ni pale aliponiletea majina yake eti nihakikishe yanapita kipindi kile afasi za ualimu elfu 13 zimetangazwa. Mana yake anachikiongeaga Ni tofauti kabisa na anachokitenda. Yuko pale kwa ajiri ya kumuangusha mama. Mama ashtuke mapema
Kwamba PM akakupa kimemo chenye majina yake 13?!! Au nimekusoma vibaya mkuu!
 
Kwamba PM akakupa kimemo chenye majina yake 13?!! Au nimekusoma vibaya mkuu!
Mama awe makini na hawa wahuni. Wanataka kuiangusha serikali ya mama. Tuhuma juu ya Waziri Mkuu zintakiwa kuwa za uhakika na zenye uthibitisho wa nyaraka, video, picha au hata audio.
La sivyo ni jaribio la kutaka kuiangusha serikali.
 
Tulimpigia Mama kelele aanze na safu yake akaona watu wana mfundisha kazi. Akabeba uchafu wa mwenda kuzimu.
Samia mwenyewe ni "uchafu wa mwendakuzimu".

Au umesahau walipomtoa samia? Unafikiri amejiweka hapo?

Wahuni kwa mbinu za kugawanya watu hamjambo.

Samia ni zao la Magufuli kama alivyo majaliwa na wenzake. Huwezi kumtofautia Samia na Majaliwa.
 


Kiwanda cha Bakhresa leo kimifikia hatua za mwisho.

Mbona hilo ajalisema huyo cha uongo, halafu zama za Magufuli viwanda vinavyotumia sukari ndio vilikuwa vinapewa vibali vya kujiagizia deficits (hakuna middleman).

Sukari ya sokoni kwa walaji wakawaida waagizaji ni body ya sukari.

Yaani mtu anaandika ujinga mwanzo, mwisho and he has a gullible audience to shallow his nonsense.

Nadhani awamu hii hamjui maana na matumizi ya neno nonsense
 
Back
Top Bottom