Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi umeenda mtembelea mwenyekiti wenu au ndo mnafanya siasa za mitandaoniMagufuli alikuwa fisadi la kutisha.
Hakuna hiyo inatosha kabisaaa!!! Asante sana whistleblower.Mwambie huyo mchambuzi alete ushahidi wa maelezo yake. Mbona Hutaki Unaacha alikuwa anatupa hata na account namba za benki pesa zilipopita, siku hata saa na nani alipokea hizo fedha!? Watu watoe tuhuma kwa ushahidi usiotiliwa shaka. Vinginevyo, huku ni kuchafuana kwa maslahi binafsi.
Kwahiyo kila mwenyejina la kislam ukasema ni muislam balozi seif Ali Iddi yule pale yy na sheni pamoja na kikwete wamewaweka mashekhe wa uamsho ndaniKama wanaamini siku ya mwisho na iwe hivyo
Ila kama wote wamo katika ufisadi huu tutajua mbele
Umewataja mpaka waliotangulia (wafu) sasa je unafikiri Mama hajui haya?
Hapo kuna Seif, Mama na PM wote waislam na Ramadhan imebaki miezi kadhaa
Tutaona kama hii sukari itashuka au ndio wataendeleza kutengeneza hela za HARAM huku wakiwa wamefunga mwezi mtukufu
Subhanaa Allah eee Mwenyezi Mungu tupe Imani Thabit
Tamaa mbele mauti nyuma mlikumbuke hili kuwa hela ni mapambo tu
Kama tuhuma ni za kweli basi mbele ya Mungu hata mama haponi
Yaani afanye kazi ya polisi na mahakama? Unajua maana ya whistleblowerSimuamini mpaka aweke ushahidi usiotiliwa shaka!
Unawajua vizuri hao jamaa?!Hivi hii ya Magufuli na kiwanda cha Sukari ingekuwa ni kweli mtu kama Zitto, Nape na wenzake wangeacha kuilipua?!
Naomba nikuulize swali, ni kwanini viongozi wetu yaani R,WM na W-kilimo walitoa matamshi kinzani hadharani kuhusu sukari siku chache tu zilizopita?Wewe jamaa ni liongo na linafiki. Yaani ktk kujiita mnyetishaji ni muongo kabisa. Huo mradi kwanza ulikwama kwa sababu kuna watu walileta feasibility study ya kubumba na ya kifisadi serikali ikaamua kufumua na kufanya upya. Na hiyo ndiyo sababu ya prof kuondolewa kwa sababu alitoa kazi ya kuandaa plan kishikaji na hao ma prof wa udsm walijifungia ndani na kuandika andiko. So ujue serikali ya Dkt Magufuli ilikuwa makini sana. Acha kupotosha. Huu ujinga wako ni wakitoto sana, kila ulichoandika ni cha kutunga na ni uongo. Nimepuka tu hint kidogo ya kilichoanza mi najua mpaka mwisho wewe muhuni muhuni usipotoshe. Mnataka Mama kumjaza uongo ili afanye kama kwenye mkataba wa meli, wahuni nyie.
Kwamba PM akakupa kimemo chenye majina yake 13?!! Au nimekusoma vibaya mkuu!Yule majaliwa hafai kabisa sijui kwa Nini mama alikunaliana naye kuwa aendelee kuwa pm. Alivyonishangaza ni pale aliponiletea majina yake eti nihakikishe yanapita kipindi kile afasi za ualimu elfu 13 zimetangazwa. Mana yake anachikiongeaga Ni tofauti kabisa na anachokitenda. Yuko pale kwa ajiri ya kumuangusha mama. Mama ashtuke mapema
Mama awe makini na hawa wahuni. Wanataka kuiangusha serikali ya mama. Tuhuma juu ya Waziri Mkuu zintakiwa kuwa za uhakika na zenye uthibitisho wa nyaraka, video, picha au hata audio.Kwamba PM akakupa kimemo chenye majina yake 13?!! Au nimekusoma vibaya mkuu!
Kama capacity ndogo, basi waachie intermediaries/ importers ndiyo waagize na siyo viwandaFuatilieni hotuba ya Prof. Mkenda. Kilichopo ni capacity ya viwanda ni ndogo.
Samia mwenyewe ni "uchafu wa mwendakuzimu".Tulimpigia Mama kelele aanze na safu yake akaona watu wana mfundisha kazi. Akabeba uchafu wa mwenda kuzimu.
Whistleblower au muhuni tu huyoYaani afanye kazi ya polisi na mahakama? Unajua maana ya whistleblower
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Kiwanda cha Bakhresa leo kimifikia hatua za mwisho.
Mbona hilo ajalisema huyo cha uongo, halafu zama za Magufuli viwanda vinavyotumia sukari ndio vilikuwa vinapewa vibali vya kujiagizia deficits (hakuna middleman).
Sukari ya sokoni kwa walaji wakawaida waagizaji ni body ya sukari.
Yaani mtu anaandika ujinga mwanzo, mwisho and he has a gullible audience to shallow his nonsense.
Mie machozi yanalengalenga....natamani kupasua mtu kichwa! Duuh! Nchi hiiiiiiii!Nimerudia kusoma mara ya tatu sasa....