Who am I / Mimi ni nani?

Hongera sana
Natamani nipate uwezo kama huo maana ikitokea tafrani yoyote aisee nakuwa mbogo mpaka badae najishangaa kama ni mimi
 
Unaishi maisha mazuri sana.Ambayo napenda kuyaishi.
ni kutokuwa na matarajio makubwa kuelekea wengine. hii inasaidia hata return inapokuwa tofauti kutokujali.

Ukiishi hivi unakuwa na amani sana.
Kweli mkuu

Na huwa mara nyingi nakuwa na Amani kwasababu nayapokea mambo kama yalivyo huwa sijiulizi sana KWANINI IMEKEKUWA HIVI, WHY ME NA MAMBO KAMA HAYO
 
Unatafuta huruma kwa wananchi
 
Kweli mkuu

Na huwa mara nyingi nakuwa na Amani kwasababu nayapokea mambo kama yalivyo huwa sijiulizi sana KWANINI IMEKEKUWA HIVI, WHY ME NA MAMBO KAMA HAYO
Ukiwa hivi inakuwa ngumu sana kuumizwa.
Unaenjoy life.
Ingawa mimi huwa siumii bt ikishakuwa tofuti huwa namuepuka tu mtu. Japo sibaki na kisasi au manung'uniko.
 
Hongera sana
Natamani nipate uwezo kama huo maana ikitokea tafrani yoyote aisee nakuwa mbogo mpaka badae najishangaa kama ni mimi
Asante mkuu

Inawezekana mbona mkuu,kwangu Mimi ingawa ni nature lkn imeongezeka zaidi kwasababu huwa napenda Sana vitabu vya saikoloji na Maisha kwahiyo imeongeza mambo Kwa kiasi Kikubwa.

So unaweza Anza Leo kupitia pitia mambo then baada ya Mda utaweza kujicontrol
 
Ukiwa hivi inakuwa ngumu sana kuumizwa.
Unaenjoy life.
Ingawa mimi huwa siumii bt ikishakuwa tofuti huwa namuepuka tu mtu. Japo sibaki na kisasi au manung'uniko.
Swadakta hiyo ni njia nzuri ya kukwepa nguvu hasi, ni kujiweka mbali Tu na Maisha yanakuwa mazuri tu
 
Mkuu hapo kwenye kufumania ungesubiri kwanza tukio litokee ndio ujekutuambia kilitokea nini. [emoji3]
Usimtukane mamba kabla hujavuka mto.
 
Mkuu hapo kwenye kufumania ungesubiri kwanza tukio litokee ndio ujekutuambia kilitokea nini. [emoji3]
Usimtukane mamba kabla hujavuka mto.
Maoni yako Yana ukweli kiasi Fulani wala siyapingi.
Nakubali nitaumia lkn siwezi fanya mambo ya ajabu kama kudhuru mtu na mambo kama hayo
 
Mwenyewe unajiona umepitia changamoto,mie nikiweka zangu hapa utafuta uzi wako,maana hizi zako ni trela tu
Sawa mkuu nimepokea maoni yako,
Natamani ije siku ufungue code ili nifute huu Uzi hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…