Wewe pamoja na walio kutuma wote ni wapumbavu.WHO yakubali msimamo wa Tanzania kuhusu ‘lockdown’
Na Mwandishi Wetu
GENEVA, Mjumbe Maalum wa Shirika la Afya Duniani (WHO) na Mkurugenzi Mkuu wa Convid-19, Dkt.David Nabarro amependekeza kuwe na jamii ambayo watu watakuwa tayari kuuzoea na kuishi na ugonjwa wa virusi vya Corona (COVID-19) badala ya kuendelea kuwekewa zuio la kukaa ndani (lockdown) au kutoka kwa mashariti, kwani hatua za awali zinaonyesha hakuna chanjo au tiba ya virusi hivyo.
Wachambuzi wa masuala ya afya wameueleza mtandao wa TimesMajira Online kuwa, hatua hiyo ni ushindi mkubwa kwa misimamo ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo tangu awali ilikataa kuweka zuio la watu kukaa ndani, ikiwa ni agizo la Rais Dkt. John Magufuli huku akiwasisitiza wananchi kuzingatia miongozo yote inayotolewa na Serikali ikiwemo kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, kuvaa barakoa, matumizi ya vitakasa mikono na kuepuka mikusanyiko isiyokuwa ya lazima.
Dkt.Nabarro ametoa taarifa hiyo kupitia akaunti yake ya Twitter akisema kwamba kuendelea kuwawekea watu zuio, kunaweza kuwaumiza zaidi kutokana na athari zake kwa watu na uchumi wa mataifa kwa jumla.
“Virusi hivi vitakuwa na sisi kwa siku za usoni inayoonekana na hakuna mtu anayetaka kuwa katika zuio,kama tulivyo na wakati huu,”amesema.
Fuata link ifuatayo for more information.
WHO yakubali msimamo wa Tanzania kuhusu 'lockdown' - TimesMajira
Kwani kuongoza kwa sasa ni shidaa?Vifo pia tunaongoza Africa!Hayo hamsemi!
Anza na chanzo cha tatizo usipoteze muda kwenye matokeo.Kwanini taifa hili limejaa Negative peoples kiasi hiki..? Yaani hamtaki kusikia lolote zuri toka nchini kwetu.?
Upuuzi wenu wa vyama msiuhusishe na nchi yetu.
Toughest job on Earth, kusifia Mwanaume mwenzio January to January, wakati yeye na mkewe na wanawe hata habari hawanaTutampamba with facts my friend
Shallow minded guy like you can't prove that WHO Has approved our president's plan on this disease can you?can be seen by true GTs
Ni kweli haijawahi kutokea, kitendo cha Rais wa nchi kukimbia na kujificha akiwaacha wananchi alioapa kuwalinda mikononi mwa COVID-18 wakipuputika ni unique na hakijawahi kutokea duniani. Hata lugha ya watu nayo tumeitelekeza na kuiacha ipuputike...awamu hii haijawahi kuwa na mfanowe na haitatokea iwe na mfanowe!Magufuli's unique responce to Covid 19 has left been officially supported by WHO
Waishe tuhamie tukakae huko ulayaKwa Africa tunaweza kwenda nayo mpaka chanjo itakapopatikana ila huko kwa white people itakuwa imewakata moto vya kutosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua ni ya muda mfupi lkn jiulize nchi kama Italy, Spain na baadhi ya nchi nyingine japo bado maambukizi na vifo bado vipo juu wameshindwa kuhimili hiyo lockdown hv sisi kiuchumi tutaweza. Lockdown haiwezi kuutokomeza huu ugonjwa n kupoteza tu muda wa kufanya kaziTaarifa umeipata wapi mkuu?
Umejiuliza ni kwanini mkuu? Sasa heri hao.Huko kwa wenzetu huwa either wanachukua siraha na kuingia msituni au wanaamua kujivika mabomu na kuanza kulipua watu wasio na hatiaKuna pimbi Humu ambazo daily zinapenda kusikia WB imetunyima mkopo Mara Sijui Pompeo kapiga marufuku mtu flani asiguse huko, Mara Sijui White house imekosoa mchakato mzima wa uchaguzi....
Utadhani ni majamaa ya DRC huko kumbe tunaishi nayo hapahapa mengine ndio Wakurugenzi wetu Huku vijiweni RUBBISH kabisa...
Typed Using KIDOLE
Hahaaa huyo nguli wa mambele anaandikia gazeti la times MAJIRA la huko ulaya!! Hii issue ni ya kuigongea nyagi tu,hakuna ukweli wowote hapa,kila mtu anatudanganya tu, kuanzia mtaalam hadi mwanasiasa, hapa tuchape nyagi tu.Hili gazeti la Majira Times ni gazeti la propaganda za mtaa wa Lumumba.
Kwani kuongoza kwa sasa ni shidaa?
Tuliwahi kuongoza kwa Ukimwi na Malaria
Lockdown haiwezi tokomeza huu ugonjwa. Ht nchi za jirani zilizojaribu hiyo njia inawashinda lazma watachukua maamuzi km ya raisi wetu ni jambo la muda tuMkuu wewe ulidhani lockdown ni ya muda wote?kwamba ukiiweka Leo hutaitoa hadi Yesu arudi?
Daaah naona Mdogo mdogo umeanza kudata siku hizi Chezea maisha wewe😁😁Mbona hapo TanZania haijatajwa? Au unatuonaje yaani?
Pumbavu
Hivi kweli huwa mnalipwa ?WHO yakubali msimamo wa Tanzania kuhusu ‘lockdown’
Na Mwandishi Wetu
GENEVA, Mjumbe Maalum wa Shirika la Afya Duniani (WHO) na Mkurugenzi Mkuu wa Convid-19, Dkt.David Nabarro amependekeza kuwe na jamii ambayo watu watakuwa tayari kuuzoea na kuishi na ugonjwa wa virusi vya Corona (COVID-19) badala ya kuendelea kuwekewa zuio la kukaa ndani (lockdown) au kutoka kwa mashariti, kwani hatua za awali zinaonyesha hakuna chanjo au tiba ya virusi hivyo.
Wachambuzi wa masuala ya afya wameueleza mtandao wa TimesMajira Online kuwa, hatua hiyo ni ushindi mkubwa kwa misimamo ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo tangu awali ilikataa kuweka zuio la watu kukaa ndani, ikiwa ni agizo la Rais Dkt. John Magufuli huku akiwasisitiza wananchi kuzingatia miongozo yote inayotolewa na Serikali ikiwemo kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, kuvaa barakoa, matumizi ya vitakasa mikono na kuepuka mikusanyiko isiyokuwa ya lazima.
Dkt.Nabarro ametoa taarifa hiyo kupitia akaunti yake ya Twitter akisema kwamba kuendelea kuwawekea watu zuio, kunaweza kuwaumiza zaidi kutokana na athari zake kwa watu na uchumi wa mataifa kwa jumla.
“Virusi hivi vitakuwa na sisi kwa siku za usoni inayoonekana na hakuna mtu anayetaka kuwa katika zuio,kama tulivyo na wakati huu,”amesema.
Fuata link ifuatayo for more information.
WHO yakubali msimamo wa Tanzania kuhusu 'lockdown' - TimesMajira
Nia yao wanataka kumsifu dr mapapai tuhMbona hapo TanZania haijatajwa? Au unatuonaje yaani?
Pumbavu