Nadhani wewe umekwenda shule kidogo, imependeza kabisa kufanya such analysis
 
Nadhani wewe umekwenda shule kidogo, imependeza kabisa kufanya such analysis

Mkuu asante kwa kuona mantiki kwenye hiyo analysis. Ila wadhani wala ni shule basi?

Haya ni yale yale aliyokiri mzee baba "mtanzania wa leo wa dongobeshi siyo yule wa jana tena."
 
Mkuu asante kwa kuona matikiti kwenye hiyo analysis. Ila wadhani wala ni shule basi?

Haya ni yale yale aliyokiri mzee baba "mtanzania wa leo wa dongobeshi siyo yule wa jana tena."
No, reasoning yako ni from a high power mental faculty, nimeipenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…