WHO: Corona Virus inaweza isiondoke
Kwa nini sasa usiachwe utumalize wote tulio wadhaifu halafu watakaobaki wabaki salama
Na wao wakifika kuanzia miaka 50 wanaishi kwa mashaka au wanaondoshwa na Coronavirus?

Wale familia zenye matatizo ya kisukari ya kurithi familia au koo zao ziishe? Je, hawa watakuliwa kuoa au kuolewa na watu wasiokuwa na asili ya matatizo hayo kwenye familia zao? Au itakuwa kama sicko cell tu?

Je, wenye matatizo ya figo na moyo watasalimika na hii kitu?
Life span ya watu duniani itashuka hadi 35.
 
Shirika la afya duniani limetangaza kuwa ugonjwa wa corona sio wa kuisha hivi karibu hivyo jamii ijiandae kuishi nao kama UKIMWI ,wakowasilisha taarifa yao ya awali ya kitabibu mkuu wa utafiti na tiba wa WHO Mike Ryann ameitaka jamii ijiandae kuishi na na kuuzoea ugonjwa huu kama ilivyouzoea ukimwi kwa kuwa hakuna matumaini ya tiba wala dawa kupatikana hivi karibuni.

Hili wazo lilitolewa na rais magufuli kuwa watu watauzoea na kuweza kuishi nao kuwa unaogopwa kwa kuwa ni mpya hata UKIMWI mara ya kwanza uliogopwa sana

My take .JPM ni nabii maana aliliona hili na kusema kama WHO so tuendelee na shugli zetu corona ipoipo sana

Chanzo BBC

USSR

Screenshot_2020-05-14-00-20-07.jpg
View attachment 1449538View attachment 1449539

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Shirika la afya duniani limetangaza kuwa ugonjwa wa corona sio wa kuisha hivi karibu hivyo jamii ijiandae kuishi nao kama UKIMWI ,wakowasilisha taarifa yao ya awali ya kitabibu mkuu wa utafiti na tiba wa WHO Mike Ryann ameitaka jamii ijiandae kuishi na na kuuzoea ugonjwa huu kama ilivyouzoea ukimwi kwa kuwa hakuna matumaini ya tiba wala dawa kupatikana hivi karibuni.

Hili wazo lilitolewa na rais magufuli kuwa watu watauzoea na kuweza kuishi nao kuwa unaogopwa kwa kuwa ni mpya hata UKIMWI mara ya kwanza uliogopwa sana


My take .JPM ni nabii maana aliliona hili na kusema kama WHO so tuendelee na shugli zetu corona ipoipo sana

Chanzo BBC

USSRView attachment 1449540View attachment 1449538View attachment 1449539

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Kwahiyo HIV uliambiwa usivae condom?
 
Herd immunity yenyewe inataka asilimia zaidi ya 70 ya wananchi wapatwe na covid-19 ndo useme watanzania wako immune. Na hapo data zinahitajika... Usijifariji, Safari ni ndefu, na mtabadili maeneno kadri muda unavyokwenda.

btw naona mumeamuwa kumfanya kitu mbaya yule dogo mdude kwasababu sasa hivi si mna sapoti za misikiti na makanisa? Lazima watatizama kando?!
 
Kwa hiyo WHO wamejipangaje ili kuhakikisha ugonjwa huu unaisha hivi karibuni na makadirio yao ugonjwa huu utachukua muda gani kuisha,kwa sababu kitendo cha kuweka katika mlinganio sawa na wa Ukimwi ni kuwaweka watu katika njia ya kuamini kuwa siyo mwaka huu wala mwaka 2021 wala 2022 kuwepo kwa matumaini ya mapema ya kukabiliana na ugonjwa huu.
 
Kwa hiyo WHO wamejipangaje ili kuhakikisha ugonjwa huu unaisha hivi karibuni na makadirio yao ugonjwa huu utachukua muda gani kuisha,kwa sababu kitendo cha kuweka katika mlinganio sawa na wa Ukimwi ni kuwaweka watu katika njia ya kuamini kuwa siyo mwaka huu wala mwaka 2021 wala 2022 kuwepo kwa matumaini ya mapema ya kukabiliana na ugonjwa huu.
Sisi tuko kwenye ligi yetu wenyewe. Tusubiri herd immunity hakuna namna.
 
Huyo jiwe mwenyewe kichwa chini hajui haanzie wapi..
 
Watu hawatumii akili ni kusifu hovyo, tunaambiwa tutarajie exponential growth ya covid cases!!
Tunaambiwa hospitality zitafurika sasa tusikae kiboya kiss habari za papaya na mbuzi
 
Herd immunity yenyewe inataka asilimia zaidi ya 70 ya wananchi wapatwe na covid-19 ndo useme watanzania wako immune. Na hapo data zinahitajika... Usijifariji, Safari ni ndefu, na mtabadili maeneno kadri muda unavyokwenda.

btw naona mumeamuwa kumfanya kitu mbaya yule dogo mdude kwasababu sasa hivi si mna sapoti za misikiti na makanisa? Lazima watatizama kando?!
Wataobaki watafika.

Hiyo ni kwa dunia nzima, siyo Tanzania tu.

So far no solution. Na chanjo ndiyo itaua wengi zaidi.
 
Back
Top Bottom