Na wao wakifika kuanzia miaka 50 wanaishi kwa mashaka au wanaondoshwa na Coronavirus?Kwa nini sasa usiachwe utumalize wote tulio wadhaifu halafu watakaobaki wabaki salama
Kwahiyo HIV uliambiwa usivae condom?Shirika la afya duniani limetangaza kuwa ugonjwa wa corona sio wa kuisha hivi karibu hivyo jamii ijiandae kuishi nao kama UKIMWI ,wakowasilisha taarifa yao ya awali ya kitabibu mkuu wa utafiti na tiba wa WHO Mike Ryann ameitaka jamii ijiandae kuishi na na kuuzoea ugonjwa huu kama ilivyouzoea ukimwi kwa kuwa hakuna matumaini ya tiba wala dawa kupatikana hivi karibuni.
Hili wazo lilitolewa na rais magufuli kuwa watu watauzoea na kuweza kuishi nao kuwa unaogopwa kwa kuwa ni mpya hata UKIMWI mara ya kwanza uliogopwa sana
My take .JPM ni nabii maana aliliona hili na kusema kama WHO so tuendelee na shugli zetu corona ipoipo sana
Chanzo BBC
USSRView attachment 1449540View attachment 1449538View attachment 1449539
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Sisi tuko kwenye ligi yetu wenyewe. Tusubiri herd immunity hakuna namna.Kwa hiyo WHO wamejipangaje ili kuhakikisha ugonjwa huu unaisha hivi karibuni na makadirio yao ugonjwa huu utachukua muda gani kuisha,kwa sababu kitendo cha kuweka katika mlinganio sawa na wa Ukimwi ni kuwaweka watu katika njia ya kuamini kuwa siyo mwaka huu wala mwaka 2021 wala 2022 kuwepo kwa matumaini ya mapema ya kukabiliana na ugonjwa huu.
Kila jambo lazima walichukulie kwa namna hiyo. Kwa propaganda hawa hakuna tofauti na GESTAPO. HitlerWenzio kwao la muhimu zaidi ni kushinda uchaguzi tu, .........!
Zika likwelikwe.naona lembe naku ngebo la balaa maka iauchuku ridhahata,wetu nikima.Sisi tuko kwenye ligi yetu wenyewe. Tusubiri herd immunity hakuna namna.
Ntesaa kwa paniku iih gharu wakulini shameni uhasaZika likwelikwe.naona lembe naku ngebo la balaa maka iauchuku ridhahata,wetu nikima.
tocher
Kwahiyo HIV uliambiwa usivae condom?
Unaishi Tanzania wewe?Nani alikwambia usijikinge na corona?
wasa wasa
Wataobaki watafika.Herd immunity yenyewe inataka asilimia zaidi ya 70 ya wananchi wapatwe na covid-19 ndo useme watanzania wako immune. Na hapo data zinahitajika... Usijifariji, Safari ni ndefu, na mtabadili maeneno kadri muda unavyokwenda.
btw naona mumeamuwa kumfanya kitu mbaya yule dogo mdude kwasababu sasa hivi si mna sapoti za misikiti na makanisa? Lazima watatizama kando?!
Chewa oha,Ombwe ondi niltusa owa
Nacoro poi nasanasa ut, peha in nyafaku zika ut naama sape ondi laki kutu kuumChewa oha,Ombwe ondi niltusa owa
In tirika saha,nakwi poyi nabwa bwamku ?Nacoro poi nasanasa ut, peha in nyafaku zika ut naama sape ondi laki kutu kuum
Sent using Jamii Forums mobile app