Who created God? Who made him? Where did he come from?

Who created God? Who made him? Where did he come from?

ujibiwe mara ngapi ili ukubali? we kila siku maswali yale yale ulojibiwa na kuingia mtini. au niwakumbushe? wewe na huyo kijana?

Mtu akiuliza, 2 + 3 = ?

Akaambiwa, 2 + 3 = 1.

Kwa maana moja amejibiwa, kwa minajili ya kwamba alichouliza kimefikiriwa na kupewa jibu kwa kadiri ya maoni ya aliyejibu.

Kwa mantiki hii, ni kweli mmenijibu.

Lakini kuna maana kubwa na nzuri zaidi ya jibu. Jibu inabidi liweze kupimika.na kukubalika kwa misingi ya kimantiki.

Kwa maana hii, rejeo la 2 + 3 =1 si jibu sahihi, ni makosa.

Jibu ulilolitoa ni sawa na la kusema 2 + 3 = 1. Linatosheleza kama unataka bora jibu, kwa mimi.ninayetaka jibu bora halinitoshelezi.

Kama unabisha jibu lako limepwaya kimantiki lirudie tena hapa tulijadili.
 
Ni vigumu kupata jibu la suali ikiwa muulizaji na muulizwa wote liko juu la uwezo wao. Naona hii imegeuka ni mashindano...
 
Mtu akiuliza, 2 + 3 = ?

Akaambiwa, 2 + 3 = 1.

Kwa maana moja amejibiwa, kwa minajili ya kwamba alichouliza kimefikiriwa na kupewa jibu kwa kadiri ya maoni ya aliyejibu.

Kwa mantiki hii, ni kweli mmenijibu.

Lakini kuna maana kubwa na nzuri zaidi ya jibu. Jibu inabidi liweze kupimika.na kukubalika kwa misingi ya kimantiki.

Kwa maana hii, rejeo la 2 + 3 =1 si jibu sahihi, ni makosa.

Jibu ulilolitoa ni sawa na la kusema 2 + 3 = 1. Linatosheleza kama unataka bora jibu, kwa mimi.ninayetaka jibu bora halinitoshelezi.

Kama unabisha jibu lako limepwaya kimantiki lirudie tena hapa tulijadili.

Sawa lakini pia ni muhimu kukubaliana vipimo ni vipi? Maana kuna vile unavyokubali wewe na vile ninavyokubali mimi. Na pia kuna vile tunavyokubali wote kwa maana labda tupige kura au tutafute namna ya kupata mwamuzi maana mara nyingi mantiki zangu umeziona ni 2+3=1 na mimi zako nimeziona 0+3=12.

Pia usikimbie kwa kubadili mwenendo wa swali wala kuanza mashindano ya lugha. Natumai sisi ni watu wazima hatuwezi kupoteza muda katika kitu kimoja tu.
 
Mtu akiuliza, 2 + 3 = ?

Akaambiwa, 2 + 3 = 1.

Kwa maana moja amejibiwa, kwa minajili ya kwamba alichouliza kimefikiriwa na kupewa jibu kwa kadiri ya maoni ya aliyejibu.

Kwa mantiki hii, ni kweli mmenijibu.

Lakini kuna maana kubwa na nzuri zaidi ya jibu. Jibu inabidi liweze kupimika.na kukubalika kwa misingi ya kimantiki.

Kwa maana hii, rejeo la 2 + 3 =1 si jibu sahihi, ni makosa.

Jibu ulilolitoa ni sawa na la kusema 2 + 3 = 1. Linatosheleza kama unataka bora jibu, kwa mimi.ninayetaka jibu bora halinitoshelezi.

Kama unabisha jibu lako limepwaya kimantiki lirudie tena hapa tulijadili.

kwa nini unaamini 2+1 jibu sio moja ??
 
Kwa kweli there is no way useme kwamba Mungu alikuwepo tu since forever.., yaani alitokea tangu milele yote.., its impossible. ngoja nikwambie kwanini.

1.) assuming Mungu ali-exist since forever, na tunaipa forever a value T. Sasa niambie at time (T-1 second) alikuwepo..??!

2.) Na at time (T-1 second) palikuwa na nani.., je ndie aliyefanya uumbaji..?! na je yeye huyo aliekuwepo at time (T-1 Second) kaumbwa na nani na katokea wapi na kwa sababu gani na kwa faida gani na ya nani..??! na ili iweje..??!

3.) Na tukisema Mungu atakuwepo up to forever, na tukaipa hiyo forever a value F, je at time (F + 1 second atakuwa wapi)..??!

Ningekupa jibu ila napo utauliza naye Mungu wa Mungu alitokea wapi, bora nikuache uendelee na ujinga wako.
 
Sijui hapa huyo mungu anayezungumziwa ni yupi wa wakristo au waislam,sijui ni yupi real mungu anayezungumziwa hapa ni Jesus son of Virgin Mary au yule aliyejiua kwa ajili yenu msituchanganye hapa,sijaona muislam hata mmoja kajaribu kuchangia katika hii mada maana inavyoonekana huyo mnayemjadili sio tunayemuamini na kufuata maelekezo yake,jiulizeni kabla ya kufika mbali je ni kwanini mungu wenu aliamua kuwa suicidal?nafikiri hii concept ya waislam kujilipua itakuwa imetokana na huyo mungu wenu anayependa kujitoa mhanga,sijui ni kwanini na nyie wakristo hamjitoi mhanga kama wanavyofanya baadhi ya waislam ambao wanatumia mbinu ya jesus kujitoa mhanga.Hebu kaeni chini na mtafakari haya niliyoandika na mtamjua mungu na chimbuko lake.M/Mpamba End.
 
Na maana Watu,wakifika ukomo wa mawazo na ugunduzi hapo ndo,Mungu anaumbwa kwa namna na majina mbali mbali,Lakini kadri siko zinavosonga KAZI ZA MUNGU ZINAPUNGUA NA DINI ZINAKOSA UMAANA MBELE YA JAMII INAYOANZA KUJITAMBUA.,Nathubutu kusema dini ni UONGO NA ULAGHAI WA ZAMANK UNAOPOTEZA MVUTO KADRI SIKU ZINAVOSONGA.

Watu wa zamani walijua hata ajali,ni kazi ya mungu,ila kwa sasa,ajal za kizembe zinaepukika.Watu walijua maswala Ya Dunia,jua,mwezi ni Exceptional,lakini sayansi inaizika dini kila kukicha.
Hata mvua haikuwa ikielezeka kwa umakini lakini leo tunajua mvua na mawingu vinafanyika vip.,Haina haj ya kuamini chochote(kwa upande wangu)
Mungu aliyeruhusu Biashara ya Utumwa ndo huyo huyo aliekuja kuukataaa baada ya miaka kadhaa!!,Uhalali wa Utumwa ulitoka wapi wakati ule na baadae kubailishwa??
Mungu aliyeruhusu Taifa teule liue kila kitu likiwa njiani kurudi Taifa kwao.
Mungu aliyemuumba malaika huku akijua atamuasi na kuwa shetani,

Mungu aliyemuadhibu Adam huku akijua yajayo.,Mungu anayeumba watoto vilema,viwete n.k.Mungu aliyemuumba mwanadam na kumwekea matamanio yote lakini pia hukumu.Huku akijinadi kuwa amempa UHURU,uhuru??labda kama sijui maana ya uhuru.
Ulishawahi kujiuliza kwa nn wanaojiita manabii na mitume walitika mashariki ya kati??.Je unajua kwa nn?

NIMALIZOE KWA KUSEMA DINI NI ULAGHAI NA UONGO UNAOPITWA NA WAKATI.

Safi sana karl max alisema ni sawa opium kwa binadamu
 
Nyie mnaosema mungu hayupo natamani mtangulie kufa alaf mjifufue wenyewe then mrudi tena kwenye hii mada. Nadhani mtatuletea majibu sahihi.

Yule alifufuliwa na yesu alisema nn, kama alifufuliwa toka kuzimu kwa nn alishindwa kueleza chochote
 
Mtu akiuliza, 2 + 3 = ?

Akaambiwa, 2 + 3 = 1.

Kwa maana moja amejibiwa, kwa minajili ya kwamba alichouliza kimefikiriwa na kupewa jibu kwa kadiri ya maoni ya aliyejibu.

Kwa mantiki hii, ni kweli mmenijibu.

Lakini kuna maana kubwa na nzuri zaidi ya jibu. Jibu inabidi liweze kupimika.na kukubalika kwa misingi ya kimantiki.

Kwa maana hii, rejeo la 2 + 3 =1 si jibu sahihi, ni makosa.

Jibu ulilolitoa ni sawa na la kusema 2 + 3 = 1. Linatosheleza kama unataka bora jibu, kwa mimi.ninayetaka jibu bora halinitoshelezi.

Kama unabisha jibu lako limepwaya kimantiki lirudie tena hapa tulijadili.
Very poor reasoning
 
Sijui hapa huyo mungu anayezungumziwa ni yupi wa wakristo au waislam,sijui ni yupi real mungu anayezungumziwa hapa ni Jesus son of Virgin Mary au yule aliyejiua kwa ajili yenu msituchanganye hapa,sijaona muislam hata mmoja kajaribu kuchangia katika hii mada maana inavyoonekana huyo mnayemjadili sio tunayemuamini na kufuata maelekezo yake,jiulizeni kabla ya kufika mbali je ni kwanini mungu wenu aliamua kuwa suicidal?nafikiri hii concept ya waislam kujilipua itakuwa imetokana na huyo mungu wenu anayependa kujitoa mhanga,sijui ni kwanini na nyie wakristo hamjitoi mhanga kama wanavyofanya baadhi ya waislam ambao wanatumia mbinu ya jesus kujitoa mhanga.Hebu kaeni chini na mtafakari haya niliyoandika na mtamjua mungu na chimbuko lake.M/Mpamba End.

Pumbavu
 
Sawa lakini pia ni muhimu kukubaliana vipimo ni vipi? Maana kuna vile unavyokubali wewe na vile ninavyokubali mimi. Na pia kuna vile tunavyokubali wote kwa maana labda tupige kura au tutafute namna ya kupata mwamuzi maana mara nyingi mantiki zangu umeziona ni 2+3=1 na mimi zako nimeziona 0+3=12.

Pia usikimbie kwa kubadili mwenendo wa swali wala kuanza mashindano ya lugha. Natumai sisi ni watu wazima hatuwezi kupoteza muda katika kitu kimoja tu.

Kipimo ni logic.

Huwezi kuniambia mungu mwenye uwezo wote na upendo wote hawezi kuwa na morality ya kibinadamu tu, achilia mbali ile ya juu zaidi ya kiungu.
 
Kipimo ni logic.

Huwezi kuniambia mungu mwenye uwezo wote na upendo wote hawezi kuwa na morality ya kibinadamu tu, achilia mbali ile ya juu zaidi ya kiungu.
Why should God be like you a God Hater?

Bado haujathibitisha kuwa hakuna Mungu
 
BABA MUNGU unisamehe kwa kuchangia hapa! Utusamehe wote kwa kosa la huu uzi! Kudiscuss the impossible! Wewe ni MUNGU, na utabaki kuwa MUNGU BABA YETU! UTUHURUMIE sana kwa kosa hili!
 
Kipimo ni logic.

Huwezi kuniambia mungu mwenye uwezo wote na upendo wote hawezi kuwa na morality ya kibinadamu tu, achilia mbali ile ya juu zaidi ya kiungu.

Morality ya kibinadamu? ipi unayomaanisha? Toa mfano na unaweza kutumia analogy. Ndio Mungu ana upendo wote na uwezo wote, morality ipi haswa? ukisema "achilia mbali", "juu zaidi" hujaeleza kama mtu mwenye logic. Definition ya juu au chini inategemea na position wewe kama observer. Mwezi (moon) uko juu au chini? Haya twende na ntakukumbusha "morality ya kibidadamu" wakati muafaka ukifika.
 
Back
Top Bottom