Lisa Valentine
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 317
- 519
Swali hili halijapata jibu bado.
ujibiwe mara ngapi ili ukubali? we kila siku maswali yale yale ulojibiwa na kuingia mtini. au niwakumbushe? wewe na huyo kijana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali hili halijapata jibu bado.
ujibiwe mara ngapi ili ukubali? we kila siku maswali yale yale ulojibiwa na kuingia mtini. au niwakumbushe? wewe na huyo kijana?
Mtu akiuliza, 2 + 3 = ?
Akaambiwa, 2 + 3 = 1.
Kwa maana moja amejibiwa, kwa minajili ya kwamba alichouliza kimefikiriwa na kupewa jibu kwa kadiri ya maoni ya aliyejibu.
Kwa mantiki hii, ni kweli mmenijibu.
Lakini kuna maana kubwa na nzuri zaidi ya jibu. Jibu inabidi liweze kupimika.na kukubalika kwa misingi ya kimantiki.
Kwa maana hii, rejeo la 2 + 3 =1 si jibu sahihi, ni makosa.
Jibu ulilolitoa ni sawa na la kusema 2 + 3 = 1. Linatosheleza kama unataka bora jibu, kwa mimi.ninayetaka jibu bora halinitoshelezi.
Kama unabisha jibu lako limepwaya kimantiki lirudie tena hapa tulijadili.
Mtu akiuliza, 2 + 3 = ?
Akaambiwa, 2 + 3 = 1.
Kwa maana moja amejibiwa, kwa minajili ya kwamba alichouliza kimefikiriwa na kupewa jibu kwa kadiri ya maoni ya aliyejibu.
Kwa mantiki hii, ni kweli mmenijibu.
Lakini kuna maana kubwa na nzuri zaidi ya jibu. Jibu inabidi liweze kupimika.na kukubalika kwa misingi ya kimantiki.
Kwa maana hii, rejeo la 2 + 3 =1 si jibu sahihi, ni makosa.
Jibu ulilolitoa ni sawa na la kusema 2 + 3 = 1. Linatosheleza kama unataka bora jibu, kwa mimi.ninayetaka jibu bora halinitoshelezi.
Kama unabisha jibu lako limepwaya kimantiki lirudie tena hapa tulijadili.
Kwa kweli there is no way useme kwamba Mungu alikuwepo tu since forever.., yaani alitokea tangu milele yote.., its impossible. ngoja nikwambie kwanini.
1.) assuming Mungu ali-exist since forever, na tunaipa forever a value T. Sasa niambie at time (T-1 second) alikuwepo..??!
2.) Na at time (T-1 second) palikuwa na nani.., je ndie aliyefanya uumbaji..?! na je yeye huyo aliekuwepo at time (T-1 Second) kaumbwa na nani na katokea wapi na kwa sababu gani na kwa faida gani na ya nani..??! na ili iweje..??!
3.) Na tukisema Mungu atakuwepo up to forever, na tukaipa hiyo forever a value F, je at time (F + 1 second atakuwa wapi)..??!
Na maana Watu,wakifika ukomo wa mawazo na ugunduzi hapo ndo,Mungu anaumbwa kwa namna na majina mbali mbali,Lakini kadri siko zinavosonga KAZI ZA MUNGU ZINAPUNGUA NA DINI ZINAKOSA UMAANA MBELE YA JAMII INAYOANZA KUJITAMBUA.,Nathubutu kusema dini ni UONGO NA ULAGHAI WA ZAMANK UNAOPOTEZA MVUTO KADRI SIKU ZINAVOSONGA.
Watu wa zamani walijua hata ajali,ni kazi ya mungu,ila kwa sasa,ajal za kizembe zinaepukika.Watu walijua maswala Ya Dunia,jua,mwezi ni Exceptional,lakini sayansi inaizika dini kila kukicha.
Hata mvua haikuwa ikielezeka kwa umakini lakini leo tunajua mvua na mawingu vinafanyika vip.,Haina haj ya kuamini chochote(kwa upande wangu)
Mungu aliyeruhusu Biashara ya Utumwa ndo huyo huyo aliekuja kuukataaa baada ya miaka kadhaa!!,Uhalali wa Utumwa ulitoka wapi wakati ule na baadae kubailishwa??
Mungu aliyeruhusu Taifa teule liue kila kitu likiwa njiani kurudi Taifa kwao.
Mungu aliyemuumba malaika huku akijua atamuasi na kuwa shetani,
Mungu aliyemuadhibu Adam huku akijua yajayo.,Mungu anayeumba watoto vilema,viwete n.k.Mungu aliyemuumba mwanadam na kumwekea matamanio yote lakini pia hukumu.Huku akijinadi kuwa amempa UHURU,uhuru??labda kama sijui maana ya uhuru.
Ulishawahi kujiuliza kwa nn wanaojiita manabii na mitume walitika mashariki ya kati??.Je unajua kwa nn?
NIMALIZOE KWA KUSEMA DINI NI ULAGHAI NA UONGO UNAOPITWA NA WAKATI.
Nyie mnaosema mungu hayupo natamani mtangulie kufa alaf mjifufue wenyewe then mrudi tena kwenye hii mada. Nadhani mtatuletea majibu sahihi.
Very poor reasoningMtu akiuliza, 2 + 3 = ?
Akaambiwa, 2 + 3 = 1.
Kwa maana moja amejibiwa, kwa minajili ya kwamba alichouliza kimefikiriwa na kupewa jibu kwa kadiri ya maoni ya aliyejibu.
Kwa mantiki hii, ni kweli mmenijibu.
Lakini kuna maana kubwa na nzuri zaidi ya jibu. Jibu inabidi liweze kupimika.na kukubalika kwa misingi ya kimantiki.
Kwa maana hii, rejeo la 2 + 3 =1 si jibu sahihi, ni makosa.
Jibu ulilolitoa ni sawa na la kusema 2 + 3 = 1. Linatosheleza kama unataka bora jibu, kwa mimi.ninayetaka jibu bora halinitoshelezi.
Kama unabisha jibu lako limepwaya kimantiki lirudie tena hapa tulijadili.
Sijui hapa huyo mungu anayezungumziwa ni yupi wa wakristo au waislam,sijui ni yupi real mungu anayezungumziwa hapa ni Jesus son of Virgin Mary au yule aliyejiua kwa ajili yenu msituchanganye hapa,sijaona muislam hata mmoja kajaribu kuchangia katika hii mada maana inavyoonekana huyo mnayemjadili sio tunayemuamini na kufuata maelekezo yake,jiulizeni kabla ya kufika mbali je ni kwanini mungu wenu aliamua kuwa suicidal?nafikiri hii concept ya waislam kujilipua itakuwa imetokana na huyo mungu wenu anayependa kujitoa mhanga,sijui ni kwanini na nyie wakristo hamjitoi mhanga kama wanavyofanya baadhi ya waislam ambao wanatumia mbinu ya jesus kujitoa mhanga.Hebu kaeni chini na mtafakari haya niliyoandika na mtamjua mungu na chimbuko lake.M/Mpamba End.
Sawa lakini pia ni muhimu kukubaliana vipimo ni vipi? Maana kuna vile unavyokubali wewe na vile ninavyokubali mimi. Na pia kuna vile tunavyokubali wote kwa maana labda tupige kura au tutafute namna ya kupata mwamuzi maana mara nyingi mantiki zangu umeziona ni 2+3=1 na mimi zako nimeziona 0+3=12.
Pia usikimbie kwa kubadili mwenendo wa swali wala kuanza mashindano ya lugha. Natumai sisi ni watu wazima hatuwezi kupoteza muda katika kitu kimoja tu.
kwa nini unaamini 2+1 jibu sio moja ??
Why should God be like you a God Hater?Kipimo ni logic.
Huwezi kuniambia mungu mwenye uwezo wote na upendo wote hawezi kuwa na morality ya kibinadamu tu, achilia mbali ile ya juu zaidi ya kiungu.
Thibitisha kuwa hakuna Mungu.Sitaki kuamini, nataka kujua.
Nionyeshe jibu ni moja kivipi?
Sitaki kuamini, nataka kujua.
Nionyeshe jibu ni moja kivipi?
Kipimo ni logic.
Huwezi kuniambia mungu mwenye uwezo wote na upendo wote hawezi kuwa na morality ya kibinadamu tu, achilia mbali ile ya juu zaidi ya kiungu.