WHO inatakiwa izijibu hoja za Rais Magufuli kwa umakini mkubwa. Tropical diseases kama TB, Malaria kwanini hazina chanjo na zinaua sana?

WHO inatakiwa izijibu hoja za Rais Magufuli kwa umakini mkubwa. Tropical diseases kama TB, Malaria kwanini hazina chanjo na zinaua sana?

Sasa mnahoji kwa nini hakuna kinga ya Malaria au TB kwani na nyie mchango wenu ni nini? hamjazuiwa kuingia maabara na kuja na chanjo ya Malaria au TB.
 
Sio kigezo cha kusem kuwa ndio hajatawaliwa kifikra kam sio kwann toka aend ulaya akidai kurud kwao ethiopia hawakubal mkuuu angalia
Hawakubali kivipi? Lini alihitaji kwenda kwao akakataliwa?

Hebu weka ushahidi tu hapa mkuu
 
Mtu hajui chochote kuhusu immunology ukianza kubishana nae hapa ni kupoteza muda
 
Wala siyo kwamba hatuwezi kutengeneza chanjo zetu na wala si kwamba hatuna akili. Tatizo kubwa ni ukoloni, na miaka ile ilikuwa ni ukoloni wa kutawala kimabavu moja kwa moja ila kwa zama hizi ni ukoloni wa kutumia mifumo. Njia za ukoloni ni tofauti ila matokeo ni yale yale. Kazi kubwa ya mkoloni ni kuhakikisha kwamba anaondoa ile hali ya kujiamini na kujithamini kwa yule anayemtawala. Kwa ukoloni wa sasa hivi mifumo kama WHO, IMF n.k inahakikisha inatengeneza mazingira uone kile unachokifanya nje ya mifumo yake hakina uhalali wala hakina matunda. Na ndicho tunachojaribu kupandikiziwa ili tuwasubiri wao, tufanye yao na tuwasikilize wao tu.

Mtu yeyote huru au nchi yoyote huru haiwezi kusubiri WHO anasema nini. Wanafanya mambo yao. Kuna mtu mmoja hapo juu kauliza eti WHO ni akina nani kama si nchi zote? Mi nimebaki kumshangaa maana wakati mifumo hii inaanzishwa baadhi ya nchi zilikuwa hata hazipo ikiwemo na nchi yetu. Sasa mifumo wajitengenezee wao, wewe upachikwe tu na kulazimishiwa halafu useme huo mfumo upo kwa interests zako? Unaweza usijitoe lakini unaweza pia kukubali uhalisia kuwa ile mifumo ilitengenezwa kulinda maslahi ya wenye nguvu. Kama kuna kifaida tunakipata kwa kuwemo WHO au IMF au whatever, kuna faida kubwa wanaipata wale wenye hisa kubwa katika mifumo hiyo.
Big No.

We are free, even when we are not free at 100% hakuna anayewazuia madaktari wetu kujifungia maabara na kubuni au kutengeneza chanjo yoyote ile

Mbona kujifukiza na kutumia local medicine hakuna anayetuzuia?

Hakuna Mzungu yeyote anayemwondolea Mtu mweusi hali ya kutojiamini, kutojiamini kupo ndani ya Mtu mweusi tu tangu awali.

''Blacks are not curious'' ''Blacks are not aggressive''

Nilishahoji humu kuwa hivi SUA ina umuhimu gani kwa wakulima wa Tanzania ambao ni zaidi ya 70% ? Ikiwa:-

Mbegu bora za mazao zinatoka nje mostly S.Africa, Netherlands, Brazil, Kenya na USA

Pembejeo zinatoka nje kuanzia trekta ya kulimia na mashine za kupandia, kupalilia na kuvunia

Mbegu bora ya mifugo zinatoka nje mostly Israel, Uholanzi na Uingereza

Dawa za mimea na mifugo zinatoka nje ya Tanzania

Sasa kwa miaka yote SUA ipo pale graduates wa kutoka pale wanagundua au kubuni nini wao????


Watu weusi tusitafute kujitetea bure.
 
WHO hawasemi njia za kupambana na corona afrika(tropical) au nchi zenye joto. Wanasemea tu ulaya na marekani nchi baridi, kweli wanamuambia mtu dar ajifungie na joto za dar kweli,barakoa zenyewe sehemu za joto unyevu na joto hewa inapungua. Kujifungia kwenye joto na unyevu joto barakoa ,tuko salama?
Mbaya zaidi aliye andika utakuta ni mtu wa HKL tena mwenye four alafu anakaa anajifanya amekua dokta.

Wabongo tuna kwama wapi?
 
Unajua maana ya Hoja? Wewe mavi kweli. Lini magufuli kaongea hoja kenge wewe
 
Kama kawaida yao walikaa wakajifungia wakaangalia projections ya ukuaji wa uchumi wao wakaona mchina anawatimulia vumbi kila walichokuwa wanamtishia anacho na vingine anavyo vya ziada yaani ana mtaji wa rasilimali watu,

Iko hivi walipoona viashiria vyote vya Ufalme wa China kwenye uchumi wa Dunia walijipanga kumdhibiti mchina kwa kumharibia taswira yake kiuchumi ndio maana wanajeshi wa Marekani wakishirikiana kwa karibu na Taasisi za kijasusi za Marekani walifanikiwa kuisambaza Corona iliyorutubishwa China

Mapema sana baada ya kuusambaza WHO ilishinikizwa itoe maelekezo ya kuiblock China na kuitangaza kwa mitazamo hasi

China kupitia kampuni yake ya HUAWEI ilisaidia majasusi wa kichina kuujua mpango kamili, China wakamuita Mkurugenzi mkuu WHO wakampanga mapema kabla ya Trump hajailazimisha WHO kuiblock China
.
Mkurugenzi WHO walikuwa na kiburi cha kutofuata maagizo ya marekani kwa sababu aliahidiwa murungura maradufu
.
Haya mambo sisi Waafrika tuko kwenye mkumbo tu lkn wababe wanaogombania Ufalme wa Dunia ndio wanaopigana kuhakisha kwamba wanzimana waendelee kutawala
..
 
Kuna unafiki sana kwenye hii pandenic ya corona na namna inavyoshughulikiwa na hizi taasisi za kimataifa. Mtu mwenye fikra huru atakwambia "to hell with corona na politics zake" maana ukichunguza kwa kina kuna ubinafsi na uongo uongo mwingi uliojificha nyuma ya mwamvuli wa "sayansi".

Ok, vaccine za kwanza kuhusiana na corona ni zile za China na Urusi. Ila dunia pamoja na WHO imetuaminisha kwamba zile hazipaswi kupewa air time mpaka tusubiri za Ulaya na Marekani. Magu akitilia mashaka hizi motives anakuwa amekosea?

Haya, wakati wa maelekezo ya kupambana na corona - social distancing, kuvaa mask, bla bla... - WHO walikuwa wanasifia nchi flani flani za kiafrika zilizokuwa zinatekekeza maagizo hayo kama marobot. Sasa hivi kuna vaccines za corona ila tunaambiwa kwamba nchi za kiafrika zitaanza kupata dose zake kuanzia labda mwishoni mwa mwaka 2021.

Nchi inayojitambua na kama unajitambua huwezi kuweka tumaini lako kwenye vaccine za corona ili kupambana na corona. Magu kashasoma hilo gemu lote na yupo sahihi kusema kwamba maisha ya watanzania kwenye corona version 1 hayakusubiri vaccine, na pia hayatasubiri vaccine kwenye corona version 2. Ni upuuzi kutegemea corona vaccine unayoweza kuipata mwaka 2022. Ina maana basi maisha hayataendelea hadi tusubiri vaccine ya 2022 tena wanayotuchagulia wao? Umaskini wa fikra ni umaskini mbaya sana.

Sijui nikupongeze vipi, kuhusu uchambuzi wako wenye mshiko, mengi uliyo eleza hapa ndio watanzania tuna wajibu wa kuji hoji kwa kina na kumuunga mkono JPM katika juhudi zake za kulivusha Taifa letu Rubicon na sio kumbeza beza.

Pamoja na mapungufu yake ya hapa na pale kama binadamu wote tulivyo lakini ukweli utabaki kwamba JPM ni binadamu mbunifu,mwenye uthubutu na mwenye akili sana za kuchambanua /baini mengi ambayo kwa wengi wetu si rahisi kuyaona mapema zaidi kabla mambo hayaja haribika,I know maoni yangu haya yatawafanya baadhi yenu m
kunijia juu na kunisema mambo ya kutunga tu - lakini hakuna anaye jihoji hivi inakuwaje huyu binadamu akabuni almost Seven major projects za kuletea maendeleo Taifa letu, anazisimamia na kuzifatilia to the letter - ndani ya miaka minne amefanya mambo ya kuishangaza Dunia pamoja na viongozi wakuu wa Taifa letu walio mtangulia,one may ask sasa haya ninayo yasema hapa yana uhusiano gani na chanjo za COVID-19 - uhusiano hupo sana,kama aliweza kubuni na kupanga masuala ya meandeleo yenye uhakika na akafanikiwa against all odds which means ni binadamu muona mbali anaye chambua mambo kwa kina kabla haja tekeleza, sasa anapo tahadhalisha kuhusu matumizi ya chanjo zinazo zalishwa kutoka kwenye source moja bila ya kuwachia Mataifa ya decide kama ikibidi wanunue chanjo kutoka kwenye alternative sources na siyo WHO kuwekea Mataifa shinikizo la kununua chanjo kutoka makampuni fulani or else, ukiangalia kiundani chanjo zinazo pigiwa debe na WHO mtu anaona ni unafiki mtupu - sina shaka hayo Dk.Magufuli ameyabaini mapema sana ndiyo maana katoa tahadhali kwa Wizara ya afya na Watanzania wote - wanao mbeza wana lao jambo, wengi wetu tupo pamoja nae, narudia kukumusha tena kwamba JPM amekwisha soma mchezo mzima akagunduwa jamaa hawa wanatuchezea akili, korona hipo kweli, lakini si kwa kiwango cha kutisha kivile.

Ni kweli kabisa kwamba Taifa lililo gunduwa chanjo kwa mara ya kwanza Duniani ni Urusi, lakini cha ajabu uvumbuzi huo ulipokelewa in luke warm na makampuni shindani ya magharibi wakaanza kampeini zao za kuipiga vita eti Warusi wali cut corners ndio maana wamefanikiwa in a record time, Trump kasema Warusi wali-hack data base za maabara tafiti za USA na Ujerumani na kuwaibia siri za chanjo ya korona ndio maana Warusi wamefanikiwa!

Afisa mmoja katika Serikali ya Trump alikwenda mbali zaidi kwa kusema kwamba chanjo ya Urusi hawezi kumchanja hata mbwa wake - just imagine.

China ilikuwa na kampuni tatu zilizo jihusisha katika tafiti za chanjo za korona, wamefanikiwa na wanasema chanjo zao kama zilivyo chanjo za Urusi zina uwezo wa kuwa effective dhidi ya korona by 95.5% hilo halisemwi na MSM za magharibi, tukija WHO nayo ugusia kidogo kuhusu chanjo za kichina, WHO wanajidai kuweka chanjo za China kwenye list ya potential vaccines za korona lakini stori inaishia hapo,badala yake nguvu kubwa za Uongozi wa WHO kupigia debe chanjo za makumpuni ya Merikani na Ulaya specifically Pfizer/Oxford-Zeneca/Moderna - cha ajabu Uongozi wa WHO hawazungumzii chochote kuhusu chanjo zinazo zalishwa na Kampuni za Urusi na China - hii inaleta picha gani,binafsi nafikiri mifano kama hiyo ndiyo inamfanya JPM anajiulize maswali mengi na kuguduwa kinacho endelea nyuma ya pazia, semeni lolote kumuhusu yeye,lakini siku moja niliwahi kumsikia Trump akimuunga mkono Dk. Magufuli kuhusu kushtukia kwake mashine zilizo kuwa zinapima virus vya korona, alisema baadhi ya mashine zinatoa tawimu za kugushi/zimechezewa ili ku-inflate idadi ya maabukizi, wahusika wakiwa na malengo mawili - lengo la kwanza ni Political, walitaka kuleta taharuki kwa raia ili Trump hasichaguliwe tena for a second term in office for failing to deal with Corona effectively - lengo la pili ni kutisha tisha Serikali za mataifa mbali mbali Duniani kwa takwinu za maambukizi nchini mwao ili yakimbilie kununua chanjo za Makampuni ambayo yalikwisha kuwa earmarked na WHO kuuza chanjo zao ili Makampuni hayo yavune fedha ndefu big time.
 
Kama kawaida yao walikaa wakajifungia wakaangalia projections ya ukuaji wa uchumi wao wakaona mchina anawatimulia vumbi kila walichokuwa wanamtishia anacho na vingine anavyo vya ziada yaani ana mtaji wa rasilimali watu,

Iko hivi walipoona viashiria vyote vya Ufalme wa China kwenye uchumi wa Dunia walijipanga kumdhibiti mchina kwa kumharibia taswira yake kiuchumi ndio maana wanajeshi wa Marekani wakishirikiana kwa karibu na Taasisi za kijasusi za Marekani walifanikiwa kuisambaza Corona iliyorutubishwa China

Mapema sana baada ya kuusambaza WHO ilishinikizwa itoe maelekezo ya kuiblock China na kuitangaza kwa mitazamo hasi

China kupitia kampuni yake ya HUAWEI ilisaidia majasusi wa kichina kuujua mpango kamili, China wakamuita Mkurugenzi mkuu WHO wakampanga mapema kabla ya Trump hajailazimisha WHO kuiblock China
.
Mkurugenzi WHO walikuwa na kiburi cha kutofuata maagizo ya marekani kwa sababu aliahidiwa murungura maradufu
.
Haya mambo sisi Waafrika tuko kwenye mkumbo tu lkn wababe wanaogombania Ufalme wa Dunia ndio wanaopigana kuhakisha kwamba wanzimana waendelee kutawala
..

Haya hayako humu kweli?


Kazi mnayo!
 
Waliogonga cha Madagascar waombwa na wadau kutoa mfano kwa hivi vipimo vipya vya Korona kutoka China!
... This will definitely cement our ties with our communist allies!
👊 😅 ✌️ 💥
 
Each to his/her/their own.
masoudkipanya_20201001_1.jpg
 
Back
Top Bottom