Nyani McCain said:Some of you are so hung up on the past that you can't move forward with your lives. It's getting kinda old now...
Nyani McCain,
..i lived thr' the hardship brought on to us by Mwalimu's policies and decisions.
..sasa kuna ving'ang'anizi wanajaribu kutuambia kwamba tulikuwa na maisha mazuri kuliko wakati wowote.
..the country is trying to move on, lakini hawa 'watetezi' wa Mwalimu wa kila hali ndiyo wanataka kuturudisha kulekule tulikotoka.
Mwanakijiji,
..Mwalimu hakuwa straight forward ktk kukiri makosa na matatizo ya utawala wake.
..huoni kwamba hata anapokiri kukosea anafanya hivyo akiwa na vyombo vya habari vya nje, years after he resigned.
..Mwalimu alipaswa kutuangalia wa-Tanzania machoni, mwaka 1985 wakati anaondoka madarakani, na kutueleza kwamba amekosea, ameharibu, na anaondoka madarakani kwasababu ameshindwa, siyo kwasababu amechoka au ametawala kwa muda mrefu.