Nawaonea wivu vijana wetu wa sasa kwani wanakuwa na fikra
Nyinyi vijana mnaosoma historia iliyoandikwa chini ya mfumo na sera zake hamuwezi kumjua vizuri Nyerere.Waulizeni kina Zacharia Hans na wenzake ni kitu gani kilichowafanya watake kumpindua huyu mchonga meno.
Have you ever wondered why the Zacharia Hans never succeeded in overthrowing the Nyerere government?