Mkuu heshima mbele sana, elimu ni kichwa cha mtu na sio utoto wa rais, Magige ni Electrician tena wa Mlimani enzi zile, Madaraka anamiliki Masters, shule walisoma hizi zetu kama sisi makabwela lakini at the end of the day, kilicho-matter ni akili kichwani kitu ambacho it does not matter wewe ni mtoto wa nani, kama unazo unazo kama huna huna!
Siasa nyingi za Mwalimu hazikuwa safi kwa muangalio wangu na wako, lakini are better off now as a nation kiuchumi kuliko under Mwalimu? Au uhuru wa kuongea peke yake unatosha? Hivi ni kweli tuko huru kuongea?
I mean tumetoka kwenye one misery tumeingia kwenye misery mpya, lakini mazingara tofauti, hakuna sababu ya kulumbana hapa maana kina Kikwete, Lowassa, Rostam, Mkapa na Karamagi, wakiona hii mijadala watalala vizuri sana usingizi wao!
FMES,mi sikutaka kuchangia point ya huyo bwana kwa sababu bado nilikuwa nacheka.