WHO investigating possible unknown illness in Tanzania

WHO investigating possible unknown illness in Tanzania

Na si ajabu wameuleta wao
Mafua ya nguruwe, bonde la ufa mafua ya ndege hawajaonekana! Aliekufa kwa ugonjwa usiojulikana wamefunga safari kufanya utafiti mzungu hafungi safari bure utawasikia ugonjwa wa Ebola uko hapa
 
Lipuuzi kweli wewe mla kokoto za chooni, Kama wanawafukuzia watalii wafukuzeni wenyewe kwanza ili wasije kuwaharibia uchumi wenu
Usitukane we we.unajua Osama bin laden walimpateje??inasemekana walitengeneza wrong vaccine kwa watoto .syringes zilizokuwa zikitumika kuchanja zilikuwa zikivuta damu ambayo ilitumika kupima DNA
 
Kwanza huyo mgonjwa alifia hospital gani na ni RAIA wa wapi?
 
Naanza kumkumbuka yule Dr. aliewahi toa angalizo kisha akapigwa chini ingawa watu wanahisi ni ule ugonjwa wa huko DRC.

Tuwaachie wahusika.
Umesema yote. CDC na WHO wanafanya approach ambayo ni suitable au ambayo ni befitting na mfumo wa utawala wa Awamu ya 5. Kwenye awamu hii kuficha takwimu au kuchakachua takwimu imekuwa ndiyo norm. Wenyewe wanaita MATAGA.

Dr Mwele Malecela (PhD), alifukuzwa kazi kama mbwa kwa kufanya kazi kwa weledi. Aliposema kuna dalili za ugonjwa wa Zika mwaka 2016 akaonekana ana dhalilisha nchi. Professionally baada ya pale ilipaswa kuchukua samples na kwenda ku-test laboratory wakati tahadhari ya kuzuia maambukizi zikifanyika.

Baada ya Dr Mwele kuondoshwa NIMR sidhani kama aliyechukua nafasi ile anatekeleza majukumu yake. Anaweza akawa ana weledi lakini anaogopa yasimpate yaliyompata Dr Mwele. Wakati wa Dr Mwele hata Mtanzania wa kawaida alijua kuna NIMR ila kwa sasa sidhani.

Kama NIMR ingefanya kazi zake kwa uhuru na kadri Sheria inavyotaka basi tusingesumbuliwa kiasi kile na ugonjwa wa homa ya Dengue.

Homa ya Dengue imeua watu kwa maelfu kuanzia mwaka jana hadi katikati ya mwaka huu wa 2020. Nina uhakika wataalamu walikuwa wanajua lakini nani aseme kuwa ni homa ya Dengue. Wanaogopa kutumbuliwa kama Mwele, wamewaachia wanasiasa ndiyo washughulikie.

Likewise kwenye hiyo Ebola, ndiyo maana hawa WHO wameita unknown disease.

Nashauri kwenye vitu serious kama takwimu au dalili za uchumi na ugonjwa Serikali iache 'rigging', unaweza uka 'rig' takwimu za election ila huwezi ku 'rig' takwimu za uchumi na afya.
 
Umesema yote. CDC na WHO wanafanya approach ambayo ni suitable au ambayo ni befitting na mfumo wa utawala wa Awamu ya 5. Kwenye awamu hii kuficha takwimu au kuchakachua takwimu imekuwa ndiyo norm. Wenyewe wanaita MATAGA.

Dr Mwele Malecela (PhD), alifukuzwa kazi kama mbwa kwa kufanya kazi kwa weledi. Aliposema kuna dalili za ugonjwa wa Zika mwaka 2016 akaonekana ana dhalilisha nchi. Professionally baada ya pale ilipaswa kuchukua samples na kwenda ku-test laboratory wakati tahadhari ya kuzuia maambukizi zikifanyika.

Baada ya Dr Mwele kuondoshwa NIMR sidhani kama aliyechukua nafasi ile anatekeleza majukumu yake. Anaweza akawa ana weledi lakini anaogopa yasimpate yaliyompata Dr Mwele. Wakati wa Dr Mwele hata Mtanzania wa kawaida alijua kuna NIMR ila kwa sasa sidhani.

Kama NIMR ingefanya kazi zake kwa uhuru na kadri Sheria inavyotaka basi tusingesumbuliwa kiasi kile na ugonjwa wa homa ya Dengue.

Homa ya Dengue imeua watu kwa maelfu kuanzia mwaka jana hadi katikati ya mwaka huu wa 2020. Nina uhakika wataalamu walikuwa wanajua lakini nani aseme kuwa ni homa ya Dengue. Wanaogopa kutumbuliwa kama Mwele, wamewaachia wanasiasa ndiyo washughulikie.

Likewise kwenye hiyo Ebola, ndiyo maana hawa WHO wameita unknown disease.

Nashauri kwenye vitu serious kama takwimu au dalili za uchumi na ugonjwa Serikali iache 'rigging', unaweza uka 'rig' takwimu za election ila huwezi ku 'rig' takwimu za uchumi na afya.

Umeeleza vizur sana mkuu
 
Nadhani ni mbinu ya kukimbiza watalii, wanataka waje na majibu ya ugonjwa wa ajabu ili wawaogofye watalii kuingia Tanzania. Hawa mabeberu ni kazi kweli kweli, wanajaribu kila wanaloweza kutukwamisha, ila walishahindwa maana kila tawi wanaloegemea linakatika na kuanguka puuuuuuuuu, hahahaha, Mungu alishaamua kusimama na sisi hakuna wa kuturudisha nyuma
Mficha malazi kifo umuumbua
 
Duh ...!
Hii kali, WHO wanasema unknown disease, wewe unasema ebola!.

Kama ni unknown, naunga mkono juhudi za serikali yetu kufanya siri ili kuzuia panic attacks.
P
Wangekua wanazuia basi wangezuia na hili tangazo pia maana hili tangazo likienda public linaweza zua sintofahamu kwa kifupi hamna kipya hapo.
 
Duh ...!
Hii kali, WHO wanasema unknown disease, wewe unasema ebola!.

Kama ni unknown, naunga mkono juhudi za serikali yetu kufanya siri ili kuzuia panic attacks.
P
Haya ndo yale yaliyomtoa Dr malechela .... hivi kuna shida ganinkukaa kimya kusubiri vyomba au vyombo vinachelewa i think it is more logical kuwa unknow illiness kama ulivyosema panic inaleta mauaji
 
Bt Serikali bado haija comfirm ukweli wa taarifa hizo,tuwaachie wafanye uchunguzi watatupa taarifa kamili
 
Sijui kwa nini serikali Inafanya siri lakini WHO wanafanyia kazi tetesi zote zinazoibuka kama viashiria vya uwezekano wa kuwapo kwa ugonjwa au magonjwa. Hii nayo ni tetesi tu. Tusibiri tuone matokeo ya uchunguzi yatakuwaje!
UTALII huingizia taifa pato kubwa kuliko sekta nyingine yoyote.
Ukishalijua hilo utaelewa maana yake.
 
Mafua ya nguruwe, bonde la ufa mafua ya ndege hawajaonekana! Aliekufa kwa ugonjwa usiojulikana wamefunga safari kufanya utafiti mzungu hafungi safari bure utawasikia ugonjwa wa Ebola uko hapa
Kweli kabisa sio watu wazuri kabisa
 
Paskali lile wazo langu la kugombea ubunge ulifanyie kazi
Mwambie na jimbo pia litakalo mfaa, usifhani kujenga hoja humu ni sawa na kuapambana huko majukwaani. maana huko kuna kitwanga Paulo n.k na wana mizizi na nguvu
 
Back
Top Bottom