Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
mie hata najua kuhusu details nyingine basi najua alisoma Ud. ukiuliza mwaka sijui masters ndio hiyo Dubai...

tukaambiwa education is sexy na sie tukawa inspired ie Lara one na ye kapata yake inshaalah na mie nikikazana nitakua nayo soon.......

Unajua...walau nikijua mwaka aliohitimu hapo UDSM na kozi aliyosomea itakuwa rahisi ku-cross check na watu waliomaliza mwaka huo na pia nitaangalia kwenye vile vi-booklets vinavyoorodhesha wahitimu na majors zao kabla sijaenda utawala kwenye ofisi ya registrar.....

Get my drift? Na hapo ni kwa UDSM tu.....bado Marekani....ambako ni rahisi zaidi kujua kama kweli alisoma college au la!
 
Wee...bahati kuolewa na mzungu yahaya...?!!!
Ye mwenyewe ana watoto wa baba tofauti..!!!hebu asirushe jiwe kwenye nyumba ya vioo...!
Angekua wa maana au ana hadhi si angezaa wote kwa mmoja..!
Hahaaaaaa! YAHAYA HAJAFILE BANKRUPTCY CLAIM LAKINI! Afu baba tofauti Mange just 1 kid ndo baba tofauti! BEAUTY WA KIJIJI 4 KIDS 4 FATHERS DOOOOOOOH! Ratio imeimamia 1:4 Hahahaaaaaa!
 
 

asa kumbe wote wana michezo michafu yule mkimbizi...!huyu kalazimisha ndoa!
Ila mwambie bosi wako uchorii watamchoma moto mama angu mzazi...!
 

hahahaha uzi unamuhusu mange au unatuhusu sie mpaka tukupe details zetu??,?? wewe si umeleta uzi tujue kindakindaki who is mange ndo ujibu maswali yote sasa haswa ya ustaadh swaleh
 
hahahaha uzi unamuhusu mange au unatuhusu sie mpaka tukupe details zetu??,?? wewe si umeleta uzi tujue kindakindaki who is mange ndo ujibu maswali yote sasa haswa ya ustaadh swaleh
Hahahahaaaaa! I GUESS HIO NDO NJIA NYINGINE YA KUSEMA HAMNA CREDENTIALS ZINAZO HOLD WATER! Hahahaaaaa! Mkuki kwa Mange kwenu mchungu kama tula tula au ndulele!
 

Mbn mnaumiza.kichwa sana wakala wake si yupo hapa atuambie maana yeye ndo kaleta CV koko hapa kutisha watu
 
asa kumbe wote wana michezo michafu yule mkimbizi...!huyu kalazimisha ndoa!
Ila mwambie bosi wako uchorii watamchoma moto mama angu mzazi...!
Hahaaaa! Kweli we bendera fata upepo beauty wa kijiji ushamtelekeza eeeh! Hahaaaaa! HAUNA EVIDENCE ZA KUSUPPORT KALAZIMISHA NDOA VIPI? Ni maneno yenu tu wakosaji.
 

mi siwezi kumsema mzazi wake kwanza hajanikosea na kwa hilo nampa hongera ila sasa mzazi alitwanga maji kwenye kinu.....!
alivyoenda kule akapata na mimba akarudi bongo kuja kubanana...kuonyesha hana shukrani kwa mzee wake akamletea mjukuu..!!
Mi mange ndo namuona hana akili kupenda maugomvi na watu kila siku..m!na hapo ana elimu hvoooo.m.!asa inamsaidia nini....!????
 
usiku mwema wadau.... sikuona fact yoyote zaidi dizaini ilikua kama promotion ya bidhaa Fulani. hivi Leyla baba yake ni NANI???? kwa jina?? maana lawama anapewa Mama, baba yake yupo????

alamski CASE CLOSED.
 

Mie hata sioni point yako iko wapi?Kwa hiyo wewe unaona kusoma nje ni dili sana?Wengine nje wanaenda kutembea tu kama kusoma hata hapa bongo vyuo vizuri tu.Kama huyo mange hicho chuo cha dubai hata kwenye top 10000 ya vyuo duniani sidhani kama kipo so huwezi kucompare alieyebaki udsm na huyo wa sijui walong.Na siku zote mtu unakuna panapowasha kama baba yake alikuwa ana hela atleast ingependa tusikie alisoma havard,oxford au hata cambridge lakini huto tucollage tena ada unakuta mbili si bora nibaki hapa hapa tz with my family?
 
 
Mi nisome tu maana sioni point kabisaa unayotolewa na Lara ,aisee siku nikienda ishi Us ntawataarifu mjue ntakua nshakua tajiriii halaf ntawapigia picha ya kila mahali mnione nipo juu,teh teh jamani ngoja nilale mie,lara huna hoja unakimbiliaa vitu tofautiiii
 
usiku mwema wadau.... sikuona fact yoyote zaidi dizaini ilikua kama promotion ya bidhaa Fulani. hivi Leyla baba yake ni NANI???? kwa jina?? maana lawama anapewa Mama, baba yake yupo????

alamski CASE CLOSED.

Ina maana umeshindwa kujibu huto tuswali twangu?
 
Jamani mie naishi sayari gani? Mbona simjui huyo mange wala yeyote anaezungumziwa hapa? Au mie ni msukule jamani, maana umbea naupenda!! Lol
 
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…