Kama uzi unavyojieleza , yule mwanamama aliyeshindikana hapa Tannzania na mwenye uwezo wa kumchamba mtu yoyote anayeingia 18 zake haijalishi awe na ndevu za shaba au za kipilipili , wigi la brazilian au msuko wa twende kilioni , mpanda vogue au bodaboda , anayeishi masaki au kwa bibi mfuga paka , siku tatu hizi ametoa dozi za uhakika kwa Rachel Temu mdogo wa miss Tanzania Hoyce Temu na leo kaiamkia familia ya mama etu Rita Mlaki , maneno aliyowachamba kimaadili hayafai kuyaposti hapa.....
Nawapa pole wanaoendelea kumchokoza huyu dada, wa Mwache na maisha yake tu ili asiwadhalilishe , hasa wadada manaomtukana kwa accont zenu orijino mnawaponza wazazi wenu.....Sumu haijaribiwi kwa kurambwa , muwe na wikend njema!!!
Chanzo cha ugomvi hao watu wato wanamtukana Mange na familia yake hasa watoto wake walifikia hadi kuedit picha za bint Mange na kuzirusha mtandsoni akiwa uchi, kwahiyo Mange akaamua kudeal na Rachel Temu ambaye alimwambia Mange baba ake alijiua baada ya kulawitiwa....sasa Mange amemwamlia Rachel ambaye saivi anataka kuolewa na Mzee mmoja wa UN wa Kizimbabwe anasema atahakikisha ndoa haifungwi na kwa kuanza kaingia kwenye mawasiliano yote ya huyo baba na kumpelekea kichambo hadi kwa mabosi zake UN ... Na ametangaza kiama cha matusi kwa yeyote atakayetangaza hiyo ndoa kwenye page yake ataifahamu kama laki si pesa katika awamu hii ya Tano.
Kuhusu Mama Rita Mlaki anamtukana kwasababu binti yake pekee Nambole sijui anashinda kwenye page ya kichwa panzi kumtukana Mange, Mange anasema alishawahi kumtukana huyo mama hadi alimfuata analia amsamehe akamwacha, lakini anasema huyo mama Mlaki ameshindwa kumdhibiti huyo binti yake wa miaka zaidi ya 40 ambaye hajaolewa na anaishi kwao kumtukana Mange kila siku. Kama huamini pitia pages za wanaomtukana Mange utamkuta binti wa Mama Rita akimtukana Mange.....Mange kasema huyo binti akinyamaz naye atamwacha mama ake na baba ake, na anamtukana huyo mama sababu huyo binti hata akitukanwa ni don bother !!!