amamus
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 370
- 236
Inaonekana unamfahamu vizuri kweli hahahaha umetishaWe unatafuta sababu ya kupata ukimbizi wa kisiasa kwa madai ya kuikosoa serikali. Tafuta mzungu mwingine uolewe huko, maana hii ya kutukana imebuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana unamfahamu vizuri kweli hahahaha umetishaWe unatafuta sababu ya kupata ukimbizi wa kisiasa kwa madai ya kuikosoa serikali. Tafuta mzungu mwingine uolewe huko, maana hii ya kutukana imebuma
BAK upoHuyu kishachukua Umarekani hahitaji tena kuomba awe mkimbizi.
inafaida gani sasa mwisho wa siku utaanza kupigana na maadui ambao amewatengeneza yeye mwenyewe.Kama uzi unavyojieleza , yule mwanamama aliyeshindikana hapa Tannzania na mwenye uwezo wa kumchamba mtu yoyote anayeingia 18 zake haijalishi awe na ndevu za shaba au za kipilipili , wigi la brazilian au msuko wa twende kilioni , mpanda vogue au bodaboda , anayeishi masaki au kwa bibi mfuga paka , siku tatu hizi ametoa dozi za uhakika kwa Rachel Temu mdogo wa miss Tanzania Hoyce Temu na leo kaiamkia familia ya mama etu Rita Mlaki , maneno aliyowachamba kimaadili hayafai kuyaposti hapa.....
Nawapa pole wanaoendelea kumchokoza huyu dada, wa Mwache na maisha yake tu ili asiwadhalilishe , hasa wadada manaomtukana kwa accont zenu orijino mnawaponza wazazi wenu.....Sumu haijaribiwi kwa kurambwa , muwe na wikend njema!!!
Chanzo cha ugomvi hao watu wato wanamtukana Mange na familia yake hasa watoto wake walifikia hadi kuedit picha za bint Mange na kuzirusha mtandsoni akiwa uchi, kwahiyo Mange akaamua kudeal na Rachel Temu ambaye alimwambia Mange baba ake alijiua baada ya kulawitiwa....sasa Mange amemwamlia Rachel ambaye saivi anataka kuolewa na Mzee mmoja wa UN wa Kizimbabwe anasema atahakikisha ndoa haifungwi na kwa kuanza kaingia kwenye mawasiliano yote ya huyo baba na kumpelekea kichambo hadi kwa mabosi zake UN ... Na ametangaza kiama cha matusi kwa yeyote atakayetangaza hiyo ndoa kwenye page yake ataifahamu kama laki si pesa katika awamu hii ya Tano.
Kuhusu Mama Rita Mlaki anamtukana kwasababu binti yake pekee Nambole sijui anashinda kwenye page ya kichwa panzi kumtukana Mange, Mange anasema alishawahi kumtukana huyo mama hadi alimfuata analia amsamehe akamwacha, lakini anasema huyo mama Mlaki ameshindwa kumdhibiti huyo binti yake wa miaka zaidi ya 40 ambaye hajaolewa na anaishi kwao kumtukana Mange kila siku. Kama huamini pitia pages za wanaomtukana Mange utamkuta binti wa Mama Rita akimtukana Mange.....Mange kasema huyo binti akinyamaz naye atamwacha mama ake na baba ake, na anamtukana huyo mama sababu huyo binti hata akitukanwa ni don bother !!!
Kwani aliwahi kukutukana wewe mtoa post?Mange Kimambi ndiye mtu anayeogopwa na serikali ya CCM ya awamu ya 5 kuliko mtu yeyote yule duniani. Kwa jinsi ambavyo amekuwa akitukana matusi ya nguoni, kudhalilisha, kusambaza habari za uongo kuhusu Ikulu kwa kusema Makamu wa Rais ameandika barua kujiuzulu nk. Ninakiri wazi kuwa Mange Kimambi hakuna anyeweza Kumgusa maana Marekani siyo Mbali angeshafikiwa zamani sana.
Kwa jinsi alivyomtukana Waziri Mstaafu Rita Mlaki matusi ya nguoni yeye na familia yake, Niwashauri tumpigie Magoti Mange na tumbembeleze Ili apunguze matusi na udhalilishaji la sivyo kile alichokuwa akikitaka wakati anagombea tumpe maana hakuna namna
Hakuna cha Usalama wa Taifa, Hakuna Cha polisi, Hakuna cha interpol, hakuna cha Cyber, hakuna cha Ikulu
Tujifunze Kukiri na Kukubali kuwa Mange Ametushinda. Na kama ndivyo acha tu aendelee kutukana na tusiwaone mkilalalmika ktk mitandao kuwa mmetukanwa
Wanasemaga "Silence is the best answer for a fool"Jibu la mjinga ni nn?
Hafu ana I'd nyingi JF anajianzishiaga nyuzi mwenyewe hata insta mafekero kibao kweli mda anaoJe ni sawa mtu akigombana na wewe awatukane ukoo wako wote, marafiki zako, kila aliye karibu na wewe? Huo ni ukichaa
You are.right...[emoji124]Wanasemaga "Silence is the best answer for a fool"
Hata yule jamaa wa Ze Utamu alikuwa anajidanganya hivi hivi,mwisho alipotea kabisa
Poa tupo Tupo Na jembe letu Mangenita.MTU peke anayetufikishia Kilio cheti.Mana wengine Ni.kama tumefungwa hakuna cha wawakilishi Bungeni Mana Ni.lock tu.Thanks Lord for Mangenita.Nimejaa tele kama pishi ya mchele wa Kyela.