Hapo ndo tatizo lilipo unahakika gani kwamba mimi nimetembea na fulani kisa tu kasema nimetembea nae? So leo nikikwamba nimelala na Rihanna na mtu mwingine akatokea kusapoti madai yangu utaamini? Hii ni akili au matope
Nasema uelewa wa watanzania na uchambuzi wa mambo bado mdogo sana.
Ndo maana nazitafuta sizioni...Hahahaha hali yake ni mbaya sana..kafuta post zote alizomtaja mange
Ana kazi gani marekani?Aje kuongelea hapa hapa kwani yy hana kazi ya kufanya marekani? tambua yy ni mkazi wa huko lazima aongelee huko huko alipo kwani ujasiri lazima uwepo Tanzania? Watanzania wangapi wapo nje wanakerwa na udikteta wa kumkumbatia Daud bashite lakini hawathubutu kusema kitu, Vijana hawajawadharau viongozi bali tabia zao za kukumbatia Uovu ndizo huwafanya kudharaulika, heshima zipo kwa wale viongozi wanaojiheshimu tu, isipowaheshimu watanzania hakuna atakayekuheshimu dawa ya moto ni moto, wameamua kumkumbatia Daud bashite asiye na vyeti huku wafanyakazi wengine wakiwa wamefukuzwa kazi wanateseka mitaani alafu mnataka mheshimiwe kwa lipi? Ebu mfukuzeni Daud bashite muone heshima zenu zitavyorejeshwa kwa kasi.
Bro umesahau birthdate yako, kijiji ulichotoka, shule ulizo soma, Madem ulio watema na waliokutema, buznes unazofanya...naona sasa unaitaji kukumbushwa. Uyu dada anakipaji cha ku deal na mtu mmoja ata kama itamcost mwaka mmoja ili tu ilimradi awini case....Nenda hist kwa maelezo zaid..we post jambo alafu mtag...utampendage. yn anafaa sana kuwa private investigetor..ukitaka kuona unamtumia kujua CVs ya mchumba wako...pro atakupa mpaka details za lini kamtumia jamaa meseji ya mapenzi..Achana Na Mange aitwe Mange..Habarini wanajamvi,
Nimekuwa nikimsikia mwanadada Mange Kimambi kama Mwanamama na Mwanaharakati Wakitanzania anayeishi nchini Marekani anaefanya harakati zake kwa njia ya Mitandao ya Kijamii kama vile INSTAGRAM na FACEBOOK.
Mwanamama huyo amekuwa akitoa hoja mbali mbali ziwe hasi au chanya zinazohusu Serikali, Taasisi na hata watu binafsi na anaonekana kupata mashabiki wengi hasa vijana wanaotumia mitandao hiyo ya kijamii.
Je? Mwendelezo wa harakati hizi unaweza kuwa na athari gani kwa vijana na watu wa rika zote wanaomfuatilia?
Wanaomfatilia na mashabiki wake wengi ni wale wanaopenda matusi na umbea,hakuna zaidi.Kama huyo Dada angelikua mwanaharakati wa kweli angafanyia shughuli hizo hapahapa nchini na juu ya yote asingekua anatukana matusi ya nguoni kama anayofanya.Habarini wanajamvi,
Nimekuwa nikimsikia mwanadada Mange Kimambi kama Mwanamama na Mwanaharakati Wakitanzania anayeishi nchini Marekani anaefanya harakati zake kwa njia ya Mitandao ya Kijamii kama vile INSTAGRAM na FACEBOOK.
Mwanamama huyo amekuwa akitoa hoja mbali mbali ziwe hasi au chanya zinazohusu Serikali, Taasisi na hata watu binafsi na anaonekana kupata mashabiki wengi hasa vijana wanaotumia mitandao hiyo ya kijamii.
Je? Mwendelezo wa harakati hizi unaweza kuwa na athari gani kwa vijana na watu wa rika zote wanaomfuatilia?
[emoji18] [emoji18] [emoji18]Athari ni kama hii umeacha shuhuli zako umefungua thread ndefu tu ya kumjadili.
Duuuuu...Bro umesahau birthdate yako, kijiji ulichotoka, shule ulizo soma, Madem ulio watema na waliokutema, buznes unazofanya...naona sasa unaitaji kukumbushwa. Uyu dada anakipaji cha ku deal na mtu mmoja ata kama itamcost mwaka mmoja ili tu ilimradi awini case....Nenda hist kwa maelezo zaid..we post jambo alafu mtag...utampendage. yn anafaa sana kuwa private investigetor..ukitaka kuona unamtumia kujua CVs ya mchumba wako...pro atakupa mpaka details za lini kamtumia jamaa meseji ya mapenzi..Achana Na Mange aitwe Mange..
Jibu swali unataka kujua kazi ya Mangi Kinambi kwani anakula kwako? Umeshawahi kumsaidia? fanya kazi acha majungu.Mbona akitukana watu nyie mnashangilia kwani anakula kwenu?
Hayo maneno ulipaswa kumwambia Mange kwakuwa ndiye ana majungu...msiwe na double standard.Jibu swali unataka kujua kazi ya Mangi Kinambi kwani anakula kwako? Umeshawahi kumsaidia? fanya kazi acha majungu.