Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
Hapo ndo tatizo lilipo unahakika gani kwamba mimi nimetembea na fulani kisa tu kasema nimetembea nae? So leo nikikwamba nimelala na Rihanna na mtu mwingine akatokea kusapoti madai yangu utaamini? Hii ni akili au matope

Nasema uelewa wa watanzania na uchambuzi wa mambo bado mdogo sana.


Wewe ndio uelewa wako mdogo. watu wanatoa mpaka ushahidi halafu unaleta dharau hapa???
 
Siku zote Ninaamin kwa mtanzania anayejua kusoma na kuandika TU, akikumbatia Mambo ya Bashite, Bas Si mlaum sana,Kuna uwezekano aliingia chooni, ila kwa bahat mbaya wakat anatoka akasahau kuchukua akili zake alizokua ameacha mlangoni wakat anaingia, akajikuta anatoka na zile zile chache alizoingia nazo ndan kumsaidia Asijinyeee, Kwa maana ukiingia chooni akili Zote zinazokutambulisha ulivyo unaziacha mlangoni, unaingia na zile za kulengea shimo tuu. Na ukijitia mbabe unaingia nazo zote basi jua ukifka kule zinagawana , nusu ya kulengea shimo, Nusu inayobak ndo unaitumia kuandika comment ukiwa choon, Matokeo yake n Upupu km huu wa kumsifia bashite. Watch Over
 
Aje kuongelea hapa hapa kwani yy hana kazi ya kufanya marekani? tambua yy ni mkazi wa huko lazima aongelee huko huko alipo kwani ujasiri lazima uwepo Tanzania? Watanzania wangapi wapo nje wanakerwa na udikteta wa kumkumbatia Daud bashite lakini hawathubutu kusema kitu, Vijana hawajawadharau viongozi bali tabia zao za kukumbatia Uovu ndizo huwafanya kudharaulika, heshima zipo kwa wale viongozi wanaojiheshimu tu, isipowaheshimu watanzania hakuna atakayekuheshimu dawa ya moto ni moto, wameamua kumkumbatia Daud bashite asiye na vyeti huku wafanyakazi wengine wakiwa wamefukuzwa kazi wanateseka mitaani alafu mnataka mheshimiwe kwa lipi? Ebu mfukuzeni Daud bashite muone heshima zenu zitavyorejeshwa kwa kasi.
Ana kazi gani marekani?
 
Habarini wanajamvi,

Nimekuwa nikimsikia mwanadada Mange Kimambi kama Mwanamama na Mwanaharakati Wakitanzania anayeishi nchini Marekani anaefanya harakati zake kwa njia ya Mitandao ya Kijamii kama vile INSTAGRAM na FACEBOOK.

Mwanamama huyo amekuwa akitoa hoja mbali mbali ziwe hasi au chanya zinazohusu Serikali, Taasisi na hata watu binafsi na anaonekana kupata mashabiki wengi hasa vijana wanaotumia mitandao hiyo ya kijamii.

Je? Mwendelezo wa harakati hizi unaweza kuwa na athari gani kwa vijana na watu wa rika zote wanaomfuatilia?
Bro umesahau birthdate yako, kijiji ulichotoka, shule ulizo soma, Madem ulio watema na waliokutema, buznes unazofanya...naona sasa unaitaji kukumbushwa. Uyu dada anakipaji cha ku deal na mtu mmoja ata kama itamcost mwaka mmoja ili tu ilimradi awini case....Nenda hist kwa maelezo zaid..we post jambo alafu mtag...utampendage. yn anafaa sana kuwa private investigetor..ukitaka kuona unamtumia kujua CVs ya mchumba wako...pro atakupa mpaka details za lini kamtumia jamaa meseji ya mapenzi..Achana Na Mange aitwe Mange..
 
Inasadikiwa ni raia wa marekani si mu tz tena na hatakuja rudi tz ndio maana anakosoa serikali
 
Habarini wanajamvi,

Nimekuwa nikimsikia mwanadada Mange Kimambi kama Mwanamama na Mwanaharakati Wakitanzania anayeishi nchini Marekani anaefanya harakati zake kwa njia ya Mitandao ya Kijamii kama vile INSTAGRAM na FACEBOOK.

Mwanamama huyo amekuwa akitoa hoja mbali mbali ziwe hasi au chanya zinazohusu Serikali, Taasisi na hata watu binafsi na anaonekana kupata mashabiki wengi hasa vijana wanaotumia mitandao hiyo ya kijamii.

Je? Mwendelezo wa harakati hizi unaweza kuwa na athari gani kwa vijana na watu wa rika zote wanaomfuatilia?
Wanaomfatilia na mashabiki wake wengi ni wale wanaopenda matusi na umbea,hakuna zaidi.Kama huyo Dada angelikua mwanaharakati wa kweli angafanyia shughuli hizo hapahapa nchini na juu ya yote asingekua anatukana matusi ya nguoni kama anayofanya.
 
Bro umesahau birthdate yako, kijiji ulichotoka, shule ulizo soma, Madem ulio watema na waliokutema, buznes unazofanya...naona sasa unaitaji kukumbushwa. Uyu dada anakipaji cha ku deal na mtu mmoja ata kama itamcost mwaka mmoja ili tu ilimradi awini case....Nenda hist kwa maelezo zaid..we post jambo alafu mtag...utampendage. yn anafaa sana kuwa private investigetor..ukitaka kuona unamtumia kujua CVs ya mchumba wako...pro atakupa mpaka details za lini kamtumia jamaa meseji ya mapenzi..Achana Na Mange aitwe Mange..
Duuuuu...
 
db9227af0dbe0da372589451f90279a5.jpg
 
Kama unataka kujifunza matusi na udhalilishaji kwa wanaume na wanawake wezake mfollow instagram. Sijapata kuona mwanamke asiye na nidhamu kama huyu dada.
 
Mange she is a looser, hana mume, hana wanaume wa maana kazi yake kuwa stress watu walimzidi kimafanikio
 
Jibu swali unataka kujua kazi ya Mangi Kinambi kwani anakula kwako? Umeshawahi kumsaidia? fanya kazi acha majungu.
Hayo maneno ulipaswa kumwambia Mange kwakuwa ndiye ana majungu...msiwe na double standard.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom