Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
Mange Kimambi ndiye mtu anayeogopwa na serikali ya CCM ya awamu ya 5 kuliko mtu yeyote yule duniani. Kwa jinsi ambavyo amekuwa akitukana matusi ya nguoni, kudhalilisha, kusambaza habari za uongo kuhusu Ikulu kwa kusema Makamu wa Rais ameandika barua kujiuzulu nk. Ninakiri wazi kuwa Mange Kimambi hakuna anyeweza Kumgusa maana Marekani siyo Mbali angeshafikiwa zamani sana.

Kwa jinsi alivyomtukana Waziri Mstaafu Rita Mlaki matusi ya nguoni yeye na familia yake, Niwashauri tumpigie Magoti Mange na tumbembeleze Ili apunguze matusi na udhalilishaji la sivyo kile alichokuwa akikitaka wakati anagombea tumpe maana hakuna namna

Hakuna cha Usalama wa Taifa, Hakuna Cha polisi, Hakuna cha interpol, hakuna cha Cyber, hakuna cha Ikulu

Tujifunze Kukiri na Kukubali kuwa Mange Ametushinda. Na kama ndivyo acha tu aendelee kutukana na tusiwaone mkilalalmika ktk mitandao kuwa mmetukanwa

Zimekupwaya asee...sio bure
 
Edward Lowasa
Anne Kilango
Naki Kilango
Rachel Temu
Hoyce Temu
Rizwan Kikwete
January Makamba
Mwamvita Makamba
William Malecela
Paul Makonda
Diamond Platinumz
Sintah
DJ Majay
Kinje
Teddy Kalonga
Jackline Mengi
Mboni Masimba
Shamim Mwasha & Mumewe
Linda Bedui
Zari
Jestina George
Kiki
Mama mlaki
Magufuli
....
 
Do your home work,nimekusaidia kukupa some tips.Again narudia anayofanya Mange mwenye akili timamu hawezi kuyafanya
Nakubaliana na wewe 100%.
Mimi simsapot mange na namchukua ika napenda haki. Wale wanaomtukana mange nao anawanyoosha sawa sawa.
Sidhani kama unanisoma ama hunisomi
 
Walianza wao acha mange awamalize..... walimtusi sana, kibao kimegeuka wanalia nini???? Akuanzae mmalize_Mxiewww[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Hivi makonda amewahi kumtukana mange? Lowassa je
Hawamjui hata hawana time naye. Mange akikutukana ukimpotezea naye anajiona mjinga anaacha.
Sasa jifanye unajua.. Kwanza ndio kama unamkuna hivi anasimamia kiharage utamkoma mmaee
 
Mange hana mchezo...
99dd5c822095f5e09386332c006ea3f2.jpg
 
Before Rachel hajafanya hayo aliyoyafanya mange alifanya nini kwenye familia ya Rachel?? Tuanzie hapo mkuu.
Hilo swali kalitafutie jibu mwenyewe . Mimi nimekuambia tu kuwa Mange alianzwa full stop. Mengine katafute mwenyewe
 
Nakubaliana na wewe 100%.
Mimi simsapot mange na namchukua ika napenda haki. Wale wanaomtukana mange nao anawanyoosha sawa sawa.
Sidhani kama unanisoma ama hunisomi
Kwa umri aliokuwa nao sasa na watoto 3 hapaswi kutukana watu mitandaoni,kumbuka kutukanwa kwake sababu kubwa ni makosa aliyofanya baba yake huko nyuma so hata hawa wanae nao watakuja kutukanwa kwa haya anayoyafanya yeye leo.Kibaya zaidi kuolewa kwake na mzungu kulimfanya aliwadharau sana wenzake walioolewa na sisi waswahili
 
Kwa umri aliokuwa nao sasa na watoto 3 hapaswi kutukana watu mitandaoni,kumbuka kutukanwa kwake sababu kubwa ni makosa aliyofanya baba yake huko nyuma so hata hawa wanae nao watakuja kutukanwa kwa haya anayoyafanya yeye leo.Kibaya zaidi kuolewa kwake na mzungu kulimfanya aliwadharau sana wenzake walioolewa na sisi waswahili
Ni mtizamo wako, hapo sasa linakuja suala la malezi kalelewaje mi sijui na wewe hujui.
 
Kwani anayetukanwa ni babu yako na wewe pilipili huili wewe kwa nini ukuwashe, elewa hayo ni making, unafiki na uzandiki na wewe kama unaona anatukana mfuate yy live au mtumie ujumbe usitueleze ss mambo ya majungu na uchonganishi, huyo mange kama anavyoandika inakukera achana naye ukitaka kumuiga hujazuiwa ova!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom