Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Kwa maelezo yako bora kuwa kama Libya eti kisa Marekani kakasirika sio? Basi sawa na iwe hivyo tuone.Na yeye Awafukuze eti ? 🤣🤣🤣, unadhan marekan ni mkoa wa Songwe si ndio ? ivi nyie majamaa na hizi siasa zenu za kipuuz mnaharibu hii nchi, hata gadafi alikuwa anamaneno kama wewe wakampiga ambush moja hatari sana...we unaona Bos wa CIA kusema vile ni kawaida tu ? Muwe mnafikiria mkuu, mambo yanaanzaga mdogo mdogo ivyo ivyo mwishoni unakuja kushtuka tayari mambo yameharibika, wameshindwa kina Osama bin laden tutaweza sisi ?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sababu zake kuwa ni mbili; kuzuia ushoga Dar na kudhibiti madawa ya kulevya. Wewe binafsi unayeshabikia Makonda kupigwa ban kuna mojawapo uli miss sio?
Anazuiaje ushoga wakati yeye mwenyewe ni shoga?Sababu zake kuwa ni mbili; kuzuia ushoga Dar na kudhibiti madawa ya kulevya. Wewe binafsi unayeshabikia Makonda kupigwa ban kuna mojawapo uli miss sio?
Ndio mnavyo jidanganya huko misikitini baada ya swalaTatizo lako hujui kitu. Unafikiri wewe ulo salama. Chochote watakacho kifanya kitakupata wewe na familia yako inayo kuzunguka. Wewe endelea tu kushabikia matendo yao.
Amerika ni Taifa ambalo lina Tapatapa kwa sababu linafikia ukingoni. Hawana kitu tena. Wairan wamewaonyesha na wameshindwa kufanya kitu. Sasa wakituchokoza sisi wajue kuwa sisi ndiyo tulio wahifadhi Black Panther.
Walirudi makwao baada ya ukombozi wao. Tuta wa activate tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi endelea kuyasubiri.Yaje tu sababu niliyajua mapena kabla yenu na nimejipanga muda mrefu
Nchi gani hawakai Africa hii? Pumbavu!Jinga wewe, nambari one wakati bado watoto wanakaa chini mashuleni
Kwani kufanya "vizuri" mpaka uende Marekani? Hauwezi kwenda Sudan Kusini na bado ukawa kiongozi mzuri?Kuna fursa RC anazikosa. Bado kijana mwenye ndoto, leo akipata ubunge /uwaziri /urais maana yake majukumu kama yatahitaji akafanye ndani ya US basi hawezi tena. So tuwe makini badala ya kumpotosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri nimalizie K Vant yangu hapa!Njoo ufanyiwe maombi
My wish list.
..IGP.
..DPP.
..RPC Dsm.
..RPC Dodoma.
..Mwigulu Nchemba.
..Kangi Lugola.
..Suleiman Jafo.
Serikali yetu haikurupuki kwenye kutoa matamko.Lakini kwanini so Makonda, sio waziri wa Mambo ya nje, wala mwajiri wake / msemaji wa serikali wameonyesha kukerwa na hii ban ya muheshimiwa Makonda?
AiseeeeeSababu zake kuwa ni mbili; kuzuia ushoga Dar na kudhibiti madawa ya kulevya. Wewe binafsi unayeshabikia Makonda kupigwa ban kuna mojawapo uli miss sio?
Ukimaliza njoo uchukue MohansSubiri nimalizie K Vant yangu hapa!
Na jiwe ndo tatizo, hao wengine wanatumwa na jiwe kufanya wafanyayo.Jiwe alikosea kuanza kila kitu upya kama vile ndo tumetoka kupataa uhuru. Mambo ya ubeberu yalimshinda Nyerere tukapanga foleni ya unga JPM anayaanzisha tena.
Hiyo ni vita ya kiuchumi. Kuzuiwa kwa makinikia kumeiganya Bei ya GOLD duniani kuyumba. Wanahofia sheria mpya zitawa affect sana wao. Wanatafuta mzungumzo na sisi ili tulegeze sheria zetu.Hamna ubavu huo
Huu uharo haufai hata kwa mbolea. Mnatetea Jiwe akili mnaziacha chooni kabisaHiyo ni vita ya kiuchumi. Kuzuiwa kwa makinikia kumeiganya Bei ya GOLD duniani kuyumba. Wanahofia sheria mpya zitawa affect sana wao. Wanatafuta mzungumzo na sisi ili tulegeze sheria zetu.
Haya mambo ya haki za binadam kama akina Zitto wanavyo dai, ni pumba za jalalani. Trump kwa pressier da wahisani wa Barrick wanataka Tanzania ilegeze kidogo mashart yake.
Na wa European walipata msuko suko huo, wachina nao ilikuwa hivyo hivyo. Trump anataka ku make a good deal with Tanzanians as he has done with all the other potential business opponents like EU and China. Now Tanzania is on the list, so it is our turn now to negotiate with the big Boss.
Msitie shaka wazalendo. Trump anataka kuwasaidia Clients wake.
Halafu watanzania mwipandao Amerika imekulankwenu sasa. Mlimzomea Makonda sasa kumbe na nyie mmo kwenye mkumbo vile vile!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pumba kali sana hatariNi umasikini tu, faida gani itakayopata Dunia kwa kuzuia stigler? Wao wako tayari kubadili chochote kwaajili ya faida ya wao na vizazi vyao tu.
Uharibu mkubwa wa mazingira unaozungumzwa duniani unatokana na viwanda, Dunia ikaamua kuwa na mkataba wa kupunguza viwanda ili kupunguza athari hizo, USA alikubali kusaini na kupunguza viwanda kama ilivyoamuliwa na mkutano ule wa Kyoto-Japan?
Hatua gani zilichukuliwa dhidi yake?
Silaha nzito zitumikazo kwenye vita, nani muhusika wa hizo vita na biashara za silaha?
Sikubaliani na uvunjifu wa haki za binadamu na uhuru wa kuishi kwa mujibu wa taratibu za kibinadamu kama ilivyokusudiwa tangu uumbaji.....
Ama tuvue gamba, mbegu ioze au yai lipasuke ili maisha mapya yaanze.
Umeishia darasa la ngapi ?Hiyo ni vita ya kiuchumi. Kuzuiwa kwa makinikia kumeiganya Bei ya GOLD duniani kuyumba. Wanahofia sheria mpya zitawa affect sana wao. Wanatafuta mzungumzo na sisi ili tulegeze sheria zetu.
Haya mambo ya haki za binadam kama akina Zitto wanavyo dai, ni pumba za jalalani. Trump kwa pressier da wahisani wa Barrick wanataka Tanzania ilegeze kidogo mashart yake.
Na wa European walipata msuko suko huo, wachina nao ilikuwa hivyo hivyo. Trump anataka ku make a good deal with Tanzanians as he has done with all the other potential business opponents like EU and China. Now Tanzania is on the list, so it is our turn now to negotiate with the big Boss.
Msitie shaka wazalendo. Trump anataka kuwasaidia Clients wake.
Halafu watanzania mwipandao Amerika imekulankwenu sasa. Mlimzomea Makonda sasa kumbe na nyie mmo kwenye mkumbo vile vile!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliambiwa akakataadiplomasia, diplomasia, diplomasia.... kabudi na majasusi wetu mlikuwa wapi kunusa na kumwambia mzee amtumbue Makonda kabla dunia haijatangaziwa.
Taarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Je ni nani ?
Taarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Je ni nani ?