Who is next ?

Who is next ?

Na yeye Awafukuze eti ? 🤣🤣🤣, unadhan marekan ni mkoa wa Songwe si ndio ? ivi nyie majamaa na hizi siasa zenu za kipuuz mnaharibu hii nchi, hata gadafi alikuwa anamaneno kama wewe wakampiga ambush moja hatari sana...we unaona Bos wa CIA kusema vile ni kawaida tu ? Muwe mnafikiria mkuu, mambo yanaanzaga mdogo mdogo ivyo ivyo mwishoni unakuja kushtuka tayari mambo yameharibika, wameshindwa kina Osama bin laden tutaweza sisi ?




Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa maelezo yako bora kuwa kama Libya eti kisa Marekani kakasirika sio? Basi sawa na iwe hivyo tuone.
 
Sababu zake kuwa ni mbili; kuzuia ushoga Dar na kudhibiti madawa ya kulevya. Wewe binafsi unayeshabikia Makonda kupigwa ban kuna mojawapo uli miss sio?
Anazuiaje ushoga wakati yeye mwenyewe ni shoga?
 
Tatizo lako hujui kitu. Unafikiri wewe ulo salama. Chochote watakacho kifanya kitakupata wewe na familia yako inayo kuzunguka. Wewe endelea tu kushabikia matendo yao.

Amerika ni Taifa ambalo lina Tapatapa kwa sababu linafikia ukingoni. Hawana kitu tena. Wairan wamewaonyesha na wameshindwa kufanya kitu. Sasa wakituchokoza sisi wajue kuwa sisi ndiyo tulio wahifadhi Black Panther.

Walirudi makwao baada ya ukombozi wao. Tuta wa activate tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mnavyo jidanganya huko misikitini baada ya swala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna fursa RC anazikosa. Bado kijana mwenye ndoto, leo akipata ubunge /uwaziri /urais maana yake majukumu kama yatahitaji akafanye ndani ya US basi hawezi tena. So tuwe makini badala ya kumpotosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kufanya "vizuri" mpaka uende Marekani? Hauwezi kwenda Sudan Kusini na bado ukawa kiongozi mzuri?
 
Lakini kwanini so Makonda, sio waziri wa Mambo ya nje, wala mwajiri wake / msemaji wa serikali wameonyesha kukerwa na hii ban ya muheshimiwa Makonda?
Serikali yetu haikurupuki kwenye kutoa matamko.
 
Jiwe alikosea kuanza kila kitu upya kama vile ndo tumetoka kupataa uhuru. Mambo ya ubeberu yalimshinda Nyerere tukapanga foleni ya unga JPM anayaanzisha tena.
Na jiwe ndo tatizo, hao wengine wanatumwa na jiwe kufanya wafanyayo.
 
Hamna ubavu huo
Hiyo ni vita ya kiuchumi. Kuzuiwa kwa makinikia kumeiganya Bei ya GOLD duniani kuyumba. Wanahofia sheria mpya zitawa affect sana wao. Wanatafuta mzungumzo na sisi ili tulegeze sheria zetu.

Haya mambo ya haki za binadam kama akina Zitto wanavyo dai, ni pumba za jalalani. Trump kwa pressier da wahisani wa Barrick wanataka Tanzania ilegeze kidogo mashart yake.

Na wa European walipata msuko suko huo, wachina nao ilikuwa hivyo hivyo. Trump anataka ku make a good deal with Tanzanians as he has done with all the other potential business opponents like EU and China. Now Tanzania is on the list, so it is our turn now to negotiate with the big Boss.

Msitie shaka wazalendo. Trump anataka kuwasaidia Clients wake.

Halafu watanzania mwipandao Amerika imekulankwenu sasa. Mlimzomea Makonda sasa kumbe na nyie mmo kwenye mkumbo vile vile!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni vita ya kiuchumi. Kuzuiwa kwa makinikia kumeiganya Bei ya GOLD duniani kuyumba. Wanahofia sheria mpya zitawa affect sana wao. Wanatafuta mzungumzo na sisi ili tulegeze sheria zetu.

Haya mambo ya haki za binadam kama akina Zitto wanavyo dai, ni pumba za jalalani. Trump kwa pressier da wahisani wa Barrick wanataka Tanzania ilegeze kidogo mashart yake.

Na wa European walipata msuko suko huo, wachina nao ilikuwa hivyo hivyo. Trump anataka ku make a good deal with Tanzanians as he has done with all the other potential business opponents like EU and China. Now Tanzania is on the list, so it is our turn now to negotiate with the big Boss.

Msitie shaka wazalendo. Trump anataka kuwasaidia Clients wake.

Halafu watanzania mwipandao Amerika imekulankwenu sasa. Mlimzomea Makonda sasa kumbe na nyie mmo kwenye mkumbo vile vile!


Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uharo haufai hata kwa mbolea. Mnatetea Jiwe akili mnaziacha chooni kabisa
 
Ni umasikini tu, faida gani itakayopata Dunia kwa kuzuia stigler? Wao wako tayari kubadili chochote kwaajili ya faida ya wao na vizazi vyao tu.

Uharibu mkubwa wa mazingira unaozungumzwa duniani unatokana na viwanda, Dunia ikaamua kuwa na mkataba wa kupunguza viwanda ili kupunguza athari hizo, USA alikubali kusaini na kupunguza viwanda kama ilivyoamuliwa na mkutano ule wa Kyoto-Japan?

Hatua gani zilichukuliwa dhidi yake?

Silaha nzito zitumikazo kwenye vita, nani muhusika wa hizo vita na biashara za silaha?

Sikubaliani na uvunjifu wa haki za binadamu na uhuru wa kuishi kwa mujibu wa taratibu za kibinadamu kama ilivyokusudiwa tangu uumbaji.....

Ama tuvue gamba, mbegu ioze au yai lipasuke ili maisha mapya yaanze.
Pumba kali sana hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni vita ya kiuchumi. Kuzuiwa kwa makinikia kumeiganya Bei ya GOLD duniani kuyumba. Wanahofia sheria mpya zitawa affect sana wao. Wanatafuta mzungumzo na sisi ili tulegeze sheria zetu.

Haya mambo ya haki za binadam kama akina Zitto wanavyo dai, ni pumba za jalalani. Trump kwa pressier da wahisani wa Barrick wanataka Tanzania ilegeze kidogo mashart yake.

Na wa European walipata msuko suko huo, wachina nao ilikuwa hivyo hivyo. Trump anataka ku make a good deal with Tanzanians as he has done with all the other potential business opponents like EU and China. Now Tanzania is on the list, so it is our turn now to negotiate with the big Boss.

Msitie shaka wazalendo. Trump anataka kuwasaidia Clients wake.

Halafu watanzania mwipandao Amerika imekulankwenu sasa. Mlimzomea Makonda sasa kumbe na nyie mmo kwenye mkumbo vile vile!


Sent using Jamii Forums mobile app
Umeishia darasa la ngapi ?
 
Back
Top Bottom