Who is next ?

Who is next ?

Tumeshazoea maana haya mnapoongiza ninyi sisi ni shida, kuuawa na kutekwa kama kawaida. Hivyo kwetu itakuwa kawaida. Kama hujui watu wanateseka kamuulize Kabendera
Kabendera is getting what is right to him. Kwani wewe hujui hao Wamarekani wanamtafuta Snowden, Marekani mwenzao wamshughulikie kwa makosa kama ya Kabendera? Thanks God the Russians saved him!
 
Wakitaka wafunge hadi ubalozi, wakate misaada nk... Uone kama Tanzania haitakuepo. Tuache uoga, tuache kuabudu. North Korea ameweza, Cuba aliweza sisi tuna nini?
Africa tuna demokrasia yetu, tuna Uhuru wetu... HATUWEZI KUA MASHOGA KISA MISAADA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
e
Ndugu usijiaminishe kwenye hili. Hakuna uchaguzi mgumu kama wa mwaka huu.
Hivi ninyi nyumbu mbona mnasahau haraka? Mwaka 2015 hamkusema lazima mabadiliko yatokee hata kwa kuchagua jiwe? Ikawaje? Endelea kutamba kwakuwa uchaguzi bado uko mbali, lakini baada ya uchaguzi, jipange kwa hoja za kuibiwa kura na tumezizoea pia.
 
Fungua hiyo link au una miwenge

U.S. bans Tanzanian official who launched anti-gay crackdown

(Reuters) - The United States said on Friday it banned from visiting the country a Tanzanian official who announced a crackdown on homosexuality in Dar es Salaam in 2018.

The U.S. State Department said it was taking the action against Paul Makonda, administrative chief of the Tanzania capital, "due to his involvement in gross violations of human rights, which include the flagrant denial of the right to life, liberty, or the security of persons."

It said Makonda had "also been implicated in oppression of the political opposition, crack-downs on freedom of expression and association, and the targeting of marginalized individuals."

Source

aya ya mwisho ndio nzito kuliko zote
 
Back
Top Bottom