Who is Salim Ahmed Salim?


Asante mkuu, nimekupenda na kukuheshimu sana! Sasa hawa wanaomlaumu mwalimu , wengine wanamtukana matusi kabisa!! eti bwana, wanalengo gani?

Kufanya makosa ni hali ya kibinadamu, hata yeye alikiri hivyo. Walitaka mwalimu afanye zaidi ya nini? yaani basi tu! lakini wanaomtukana mwalimu laana i juu yao!
 
aliyokueleza yanatosha mpe mda afanye kazi kwanza.

wakati unayatafakari aliyokueleza!!
 
SAS ni mmoja kati ya wanadiplomasia wazuri mno ambao Tz imepata kuwa nao. Hana makundi ndani ya CCM au nje. Hana tuhuma za kijinga. Kwa Tanzania ya CCM ya sasa asingeweza kuupata Urais bila ya Mwalimu kuwepo. Aliikosa UN akaja kupata OAU.
 
SAS ni mmoja kati ya wanadiplomasia wazuri mno ambao Tz imepata kuwa nao. Hana makundi ndani ya CCM au nje. Hana tuhuma za kijinga. Kwa Tanzania ya CCM ya sasa asingeweza kuupata Urais bila ya Mwalimu kuwepo. Aliikosa UN akaja kupata OAU.

Hapa tuko pamoja mkuu!
Ni kweli kabisa, ila na sisi sijui tukoje!! kweli kabisa kati ya Kikwete na Salim tuliona Kikwete anafaa??
 
Mkuu ilikuwa cancun mexico
 

Ndiyo maana alitunyima TV ili Wadanganyia wasijue kinachoedelea nje ya nchi yao.
 


Una uhakika?
 
Hapa tuko pamoja mkuu!
Ni kweli kabisa, ila na sisi sijui tukoje!! kweli kabisa kati ya Kikwete na Salim tuliona Kikwete anafaa??
Kama wewe ni mkristo utakumbuka jinsi Wayahudi walivyomchagua BARABA badala ya YESU siku ile pale misalabani kule Golgotha. Chaguzi zetu ndivyo zitaendelea kuwa hasa wakati huu ambao pesa chafu ziko bwelele!
 
ni maajabu na kweli ...watanzania we were made by mtandao ....kuamini kuwa JANGALA KIWETE IS BETTER THAN ..SALIM ,OR MALECELA OR SUAMYE.....and mwandosya ..who were running together ...would say kikwete is the worst of all,...even including chokalas like who did not make it to the second round....
 
ina maana wewe umezaliwa miaka ya 90?

kama ni kweli basi ishakuwa tatizo lakini bora sasa nishajua...

duh!

Kwani akiwa mtoto kuna tatizo? Steve Jobbs alisemaga "death is likely the single best invention of life". It's a process in which the old are removed to be replaced by the new. Kwa hiyo...wewe kama unadhani kuwa mzee ni sifa...think again my friend! U r edging closer to being replaced!hahahahahahahaha!
 
again mtoto u nailed......
wazee ndio manyang'au siku hizi mafisadi woote sijaona mtoto woote wazee...
 
Ukatibu mkuu wa UN ni post ambayo mtu anaweza kugombea hata mara tatu...kwenye ile UN Charter hakuna sehemu inayoweka ukomo wa kipindi cha mtu kuwa katibu mkuu.Kikubwa ni namna unavyoelewana na wazee. Boutros Ghali alishindwa baada ya kutoelewana na mama Albright. And you know the consequences za kumpinga... na kama Bolton angeenda UN kabla ya second term ya Annan, naamini Anan angekuwa one term folk kama aliyemtangulia. Its just US politics.

Inawezekana kabisa kupata katibu mkuu kutoka bara fulani mfululizo..Again hakuna sehemu inayoonyesha kwamba nafasi itolewe kwa mzunguko wa mabara. After all UN ilianzishwa na wakubwa kulinda maslahi ya "free world"-whatever that means. na kumbuka bila veto US isingekubali kuingia UN (kama Hitler alivyokataa kuingia League of NATIONS). Rooselvet aliambiwa kabisa na Senate na Congress ahakikishe US inakuwa na special power tofauti na mataifa mengine. Hence the invention of "veto". Mpaka leo..in any global system..kama US ina veto..ni hakika itaingia kwenye hiyo system. Mfano ni ile mahakama ya ICC..US wamekataa kuingia kwa sababu Germany na France waligoma kata kata..US kuwa na special favour kama kule UN.

Mfano mwingine ni World Bank na IMF ni mashirika ambayo yanaongozwa na Europe (IMF) na US (WB) tangu yaanzishwe mpaka leo. It is unwritten rule. sasa mpaka hiyo ije ibadilike ndo hapo..inabidi akina mama Bisimba (NGOs) wapige kelele.

In all, UN is so bureacratic lakini ukweli ni kwamba wanaangalia who contributes what. hata kazi wanajaza kulingana na contribution ya nchi husika. sasa kama US wanatoa more than 20% ya bajeti....definitely...watajaza nafasi nyingi. Wakati nchi nyingi za kiafrika wako kwenye arrears..na bado tunalalamika. Kifupi ni kwamba katika UN Africa na hizi banana republic kama sisi tunabebwa tuu!

Mimi nadhani ifike point waafrika tujitambue..tuache kulalamika. Most ya hizi sheria za kimataifa zinazotuumiza leo..zinapitishwa na sisi tukiwepo kwenye meza ya mazungumzo. (labda tunatuma vilaza). LAKINI reality check ni kwamba western world is boxing us on our own game...we need to be smart. Hata kama UN ilianzishwa kabla..lakini naona trend inaendelea na mashirika ambayo tuna participate kuyaaanzisha....we just smile and take photos during the conferences bila kuangalia consequences twenty years to come. UN haiwezi badilika..it is a launching pad ya policy za wakubwa-After all, we should ALL remember. It is the western world who pay the Bill for the UN to survive.

So who pays the pipper-will determine the tune-an old adage goes.
 
Kama wewe ni mkristo utakumbuka jinsi Wayahudi walivyomchagua BARABA badala ya YESU siku ile pale misalabani kule Golgotha. Chaguzi zetu ndivyo zitaendelea kuwa hasa wakati huu ambao pesa chafu ziko bwelele!

Inasikitisha sana ndugu yangu, tumeiua nchi yetu hivihivi! ah,!!
 

Usinichekeshe bwana, JANGALA!!
 

Kwenye siasa it's not always the best man who wins. It is usually the most well funded and connected candidate. It also helps to be media savvy like Jakaya Kikwete was. Most people Tanzania don't look at the history or policies of a candidate, the look at which party he is from or simply follow where the wind is blowing.
 
SAS ni mmoja kati ya wanadiplomasia wazuri mno ambao Tz imepata kuwa nao. Hana makundi ndani ya CCM au nje. Hana tuhuma za kijinga. Kwa Tanzania ya CCM ya sasa asingeweza kuupata Urais bila ya Mwalimu kuwepo. Aliikosa UN akaja kupata OAU.

So do you think he could or rather could have served the country better as a diplomat rather than a politician?
 
Usinichekeshe bwana, JANGALA!!

Mikael, siku zote nilikuona u-mstaarabu sana. Kumwita Kikwete Jangala badala ya Jakaya inahusu nini? After all mwenzio ni President of the United Republic of Tanzania whether you like it or not?
 

CV ya Salim imesheheni!! Anaweza hata akawa Rais wa Marekani acha Tanzania. Ndio maana alikuwa tishio kwao!!!
 
Wakuu wameongea mengi hapo juu ya msingi, kuhusu suala la Palestina Wamarekani walimkaba Salim kwamba atakuwaje Katibu Mkuu wa UN wakati nchi yake iko partial kabisa katika mgogoro wa Palestina, kwamba Tanzania ilikuwa inaunga mkono kwa wazi kabisa PLO na haikuwa hata na uhusiano wa kibalozi na Israel, kwa hiyo hilo kama moja ya migogoro mikubwa kabisa, Marekani iliitumia turufu hii kumkataa Salim kwamba hatakuwa na credibility kwenye hili suala nyeti.

Salim alijaribu sana kujibu hili swali lakini hakuweza kuwa convincing enough, kwani issue ilikuwa wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…