Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana JF,
Kwa muda nimewaza kuhusu huyu Mtanzania maarufu ndani ya nchi ya Tanzania, na hata kimataifa, ''Dr SALIM AHMED SALIM"
Tangu atoke kuiongoza Afrika (OAU), hatujamtumia vizuri kiuongozi.
Kwani hakuna nafasi muhimu katika Tanzania na hata Afrika masharaiki
ambazo huyu mheshimiwa angeweza bado kutumika?
AU KULIKONI?
Umeshawahi kusikia kitu kinaitwa "Mtandao" ?
DR. Makyao,
Samahani kama wewe si Daktari lakini jina lako limekaa kiDr. Dr.
Anyway kujibu swali lako kwa nini Salim hajapewa kazi ya maana Bongo, umesahau kampeni zilizoendeshwa na mtandao kwa niaba ya JK kumharibia jina na kumkashifu Salim? Sasa wewe huyu unadhani atakuwa na moyo wa kumpa hata U-Regional Commissioner wa Iringa? Sidhani. Ninachosikia JK ni mtu wa kisasi na hajasahau jinsi Salim alivyokuwa anam-outshine kwenye medani ya kimataifa. Asingechaguliwa na AU kuwa Rappoteur wa Darfur basi Tanzania angekuwa anasahaulika.
Wana JF,
Kwa muda nimewaza kuhusu huyu Mtanzania maarufu ndani ya nchi ya Tanzania, na hata kimataifa, ''Dr SALIM AHMED SALIM"
Tangu atoke kuiongoza Afrika (OAU), hatujamtumia vizuri kiuongozi.
Kwani hakuna nafasi muhimu katika Tanzania na hata Afrika masharaiki
ambazo huyu mheshimiwa angeweza bado kutumika?
AU KULIKONI?
malafyale we vipi!
Upendeleo wa mawaziri mpaka kwa figure za kimataifa?
Jamaa walimfungia vioo asionekane, asingeweza kufanya lolote. Hukusikia sumaye alimsitisha kuchangisha fedha za mfuko wa taasisi ya julius?
Wana JF,
Kwa muda nimewaza kuhusu huyu Mtanzania maarufu ndani ya nchi ya Tanzania, na hata kimataifa, ''Dr SALIM AHMED SALIM"
Tangu atoke kuiongoza Afrika (OAU), hatujamtumia vizuri kiuongozi.
Kwani hakuna nafasi muhimu katika Tanzania na hata Afrika masharaiki
ambazo huyu mheshimiwa angeweza bado kutumika?
AU KULIKONI?
Wako watanzania wengi na wenye uataalam wa kutosha, hawajapewa kazi pia.
Nafasi zimejaa ndugu.
Mpe pole Dk. Salim A Salim
Jamani tuwe wakweli na tuache kuwashangalia viongozi wa kitz wanapotwaa madaraka ya kimataifa kwa sababu tu ni watz wenzetu bali tuwapime kwa swali hili;WALIISADIA VIPI TZ WALIPOKUWA NA NYADHIFA HIZO KUBWA ZA KIMATAIFA?
Mzee Salim na nafasi kubwa kama zile zlizozishika kimataifa alitusaidia nini sisi watz achilia mbali hata majimbo ya kwao anapotoka maskini sana huko Pemba?Kule Kenya au Nigeria au hata majirani Rwanda , mtu wao akishika nafasi za kimataifa huwa ndiyo kipimo chake cha uzalendo kwa nchi yao!Mambo aliyofanya mama Mangale akiwa msaidizi wa mama Tibaijuka UN kwenye idara ya makazi hakuna asiyejua,ili hali mama Tibaijuka hajaisadia lolote tz kwenye nafasi hiyo,nam ni Kenya wanaopaswa kuingia mitaani kumchangilia mama Mangale na wala sio tz kwa mama Tibaijuka.Au nani asiyejua mambo makubwa aliyoifanyia Nigeria wakati Chief Anyauko alipokuwa kigogo wa Commonwealth
watz walishangilia sana kuteuliwa kwa mama Migiro kuwa naibu katibu mkuu wa UN,na tunajua sana kuwa pale UN kuna loopholes kibao za kupeleka maendeleo kwenu hasa kwenye nyanja za elimu na afya,lkn miaka inapita sasa bila kuonekana dalili zozote za mama huyu kutusaidia hata kwa kisima tu cha maji kule Nkenge kwa miradi ya UN,je bado tusimame kumshangiliA akija Dar kw asababu tu makamu katibu mkuu wa UN?
Tubadilike jamani,mtu akipata nyadhuifa kubwa apimwe tu kwa yale aliyoitendea jamii inayomzunguka, sio kushangilia tu kwa vile yu kapata nyadhifa!
Kama tu quote toka kwa Rais kipenzi wa USA hayati Kenedy alipotuambia mwaka 1961,"Ask not what your country can do for you;ask what you can do for your country"