eti aliisaidia vipi TZ kile chombo ambacho kinataka haki, inaonekana mtu kama wewe ukiwa kiongozi TZ utapeleka kila kitu jimboni kwako. yeye alikuwa kiongozi kazi yake ni kuangalia maswala ya africa na sio TZ peke yake.
muulize mama mongella alivyoribu kuleta zake akazania ni TZ ambako unaweza kufanya kitu bila kuulizwa
Semilong!
All said and done! Charity begins at home!!Hapa Tanzania Salim Mohamed Salim atakumbukwa kwa kitu gani siku akienda mbele ya haki! Ninachokumbuka huyo ALIPEWA udaktari wa heshima sawa na aliopewa JMK aka Matonya kule Nairobi. Huyo Salim alfeli form six kama sikukosea na baada ya mapinduzi akawa Balozi huko Egypt period. From there amekuwa akipaa na akaanguka the same way. Hata huko Unguja hawamtaki for historical reasons!!
Wakati Marehemu Julius Kambarage Nyerere anamnadi kugombea kuwa Katibu Mkuu wa UN alipata taabu sana alipompeleka kwa RAIS wa USA alimwambia point blank kwamba USA haiwezi kumuunga mkono since he only had formal education!!!
Pamoja na kuungwa mkono na China hata Soviet Union (Warusi walimpigia kura ya miguu) kwa hiyo tatizo kubwa lake ni elimu ya kuchomekea na ameshindwa kustand alone mpaka mbeleko imechanika!!!! The end justify the means!!
Tusipoteze muda mwache ajiishie na takrima za huko Darfur na Zain!!! Hivi si ndio hao hao walioilamba TTCL kwa mlango wa Celte!! Kalakabaho!