Who is Salim Ahmed Salim?

Who is Salim Ahmed Salim?

Dr. Salim Ahmed Salim NI mtu maarufu sana katika UMOJA WA NCHI ZA AFRIKA "AU".. niliwahi kukutana na officials wa AU toka eritria walikuwa wakimsifu sana huyu bwana!.. anastahiki sifa aliwakilisha nchi yetu vizuri alipokuwa nje!.

Alikuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Nchi HURU za Afrika (OAU) na wala si AU, mkuu!
 
Brutus, hii yako ni critical nimeipenda na nakugongea senks
 
Kumbe naye sio doctor wa kweli!! Siku zote nilikuwa nafikiri amepitiwa vitabu ndiyo akaitwa dr. Kumbe ni sawa na wajamaa zake tu
 
SI MTANZANIA HUYU EEEEEH! kumbuka uchaguzi wa 2005
 
Ki ukweli anafaa kuwakiongozi wa ngazi ya juu Tanzania hata katika bara la Afrika shida yetu hatujui vitu vyema mpaka vitoweke. TUMPIGIE DEBE HUYU 2010 Regardless anatoka chama gani maana tunacho hitaji ni kichwa bomba na sio chama bomba.
 
Kumbe naye sio doctor wa kweli!! Siku zote nilikuwa nafikiri amepitiwa vitabu ndiyo akaitwa dr. Kumbe ni sawa na wajamaa zake tu

Duh hata mimi nilikuwa nafiki kama wewe!kumbe hii ndiyo tabia ya makada wa CCM,wanapenda sana huu ujinga!!
 
Kama hizo Doctarate degree zinamsaidia, basi akikubali kugombea CCM atakuwa hana akili timamu pamoja na Vyeti vyake vyote maana hao hao ndo waliomchafua kabisa 2005.
 
Gamba la Nyoka, hongera kwa kutupatia CVs nzuri ya Mheshimiwa huyu.
 
Mkuu Gamba,

Heshima mbele, tatizo sio CV za viongozi wetu, isipokuwa tatizo ni CV za sisi wananchi wapiga kura, Salim ana CV nzito lakini tatizo ni kwamba urais hauamuliwi na CV peke yake, kwa bahati mbaya pamoja na CV yake kuwa nzito, alishindwa kwenye uchaguzi wa mgombea wa rais wa CCM,

Sasa kama Muungwana tu alimshinda kule CCM, je atawezaje kupambana na kina Freeman, na Lipumba? Na je akikutana na Dr. Slaa sio ndio itakuwa mauti kabisa kwetu CCM! Pole pole ndugu, urais ni pamoja na kushinda uchaguzi,

Salim ni kweli ana CV nzito, na pia ametuweka kwenye ramani ya Dunia politically, lakini tatizo hakuwa na political base nyumbani, kuanzia visiwani mpaka Bara, sasa uongozi wa kubebwa kama wake ulimalizwa na siasa za vyama vingi!

Otherwise, ni kweli CV yake ni nzito sana!


Unayosema ni kweli. Kinachotakiwa ni kwa wale wenye kuipenda nchi kujaribu kumsaidia Salim kutengeneza jumuiya ya wakereketwa ili aweze kushinda uteuzi wa uraisi chamani kwake. For the sake of our country, we really need him.
 
Unayosema ni kweli. Kinachotakiwa ni kwa wale wenye kuipenda nchi kujaribu kumsaidia Salim kutengeneza jumuiya ya wakereketwa ili aweze kushinda uteuzi wa uraisi chamani kwake. For the sake of our country, we really need him.

Mnamuhitaji wewe na nani?

Tanzania siyo nchi ya Waislamu tuu.

Mmeshapewa ngwe yenu mmetesa, bado hamjaridhika tu?

Mmanga Salim A. Salim itakuwa ni jinamizi kwa Watanzania wasiyo Waislamu...maradufu Mbantu Kikwete.


Hii nchi itakwenda pabaya sana kama ikitokea Muislamu atachaguliwa kuwa Rais 2015.
 
Nadhan uyu jamaa ni moja wa best candidates for presidential post! Hana nadharia siasa kali (kama ilivyo kwa wanasiasa wengi nchini)

Ni mtendani na sio mfuata upepo wa siasa katika maamuzi. Kwa fikra zangu tunaitaji mtendaji na si mwanasiasa! Salim A Salim anatimiza hilo.

Mfano wa watendaji wenye kutimiza utendaji wao na sio siasa ni mwakiembe na magufuli! At least they show responsibility.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nadhan uyu jamaa ni moja wa best candidates for presidential post! Hana nadharia siasa kali (kama ilivyo kwa wanasiasa wengi nchini)

Ni mtendani na sio mfuata upepo wa siasa katika maamuzi. Kwa fikra zangu tunaitaji mtendaji na si mwanasiasa! Salim A Salim anatimiza hilo.

Mfano wa watendaji wenye kutimiza utendaji wao na sio siasa ni mwakiembe na magufuli! At least they show responsibility.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Oy


Nakuunga mkonooooooo
 
Hili ndio tatizo la the so called “muungano“ yaani eti Salim A. Salim awe raus wa Tanzania? Who said so?
We can not intertain that...we need a person from Tanganyika aliye who can realy lead the nation.
 
Mheshimiwa CV hiyo ni nzito sana lakini hachaguliwi ng'o kuwa rais kwa sababu yeye ni mwaraabu ndio maana Baba wa taifa alikwama akachaguliwa Mwinyi kwani wajumbe wa BM ya kwanza walikuwepo na waaliapa Mwarabu hashiki madaraka zanzibar au bara.

Na hii ndio sababu alikosa ukatibu mkuu UN kwani marekani waliweka veto.Usisahau mmisri Butros alikuwa mwarabu mwenye damu ya Jew. Kumbuka wajumbe wa BM bado wapo zanzibar
 
hivi hizi tetesi za jk kuja kumuachia muislam mwenzake Salim nchi ni za kweli?
 
Mheshimiwa CV hiyo ni nzito sana lakini hachaguliwi ng'o kuwa rais kwa sababu yeye ni mwaraabu ndio maana Baba wa taifa alikwama akachaguliwa Mwinyi kwani wajumbe wa BM ya kwanza walikuwepo na waaliapa Mwarabu hashiki madaraka zanzibar au bara.Na hii ndio sababu alikosa ukatibu mkuu UN kwani marekani waliweka veto.Usisahau mmisri Butros alikuwa mwarabu mwenye damu ya Jew.Kumbuka wajumbe wa BM bado wapo zanzibar

Mgosi,
Kila mvua zinakuja na radi zake. Hizi porojo za uarabu zimesemwa na watu tu lakini hakuna aliyezihakiki. Salim alishindwa na mtu mmoja tu, Kikwete, la kama isingekuwa hivyo angelikuwa rais wetu hivi sasa.

Kwa hiyo sio kweli kuwa hakuungwa mkono. Mtu achaguliwe au asichaguliwe kwa sifa zake na sio ukabila au udini.
 
Mnamuhitaji wewe na nani?

Tanzania siyo nchi ya Waislamu tuu.

Mmeshapewa ngwe yenu mmetesa, bado hamjaridhika tu?

Mmanga Salim A. Salim itakuwa ni jinamizi kwa Watanzania wasiyo Waislamu...maradufu Mbantu Kikwete.


Hii nchi itakwenda pabaya sana kama ikitokea Muislamu atachaguliwa kuwa Rais 2015.

Achana na ukereketwa na chuki za kidini na kikabila. Kila mTanzania anayo haki ya kuchagua na kuchaguliwa, awe ni muislamu au mkristo.

Tuangalie wasifu wa mhusika na sio dini au kabila lake.
 
Back
Top Bottom