HANGAYA THE CHIEF
JF-Expert Member
- Sep 10, 2021
- 330
- 962
hao wenyewe DPW (waarabu wa dubai) kwa mujibu wa ibara ya 7 ya katiba ya nchi za falme za kiarabu, 1996 dini yao ni Islamic, na sheria zao zitumikazo ni Sheria za kiislamu (sharia), lakini mkataba wameandika kwa elimu ya kimagharibi ( western education)Maandiko yakutoe akili ukajiona huna akili mbele yake. Kila mtu anakili na akili ya mtu haitrgrmeani ni madarasa haya ya kukalili vya wazungu. Akili ni inborn ndo mana Boko Haram hawataki kabisa elimu hizi za wazungu mana zinajenga matabaka na watu kujiona hawana akili mbele ya aliyehudhuria madarasa
Mi nasema hivi akili ni inborn siyo Madara haya ya wazungu. Mi Nina akili ya asili kumzidi Shivji ila yeye kanizidi madarasa tuhao wenyewe DPW (waarabu wa dubai) kwa mujibu wa ibara ya 7 ya katiba ya nchi za falme za kiarabu, 1996 dini yao ni Islamic, na sheria zao zitumikazo ni Sheria za kiislamu, lakini mkataba wameandika kwa elimu ya kimagharibi ( western education)
Ndio maana tunasoma kwa sheria zinazotambulika kama ulivyo mkataba huo
Aisee.![emoji848]Mi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.
Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to jk Nyerere.
Kama ana akili kweli ashindanishwe na kabudi au lipumba.
kwa chambua mambo ya asili (inborn) maswala ya sheria na dalasani mwachie shivji na wengine wenye akili hizoMi nasema hivi akili ni inborn siyo Madara haya ya wazungu. Mi Nina akili ya asili kumzidi Shivji ila yeye kanizidi madarasa tu
Zile siyo akili ni kukalili tu na kuwatusha watu for nothing.kwa chambua mambo ya asili (inborn) maswala ya sheria na dalasani mwachie shivji na wengine wenye akili hizo
Je kwanini iwe kwa (huyu #2)/ yeye na sio hawa wengine?Mi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.
Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to jk Nyerere.
Kama ana akili kweli ashindanishwe na kabudi au lipumba.
Umeandika upumbavu sana, yaani elimu ya kipindi cha Nyerere ni spoon feeding??Mi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.
Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to jk Nyerere.
Kama ana akili kweli ashindanishwe na kabudi au lipumba.
Kwani yeye kaandika journal ya mwisho mwaka ganiMzingira ya Sasa hayaruhusu hata kama una mawazo makubwa sana hupati room ya kuandika hizo journal mana ushindani ni mkubwa sana. Kipindi hicho ushindani haukuwepo ndo mana hata ukipata div four Bado ulikuwa unaweza kupata kazi ya ualimu. Lecturers wengi wamefunga unga na kwa maana hiyo ni sub standard.
Kweli mabumunda yanayosaka teuzi yako mengi.Mi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.
Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to jk Nyerere.
Kama ana akili kweli ashindanishwe na kabudi au lipumba.
Labda ya SAUTUmeandika upumbavu sana, yaani elimu ya kipindi cha Nyerere ni spoon feeding??
BRN ilianzishwa kipindi cha nyerere??
Siku hizi elimu ni simple sana, mpaka bachelor degree hazina thamani kabisa
Sasa kama sio mwanasheria na unakili hujaelewa, unapinga nini??Mi siyo mwanasherea Wala wewe siyo mwanasheria. Hivyo sidhani kama tulielewa wote in these laymen's know how
Uwekezaji ni muhimu sana regardless how umefanyika. Tumechoka na huu umaskini wa kujitakia. Mbaya zaidi wachache wezi wa bandari ndo wanaonufaika at the expense of the majority. Ilikuwa kwamba ukiajiriwa bandarini basi umeula. Sasa basiSasa kama sio mwanasheria na unakili hujaelewa, unapinga nini??
bandiko lina maana gani?? au kwa kuwa una simu tu na stress za maisha ndio unakuja kushusha uzi??
Hiyo akili yako mbon huitumii kujenga hoja??? unakuja na personal attack??Mi nasema hivi akili ni inborn siyo Madara haya ya wazungu. Mi Nina akili ya asili kumzidi Shivji ila yeye kanizidi madarasa tu
Kwa akili yangu kubwa naona uwekezaji ni muhimu sana regardless umefanywaje mana tumeibiwa sana na nyie wachache mlioajiriwa bandarini. Sasa basiHiyo akili yako mbon huitumii kujenga hoja??? unakuja na personal attack??
HIZO NI AKILI ZA KUVUKIA BARABARA TU
Una shida wewe, utakubali hadi kutoa marinda kisa uondokane na umaskiniUwekezaji ni muhimu sana regardless how umefanyika.
Kabudi, pale udbs wote lectures wanassapti uwekezaji huo.Nitajie msomi hata mmoja ambaye siyo mwanaccm ambaye ana support mkataba huo wa DPW
Zile siyo akili ni kukalili tu na kuwatusha watu for nothing.