HANGAYA THE CHIEF
JF-Expert Member
- Sep 10, 2021
- 330
- 962
hao wenyewe DPW (waarabu wa dubai) kwa mujibu wa ibara ya 7 ya katiba ya nchi za falme za kiarabu, 1996 dini yao ni Islamic, na sheria zao zitumikazo ni Sheria za kiislamu (sharia), lakini mkataba wameandika kwa elimu ya kimagharibi ( western education)Maandiko yakutoe akili ukajiona huna akili mbele yake. Kila mtu anakili na akili ya mtu haitrgrmeani ni madarasa haya ya kukalili vya wazungu. Akili ni inborn ndo mana Boko Haram hawataki kabisa elimu hizi za wazungu mana zinajenga matabaka na watu kujiona hawana akili mbele ya aliyehudhuria madarasa
Ndio maana tunasoma kwa sheria zinazotambulika kama ulivyo mkataba huo