#COVID19 WHO kutoa ‘Kadi ya Chanjo ya Corona’ itakayokuruhusu kuingia nchi nyingine

Tena wewe nyumbu kubwa lao ndio mburura la mwisho, kuna mathread yako yanafukuliwa, aibu tupu, eti tupigwe chanjo kisa machinga wanapewa id's, kama sio Mavi imekujaa kwa kichwa, ni nn
Utapata kichaa wewe!! Una hasira na watu kisa ujinga wa mwenyekiti wako anaeropoka hovyo majukwaani.
 
Hizo bakora za WHO..za moto moto sana, Dunia haiitaji tanzania, Ila tanzania inahitaji dunia lazima chanjo ije.
 
Mpaka tunafika kwenye kipindi cha kampeni watu walikuwa washaacha muda tu kuzingatia tahadhari za kujikinga na corona kama hizo za kuvaa barakoa kunawa mikono na kujiepusha na misongamano,na ndio maana hata ilipofika wakati wa kampeni haikuwa shida kwa watu kukusanyana kiasi kile tena bila tahadhari zozote. Magufuli ameanza kubeza toka mwaka jana hadi akafananisha barakoa sijui na matiti,kwahiyo nashindwa kuelewa hawa wenzetu wanaoamini corona ilipungua sijui ni muda gani ambayo ndio corona ilipungua.
 
Nyie mtachanjwa na wachina lkn mind you wachina wanachanjia makalioni.
Sisi tumeshakataa kuchanjwa, msimamo wa rais wetu umeshatolewa.

Sasa nendeni mkachanjwe maana msipochanjwa mtakufa
 
Kumbe unasubiri kwanza unyimwe ndipo utafute chako. Huo ni ujuha. Utakufa masikini.
Sisubiri ninyimwe ndio maana unaona napigana kufa kupona nijitegemee ila sasa kuna majuha ukiyaambia kujitegemea yansema tutengwa na beberu.
 
Kwa taarifa yako walikuwa wanamsubiria ajae tu. Na keshajaa sasa litakuwa jiwe la CHUNVI HILO
Ahaaa... Lazima mkachanjwe nyie, jiandae kuchanjwa. WHO imeshasema jiandaeni kupeleka mbaliga hizo mkachanjwe
 
Ni hatari hawa wazungu
Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • 20210127_225116.jpg
    57 KB · Views: 1
Yap.. Chanjo hiyo itakuja kwa ajili yenu ili mchanjwe msife na corona
 
Yap.. Chanjo hiyo itakuja kwa ajili yenu ili mchanjwe msife na corona
... hapo sawa. Sio wewe hutaki unazuia na wenzio huo unakuwa ushetani badala ya utu.
 
Hawa jamaa kweli wametupania...
... hujalazimishwa mzee; la muhimu ili uweze kuvuka mpaka wako lazima uwe na vaccination card. Kama huhitaji kwenda huko card sio lazima; very simple. Namwona Profesa Kabudi akiichangamkia card ya mabeberu fasta maana itahitajika entry points zote. Ha ha ha; tunajifanya ujuaji wa kikapuku!
 
Na cc tutatengeneza ya kwetu .....anyway ....chapa ya mnyama inakuja taratibu .....u will un able to do anything ...to buy or sell without it
Hivi wasababto hizi hadithi zenu za kitaahira hamjaziacha tu?😂😂

Ellen G White alikua anakula kitimoto kila siku halafu anawazuia wafuasi wake msile, hivi si ni vituko?
 
Na cc tutatengeneza ya kwetu .....anyway ....chapa ya mnyama inakuja taratibu .....u will un able to do anything ...to buy or sell without it
Don't justify the dullness of Tanzanian government for this.Its is a different story.
 
Every sign that we are going to be controlled by one system, 666. He who has eyes let him see. The blind leading the blind and they shall all fall into the pit.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…