#COVID19 WHO kutoa ‘Kadi ya Chanjo ya Corona’ itakayokuruhusu kuingia nchi nyingine

Wahenga walisema asiyefunzwa na Mamaye hufunzwa na Ulimwengu

Kwa hiyo tuone Sasa Magufuli uendelee kununua midege yako na huku unajidai nchi yetU unayoitawala kimabavu hakuna Corona

Utaishia kuzurura na hiyo midege yako kwenda nayo kijijini kwenu tu basi.

Uliona mbali kujijengea Kiwanja na kujinunulia Maboeing Mzee baba
 
PhD fake
 
🖕🖕🖕
 
Sasa hiyo who itaitambua chanjo yanani kama ndiyo bora zaidi? Maana USA, UK na RUSSIA wote wanazo ila naamini uenda WHO wakasema ya USA ndiyo bora na ya RUSSIA haifai kwa matumizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana. Sasa wakina paramaganda kabudi wafate maneno ya jpm
 
You don't know what you're talking about.
 
kilaza huyo aliishagoma kutumia akili.
 
Na cc tutatengeneza ya kwetu .....anyway ....chapa ya mnyama inakuja taratibu .....u will un able to do anything ...to buy or sell without it
We we utakua msabato. Mnamafundisho ya ajabu kwelikweli
 
Anasema hivyo ili kuwaweka sawa kisaikolojia maana nyie akili zenu mlishetiwa na kina Lisu kwamba ulaya ndio wanakaa watu ila huku afrika mnakaa nyani
Mkuu mbona kila kitu unamtaja Lisu ? Inaonekana unahasira naye sana.
 
Tena wewe nyumbu kubwa lao ndio mburura la mwisho, kuna mathread yako yanafukuliwa, aibu tupu, eti tupigwe chanjo kisa machinga wanapewa id's, kama sio Mavi imekujaa kwa kichwa, ni nn
Mkuu tayari unamichanjo kibao ya wazungu
 
Magufuli hawezi kufuta kauli yake kwa Sababu ya kadi ya covid-19. Uwepo wa kadi hiyo hauwezi kuifanya Tanzania itekeleze mpango wa wazungu wa massive vaccination. Watu watakaohitaji hiyo kadi ili wasafiri nje haizidi hata robo ya population nzima. Kitachofanyika hizo vaccine zitakuwepo kwa wale wataohitaji kusafiri nje tu. Ni kama vaccine za yellow fever, ukiitisha watu wenye kadi hizo ni wachache mno.
 
Hapa lazima watu wachanjwe kwa nguvu otherwise huvuki mipaka ya Jamhuri ya Muungano
 
TULIANZA NA NYUNGU TUNAMALIZA NA NYUNGU
 
kaa hapo utafune miti pori.
We ulisikia wapi? Ulisikia wapiiiii hii chanjo imesaidia watu? Majani ya mpera, kifumbasi, malimao, tangawizi ninajitia ndani ya blanket hiyo Chanjo wawape mbwa wanaolilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…