denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Kwa taarifa nilizonazo mpaka leo hii; Tanzania mpaka sasa tuna wagongwa 287, Kenya wana wagonjwa 320, huko ulaya na marekani ndio hata sitaki kutazama.
Sasa sijui kwanini wameamua kutu- point sisi!.
Hebu muulizeni huyo mzungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa sijui kwanini wameamua kutu- point sisi!.
Hebu muulizeni huyo mzungu.
Sent using Jamii Forums mobile app