WHO: Maambukizi ya Tanzania yanaenea kwa sababu Serikali haifuati miongozo ya afya ya kimataifa

Most of you people are stupid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatimae tutaongea lugha yenye kueleweka Kanga tutaita Kanga Kenge tutaita Kenge
 
Hatuwezi kuwapita kwa sababu hakuna ukweli unaotangazwa, kwa kukusaidia uliza waliotoroka Amana hospital wakuambie wameona marehemu wangapi walipokua pale,NAJARIBU KUKUSAIDIA KUFIKIRI do your homework

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tupe picha kidogo kuhusu hali ya Amana ipoje ipoje mpaka wakapata sababu ya kutaka kutoka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Palikuwa na gazeti la sani siku za nyuma lilikuwa na kitu:

"Usitake ncheke"
 
Huku tumefungiwa ndani lakini mpaka jana wamekufa 600 na ushee
Huu ugonjwa unasambaa kama moto kwenye upepo mwingi na hakuna mjanja


Sent from my iPhone using Tapatalk
 

Palikuwa na gazeti la sani siku za nyuma lilikuwa na kitu:

"Usitake ncheke"
 
WHO wanaona mbali wameona maabukizi yanasambaa kama Pori limemwagiwa Samli halafu likapigwa kiberiti

Sasa wao inawahusu nini wakati sisi ambao tuko kwenye minyororo ya Ccm ndio tunaoangamia jamani jamani sisi Watanzania tumemkosea nini huyu jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…