WHO: Maambukizi ya Tanzania yanaenea kwa sababu Serikali haifuati miongozo ya afya ya kimataifa

WHO: Maambukizi ya Tanzania yanaenea kwa sababu Serikali haifuati miongozo ya afya ya kimataifa

Kwahiyo hao raia wawili wa tanzania ndio wamekufanya uone umuhimu wa kubadili system ya elimu tanzania vipi kuhusiana na system ya elimu ya Italy, Spain na Marekani huko hakuna umuhimu wa kuibadili kweli??

Kubadili system ya elimu si kwa sababu ya wagonjwa wawili pekee wa maambukizi ya jana waliopatikana Uganda ambao ni madereva wa malori ni raia waTanzania waliotokea Tanzania, bali quality ya comments zetu na hasa zako mkuu.

Labda system ya education na system ya siasa ikibadilika, you could do better.

Ni katika kukutakia mema wala usijisikie vibaya mkuu.
 
The rapid rise in coronavirus cases in Tanzania is partly a result of the government ignoring the international medical recommendations on social gatherings etc, says Dr. Moeti, the Africa director for WHO, at a briefing today.


In Tanzania, the number of confirmed coronavirus cases has increased by more than 500% in the past 10 days. That's one of the worst rates of increase in the world. No wonder the WHO is concerned.

The information from the WHO is actually not "finger-pointing" -- it's an attempt to show that international experts disagree with the Tanzanian government's strategy. Tanzanians have a right to know about this, so that an informed debate can happen.

Sasa wewe kwanini haufati masharti? Ulikatazwa na nani?

Vipi USA, nao hawafati?
 
Tiba ya asili.ni "nonsense"?

Tiba ipi isiyo ya Asili ambayo haijatokana na unazoziita tiba za asili?
Kwa anae amini tiba za asili zinafanya kazi ana uhuru wakutumia.

But that is not a substitute for science walau wakati wanatoa ushauri huo wasiwache kuwaambia umuhimu wa dawa zingine zinazoshauriwa na wataalamu wa afya.

Ni lazima viongozi wawe responsible kuwaambia watanzania watumie tiba za asili ni sawa na kuwa encourage kuachana na dawa za kisayansi na hilo ni jambo la hatari.

Hakuna mtu mwenye akili zake timamu anaekunywa huo mchanganyo wa limau, tangawizi na asali kwa kuchemsha na maji au sijui kujifukiza na kitu gani akaacha paracetamol na hakuna mwenye severe case ya COVID 19 atakaepona bila ya kupewa oxygen (kwa ivyo safari ya pharmacy ama hospitali inahusika; sio ya sokoni wala kwa mganga).

Ndio maana WHO wanasema nchi aifuati ushauri wao.
 
Kwa anae amini tiba za asili zinafanya kazi ana uhuru wakutumia.

But that is not a substitute for science walau wakati wanatoa ushauri huo wasiwache kuwaambia umuhimu wa dawa zingine zinazoshauriwa na wataalamu wa afya.

Ni lazima viongozi wawe responsible kuwaambia watanzania watumie tiba za asili ni sawa na kuwa encourage kuachana na dawa za kisayansi na hilo ni jambo la hatari.

Hakuna mtu mwenye akili zake timamu anaekunywa huo mchanganyo wa limau, tangawizi na asali kwa kuchemsha na maji au sijui kujifukiza na kitu gani akaacha paracetamol na hakuna mwenye severe case ya COVID 19 atakaepona bila ya kupewa oxygen (kwa ivyo safari ya pharmacy ama hospitali inahusika; sio ya sokoni wala kwa mganga).

Ndio maana WHO wanasema nchi aifuati ushauri wao.
Hivi unaijuwa maana ya neno "science" au unakurupuka tu?

Kwanza umekuja na upumbavu wa kusema "tiba za asili" ni "nonsense", sasa unqqnzq kubadili nyimbo.


nimekuulizq maswali eehindwa kujibu hata moja, umeyakwepa? Wu huna majibu? Sasa soma tukupe darsa ambalo Kwa uhakika shule yako na walimu wako wote hawalijuwi...

Wewe ambae si "nonsensical" hiyo unayoidhani ni "science" pekee, mpaka sasa ina tiba ipi ya ,Corona" iliyothibitishwa na hao WHO?

Tazama hii chini hao WHO tena DG wwonwa dunia wameshauriwa nini na huyu bingwa...

 
Wanaoteseka ni Watanzania masikini
Corona anachaguwa masikini na tajiri?

Huyo masikini anaeteseka na Corona Yuko wapi? Ulitaka wafungiwe halafu kula yao ya kila siku uatawapa wewe? Wewe ni tajiri kumshinda Mbowe? Muulize mateso anayoyapitia Corona kuwepo nyumbani kwake.
 
Vipi kuhusu marekani,Italy spain,Germany.?
Asia,marekani zote nazo hawafuati huo muongozo ndo maana wana maambukizi mengi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli ninkuwa hawafati wataalam waliobobea. Msikilize.mtaalaam huyu anawapa ushauri Sweden wa kitokuganya lockdown na umefata na mpaka sasa Sweden maambukizi ni kidogo sana ukilinganisha na nchi za Ulaya zilizojilockdown.
 
Kubadili system ya elimu si kwa sababu ya wagonjwa wawili pekee wa maambukizi ya jana waliopatikana Uganda ambao ni madereva wa malori ni raia waTanzania waliotokea Tanzania, bali quality ya comments zetu na hasa zako mkuu.

Labda system ya education na system ya siasa ikibadilika, you could do better.

Ni katika kukutakia mema wala usijisikie vibaya mkuu.
Nilikua nafikiri najadiliana na mtu mwenye akili kumbe nipo kwenye mjadala la kijana wa Ufipa??

Naishia hapa maana uelekeo wako ni wa kutafuta kiki tu, huna lolote.
 
I on my part see no govt strategy on fighting this pandemic. We, the public, are getting confused by a diversity of views from the same government. The Dar RC says one thing, the Mbeya RC says another, the President comes out with statements that contradict steps that have been taken. Then comes statements from the Ministry responsible for health contradicting some assertions by that President! Where and what is the strategy ?

It is not too late. The government should come up with a national strategy that clearly stipulates the immediate necessary actions that should be taken in the whole country against Covid 19. The policy should include among others the following:-
1. Strictly following WHO guidelines on the Covid 19 pandemic.
2. Provision of PPE(Personal Protective Equipment) to our medical staff and those in the front line against the pandemic.
3. Have a special budget passed by National Assembly that will address and provide funds for the fight against Covid 19. Among others the parliament should pass legislation and give financial incentives favouring local factories that provide or manufacture items currently needed in the fight against Covid 19.
This pandemic has affected many businesses especially those in the tourist sector, including travel and transport, food and beverages and other related businesses. The government should look into how it can rescue these businesses.

Covid 19 is a reality, and a dangerous one at that. It is killing our people and the economy. Let's approach the fight with open minds, learning from what others have done, taking into account our situation and environment. This is a new disease. No one has a clear answer or definitive method of dealing with it. But I go for WHO Guidelines and what the majority practice. And these don't include prayers as a fighting method.

Let's keep the fight. I love my country, Tanzania.
The rapid rise in coronavirus cases in Tanzania is partly a result of the government ignoring the international medical recommendations on social gatherings etc, says Dr. Moeti, the Africa director for WHO, at a briefing today.


In Tanzania, the number of confirmed coronavirus cases has increased by more than 500% in the past 10 days. That's one of the worst rates of increase in the world. No wonder the WHO is concerned.

The information from the WHO is actually not "finger-pointing" -- it's an attempt to show that international experts disagree with the Tanzanian government's strategy. Tanzanians have a right to know about this, so that an informed debate can happen.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom