WHO: Maambukizi ya Tanzania yanaenea kwa sababu Serikali haifuati miongozo ya afya ya kimataifa

WHO: Maambukizi ya Tanzania yanaenea kwa sababu Serikali haifuati miongozo ya afya ya kimataifa

Hivi unadhani Makonda aliposema watu wanapukutika alikuwa anatania? Hali ni mbaya mno mno. Maiti zinazikwa usiku kwa usiri mkubwa. Kma una muda vizi makaburi kama ya Mbweni, Kunduchi muda wa jioni au usiku uone kinachoendelea. Wameshafariki wagonjwa wengi sana. Una mtu mgonjwa wa corona unayemjua alikuwa hospital ya Amana au anafanya kazi hapo? Hicho Makonda alichosema ndiyo hali halisi na ni katika kubwabwaja kwake akajikuta anatoa siri. Kuna siku wanawazika hata maiti 15!
Hapokunabkunakaukweli
 
Wazungu walikuibia siri kuwa watafanyia majaribio chanjo ya Korona Afrika.. Wanacho jifunza kutoka Afrika, sio chanjo tu.. Kuna mambo mengi mazuri wanajifunza toka kwetu, but they wont admit!
Laiti ungejua majaribio yameshaanza na yanafanyikia huko huko tena kuna madaktari wengi tu wamejitolea.
 
For the 1st time, Europe, Asia and America are learning their lesson from a 'tiny' country is East Africa.
Europe has the confidence to reopen their economies from the case studies they have secretely taken from countries like Tanzania.
Kenya for example, has a confidence to open school abrubtly from a lock down using Tz as their case study on impossibilty of adverse effects of reopening.
Tanzania the 1st time, has shown a leadership to the World on how to live with a deadly snake in the room without a single snake bite!
Weka link ya hiyo studies ps

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wametupost au kutuzungumzia sisi kwa kuwa baadhi yetu sisi watanzania tumepeleka huko WHO au 'tumeshitaki' huko kwamba serikali inapuuza masuala ya tahadhari kwa Corona...adui nambari moja wa Tanzania siyo mabeberu Bali ni sisi wenyewe watanzania....wewe fikiria watu wamefika mahali wanahoji kwanini Rais wetu Yuko Chato...yaani sijuo wanataka sijui aweoo wapi sijui Dodoma au Dar es salaam...it is as if Chato siyo sehemu ya Tanzania...Yaani ni kana kwamba akiwa Chato eti Rais hawezi kutekeleza majukumu yake ya urais....Yaani watanzania baadhi yetu tumejaa hududa, malalamiko, ubishi, wivu, utoto, ulimbukeni na ufedhuli...
Ndugu yangu hiyo chorus yenu sasa inachosha.
Madai yenu ni ya kitoto muda wote. Huyo msaliti ni nani? Ambatanisha ushahidi, peleka mahakamani tuwasikilize WAZI. Kama hamtaishia tu kubumba tu mashitaka ya kuzimu, ....... mara kutakatisha hela.... halafu wanalazimishwa kukiri na kuzilipa ...ili watoke.
Awamu hii sijui ya malaika, sijui mungu mtu, MZARENDO, Asiyekosolewa, wakusifiwa tuu na kuimbiwa nyimbo za mapambio kama mtoto mchanga wa uzeeni. Anaelindwa kuliko marais wote waliyowahi kupita TZ sijui kwa kuogopa waTz wanyonge?
HIVI, huko kujilizaliza kwenu kwa visingizio kunatupeleka wapi zaidi ya kuibomoa nchi hii. Kama nae kesha tambua kuwa hawezi, AJIUZULU.
 
For the 1st time, Europe, Asia and America are learning their lesson from a 'tiny' country is East Africa.
Europe has the confidence to reopen their economies from the case studies they have secretely taken from countries like Tanzania.
Kenya for example, has a confidence to open school abrubtly from a lock down using Tz as their case study on impossibilty of adverse effects of reopening.
Tanzania the 1st time, has shown a leadership to the World on how to live with a deadly snake in the room without a single snake bite!
Lies of unimaginable magnitude. Umeandika Ki-kijiwe sana.
 
For the 1st time, Europe, Asia and America are learning their lesson from a 'tiny' country is East Africa.
Europe has the confidence to reopen their economies from the case studies they have secretely taken from countries like Tanzania.
Kenya for example, has a confidence to open school abrubtly from a lock down using Tz as their case study on impossibilty of adverse effects of reopening.
Tanzania the 1st time, has shown a leadership to the World on how to live with a deadly snake in the room without a single snake bite!
Kimombo cha St Kayumba hakijifichi, kina mapengo mengi. Jaribu tena 'tuition'.
 
Fursa ya biashara Tanzania- industrial steam boilers for covid 19 treatment!
 
Na Kenya yenye wagonjwa 300+,south Africa yenye wagonjwa 1000+ wenyewe wanafuata maagizo? Huyu beberu ni wa kupuuzwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe sahizi unajua hapa kwetu tunao wangapi? Leo, 8 waliokuwa wamelazwa Seketure, wamepelekwa Buswelu baada ya kuthibitika.

Ukitaka unaweza kusimama Askari monument, ukafunga macho yako mpaka jioni, na jioni ukawaambia watu kuwa tangu asubuhi hakuna gari iliyiona inapita. Hutakuwa umekosea, maana ni kweli hukuiona.

Kwa wale wanaothamini maisha yao na ya wapendwa wao, wasikilize taarifa na maelekezo ya WHO na wataalam wa nchi nyingine. Sikio la kufa halisikii dawa.

Upo Posta unaambiwa uvuke kwa mguu kuelekea Kigamboni kwa sababu maji hayo hayana kina. Lakini anayekuambia hivyo, yupo milima ya Burigi. Cha kujiuliza, ambaye yupo Posta na wa Burigi, nani anayeiona hatari kwa uzuri zaidi, ya kuvuka bahari kwa miguu kuelekea Kigamboni?

Tuyakumbuke ya Farao. Mungu aliufanya moyo wa Farao kuwa mgumu ili Wamisri waangamie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WHO wamechanganyikiwa tu
USA qanaituhumu WHOkqa uzembe ulioifikiaha dunia hapa,USA wamekata mchango na.msaada wake kwa WHO kwa uzembe huo,leo eti nao wanatunyooshea kidole!
 
Back
Top Bottom