WHO: Maambukizi ya Tanzania yanaenea kwa sababu Serikali haifuati miongozo ya afya ya kimataifa

WHO: Maambukizi ya Tanzania yanaenea kwa sababu Serikali haifuati miongozo ya afya ya kimataifa

Ni hatua zipi serikali hazijatekeleza kama nchi zingine za Africa?.

1.Social distancing inatekelezwa
2.shule na vyuo zimefungwa.
3.makanisa na misikiti (ni
kujiongeza tu kwa waumini)
4.Barakoa na sanitizer zinazingit-
iwa tena kwa hatua za mwanzo.

LOCKDOWN to ndo haijatekelezwa na ni kitu kigumu kwa nchi za Africa,angalia Ghana wamerudi mtaani,south africa ndo hivo,subiri Kenya,Uganda na Rwanda zitafunguliwa serikali hazina uwezo wa kumlisha mtu ndani kwa mda mrefu na wakirudi mtaani maambukizi ni yaleyale.

Hivi Burundi walifanya lockdown lini na ligi iliendelea hadi wiki zilizopita.

Kwa Africa lockdown ni ngumu sana sema tu hayo mataifa ya Ulaya yamemchoka jamaa kwa mambo yake na misimamo yake na ukiukwaji wa haki za binadam kwa matukio yaliyopita

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Time
For the 1st time, Europe, Asia and America are learning their lesson from a 'tiny' country is East Africa.
Europe has the confidence to reopen their economies from the case studies they have secretely taken from countries like Tanzania.
Kenya for example, has a confidence to open school abrubtly from a lock down using Tz as their case study on impossibilty of adverse effects of reopening.
Tanzania the 1st time, has shown a leadership to the World on how to live with a deadly snake in the room without a single snake bite!
Time will tell.
 
Na Kenya yenye wagonjwa 300+,south Africa yenye wagonjwa 1000+ wenyewe wanafuata maagizo? Huyu beberu ni wa kupuuzwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa naona wanapata tabu sana wanavyoiona Tanzania inakuwa katika hali hii. Kuna watanzania wa ajabu wanafurahia Tanzania ipate matatizo kwa sababu ya mambo yao ya kisiasa na ninawahakikishia hawatashuhudia Tanzania ikianguka. Pia hivi nilishangaa sana sisi tunaidhalau inchi yetu wakati wazungu wanatatamani kuishi kwenye nchi hii mpaka wanalia wanapoambiwa warudi kwao. Tuipende nchi yetu tujivunie pia maana Mungu ametupa nchi nzuri sana
 
Qq
Ndugu yangu hiyo chorus yenu sasa inachosha.
Madai yenu ni ya kitoto muda wote. Huyo msaliti ni nani? Ambatanisha ushahidi, peleka mahakamani tuwasikilize WAZI. Kama hamtaishia tu kubumba tu mashitaka ya kuzimu, ....... mara kutakatisha hela.... halafu wanalazimishwa kukiri na kuzilipa ...ili watoke.
Awamu hii sijui ya malaika, sijui mungu mtu, MZARENDO, Asiyekosolewa, wakusifiwa tuu na kuimbiwa nyimbo za mapambio kama mtoto mchanga wa uzeeni. Anaelindwa kuliko marais wote waliyowahi kupita TZ sijui kwa kuogopa waTz wanyonge?
HIVI, huko kujilizaliza kwenu kwa visingizio kunatupeleka wapi zaidi ya kuibomoa nchi hii. Kama nae kesha tambua kuwa hawezi, AJIUZULU.
"Madai yenu'...sisi akina nani na nyie ni akina nani? Hivi ulivyoandika MZARENDO ni spelling mistake au ndiyo uelewa wako wa neno Hilo?
 
Ndugu yangu hiyo chorus yenu sasa inachosha.
Madai yenu ni ya kitoto muda wote. Huyo msaliti ni nani? Ambatanisha ushahidi, peleka mahakamani tuwasikilize WAZI. Kama hamtaishia tu kubumba tu mashitaka ya kuzimu, ....... mara kutakatisha hela.... halafu wanalazimishwa kukiri na kuzilipa ...ili watoke.
Awamu hii sijui ya malaika, sijui mungu mtu, MZARENDO, Asiyekosolewa, wakusifiwa tuu na kuimbiwa nyimbo za mapambio kama mtoto mchanga wa uzeeni. Anaelindwa kuliko marais wote waliyowahi kupita TZ sijui kwa kuogopa waTz wanyonge?
HIVI, huko kujilizaliza kwenu kwa visingizio kunatupeleka wapi zaidi ya kuibomoa nchi hii. Kama nae kesha tambua kuwa hawezi, AJIUZULU.
Eti niambatishe ushahidi na nipeleke mahakamani....kwa kauli Kama hii ni wazi hujui kitu...ni wa kuhurumiwa...it is no wonder unaandika MZARENDO baadala ya MZALENDO...
 
Umesema ww
For the 1st time, Europe, Asia and America are learning their lesson from a 'tiny' country is East Africa.
Europe has the confidence to reopen their economies from the case studies they have secretely taken from countries like Tanzania.
Kenya for example, has a confidence to open school abrubtly from a lock down using Tz as their case study on impossibilty of adverse effects of reopening.
Tanzania the 1st time, has shown a leadership to the World on how to live with a deadly snake in the room without a single snake bite!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona wanakazana na Tanzania yenye kesi 284 kuliko wao huko wenye kesi million + nini kilichoko nyuma ya pazia
 
Tanzania the 1st time, has shown a leadership to the World on how to live with a deadly snake in the room without a single snake bite!
I think there are multiple snake bites. 10 officially confirmed COVID19's deaths and many more ambazo tumesingizia pneumonia, BP, cancer, Kifaduro, malaria, kisukari and the like
 
Wametupost au kutuzungumzia sisi kwa kuwa baadhi yetu sisi watanzania tumepeleka huko WHO au 'tumeshitaki' huko kwamba serikali inapuuza masuala ya tahadhari kwa Corona...adui nambari moja wa Tanzania siyo mabeberu Bali ni sisi wenyewe watanzania....wewe fikiria watu wamefika mahali wanahoji kwanini Rais wetu Yuko Chato...yaani sijuo wanataka sijui aweoo wapi sijui Dodoma au Dar es salaam...it is as if Chato siyo sehemu ya Tanzania...Yaani ni kana kwamba akiwa Chato eti Rais hawezi kutekeleza majukumu yake ya urais....Yaani watanzania baadhi yetu tumejaa husuda, malalamiko, ubishi, wivu, utoto, rulimbukeni na ufedhuli...

Crap [emoji90]
 
The rapid rise in coronavirus cases in Tanzania is partly a result of the government ignoring the international medical recommendations on social gatherings etc, says Dr. Moeti, the Africa director for WHO, at a briefing today.


In Tanzania, the number of confirmed coronavirus cases has increased by more than 500% in the past 10 days. That's one of the worst rates of increase in the world. No wonder the WHO is concerned.

The information from the WHO is actually not "finger-pointing" -- it's an attempt to show that international experts disagree with the Tanzanian government's strategy. Tanzanians have a right to know about this, so that an informed debate can happen.
In Tanzania, the number of confirmed coronavirus cases has increased by more than 500% in the past 10 days. That's one of the worst rates of increase in the world. No wonder the WHO is concerned. [emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji124][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]


Jr[emoji769]
 
Na kule Kenya yanasambaa kwa sababu gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya wao wamefikia idadi hiyo kwa kupima, watukujitokeza walio na dalii za Corona na kupimwa, n.k. Je sisi tumepateje hizo takwimu kama sio kwa kuzipika na kusubiria wananchi walio ugua na kujipeleka wenyewe mahospitalini?.

Sayansi na asili(nature) havijawahi kudanganya, kudanganyika, n.k. ngoja tuendelee kutia aibu Dunia!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazungu walikuibia siri kuwa watafanyia majaribio chanjo ya Korona Afrika.. Wanacho jifunza kutoka Afrika, sio chanjo tu.. Kuna mambo mengi mazuri wanajifunza toka kwetu, but they wont admit!

Mkuu sisi wanakojifunza mengi si tungetengeneza na hiyo chanjo wenyewe tukakaa na hazina zetu wenyewe?

Hii si ni kwa sababu tuko vizuri mno kufuatana na bandiko lako?
 
Back
Top Bottom