fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
We kweli mjingamimi! 😂Kwani watu wakifa na Corona kuna ubaya gani?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kweli mjingamimi! 😂Kwani watu wakifa na Corona kuna ubaya gani?.
Yaani ujenge hoja wewe, mimi nikuletee nyenzo za kubeba hoja yako!? Uendeshaji gani huo wa mjadala!?Ushahidi data zote hizo juu huzioni ama? Mpaka nilete Mimi specifically?! Una google, unashindwa kujiridhisha mwenyewe mkuu?
Kama unafuatilia vizuri reaction ya wanajamvi hapa...wameshakupuuza kabisa.lakini wanazimika kukujibu ili kuzuia upotoshani ambao unaufanya ambao unaweza hatarini maisha ya watanzania kutokana na janga la korona. Unazika viongozi wa kitaifa wawili kwa mpigo waliokufa kwa korona halafu unaamini korona haiuwi.... kweli wewe ni mjinga...akili yako inasadifu jina lako!Sasa kama unanisikiliza Mimi basi utapotea
Maana Mimi Imani yangu Corona ni ugonjwa wa PROMOTION nyingi.siamini kama Corona inaua.
Sio bandiko langu, bali mimi ni mchangiaji kama wewe, data zimeshawekwa huko juu, acha uvivu wa kusoma. Nikakushauri jiridhishe mwenyewe hata kwa kugoogle. Hakuna haja ya kuduplicate data wakati zimeshawekwa.Yaani ujenge hoja wewe, mimi nikuletee nyenzo za kubeba hoja yako!? Uendeshaji gani huo wa mjadala!?
Bila kuleta ushahidi wa kubeba hoja yako, bandiko lako linabaki la kipotoshaji!
Kama kweli data unazojaribu kueleza hapa kuwa zimo kwenye uzi huu, kiungwana kabisa ulitakiwa uelekeze zipo page ya ngapi ya uzi na bandiko namba ngapi! Ni hivyo tu ungekuwa umenifunga breki ya kutilia shaka bandiko lako.Sio bandiko langu, bali mimi ni mchangiaji kama wewe, data zimeshawekwa huko juu, acha uvivu wa kusoma. Nikakushauri jiridhishe mwenyewe hata kwa kugoogle. Hakuna haja ya kuduplicate data wakati zimeshawekwa.
Kama unafuatilia vizuri reaction ya wanajamvi hapa...wameshakupuuza kabisa.lakini wanazimika kukujibu ili kuzuia upotoshani ambao unaufanya ambao unaweza hatarini maisha ya watanzania kutokana na janga la korona. Unazika viongozi wa kitaifa wawili kwa mpigo waliokufa kwa korona halafu unaamini korona haiuwi.... kweli wewe ni mjinga...akili yako inasadifu jina lako!
We kweli mjingamimi! [emoji23]
Sawa mkuu mimi ni muungwana, naomba ujiridhishe mwenyewe kwa kuingia www.cdc.gov/covidviewKama kweli data unazojaribu kueleza hapa kuwa zimo kwenye uzi huu, kiungwana kabisa ulitakiwa uelekeze zipo page ya ngapi ya uzi na bandiko namba ngapi! Ni hivyo tu ungekuwa umenifunga breki ya kutilia shaka bandiko lako.
Wanakufa, point yako ni ipi haswa?hivi kabla ya Corona watu walikuwa HAWAFI?
Wanakufa
Wewe unavyoona vifo vinavyosababishwa na huu mripuko wa hawa virus ni natural deaths?Sasa kwanini Leo iwe ajabu watu kufa na Corona?
Wewe unavyoona vifo vinavyosababishwa na huu mripuko wa hawa virus ni natural deaths?
Kwa mfano kipindupindu kilivyoripuka nchini kwa Mara ya kwanza nchini miaka ya 1970's serikali ilimchukua hatua au iliacha wananchi wajifie tu majumbani mwao?
Be smart bhas mjingamimi, ndiomana kila serikali dunia I Ina mfuko maalumu wa kumshugurikia majanga na miripuko ya magonjwa inapotokea!
Asante sana mkuu, nimefanikiwa kwenda kuona hizo data! Na nimeenda kuangalia data za nchi 'iliyostaarabika na yenye teknololia ya hali ya juu' kukabiliana na majanga ikiwemo hili la Corona. Nchi yenyewe ni US.Sawa mkuu mimi ni muungwana, naomba ujiridhishe mwenyewe kwa kuingia www.cdc.gov/covidvie
Mataifa yapi yamepiga hatuwa ya kupunguza maambukizi kama sio Uchina tu! WHO ilihusikanaje kwa udhibiti wa maambukizi ya Corona nchini China - WHO hawahusika lolote zaidi ya propaganda zao za kupigia debe chanjo za Western Big Pharma Companies na kutaka kulazimisha mataifa maskini kuchukua mikopo ya World Bank kununulia chanjo - hawajali mzigo wa madeni utakao bebeshwa nchi maskiniHuwezi kufanya maamuzi kabla ya kujua ukubwa wa tatizo. Wenzetu vifo vimeanza kupunguza baada ya kuchukua hatua stahiki.
NajuaNajua.ndo maana nikakuuliza wewe unajua maana ya SHIFT?
Watuongezee chandaruaWaulize WHO wanataka data za Corona za Tanzania wanataka kuzifanyia nini?.
Ripoti ya karibuni maambukizi yamepungua kwa 17%Kwanza WHO wangetuambia hizo hatua wanazotaka tuchukue zimesaidiaje hao waliozichukua ili nasi tushawishike
Swali ulilotakiwa kujuliza kwanini tumekuwa wanachama WHO.ishauri serikali tujiondoe wasitusumbue na mikataba tuliosainiKwani WHO ikipata taarifa za takwimu za COVID-19 kutoka tz wanasaidiaje? Mbona vifo vimezidi hata huko nchi za ng'ambo?
Watuongezee chandarua
Fikiri nje box.nchi za baridi mbu utafuta kwa kurunziKwani hizo Chanda rua kwao zinawatosha