#COVID19 WHO yasema haina taarifa za COVID-19 kutoka Tanzania

#COVID19 WHO yasema haina taarifa za COVID-19 kutoka Tanzania

Ushahidi data zote hizo juu huzioni ama? Mpaka nilete Mimi specifically?! Una google, unashindwa kujiridhisha mwenyewe mkuu?
Yaani ujenge hoja wewe, mimi nikuletee nyenzo za kubeba hoja yako!? Uendeshaji gani huo wa mjadala!?

Bila kuleta ushahidi wa kubeba hoja yako, bandiko lako linabaki la kipotoshaji!
 
Sasa kama unanisikiliza Mimi basi utapotea
Maana Mimi Imani yangu Corona ni ugonjwa wa PROMOTION nyingi.siamini kama Corona inaua.
Kama unafuatilia vizuri reaction ya wanajamvi hapa...wameshakupuuza kabisa.lakini wanazimika kukujibu ili kuzuia upotoshani ambao unaufanya ambao unaweza hatarini maisha ya watanzania kutokana na janga la korona. Unazika viongozi wa kitaifa wawili kwa mpigo waliokufa kwa korona halafu unaamini korona haiuwi.... kweli wewe ni mjinga...akili yako inasadifu jina lako!
 
Yaani ujenge hoja wewe, mimi nikuletee nyenzo za kubeba hoja yako!? Uendeshaji gani huo wa mjadala!?

Bila kuleta ushahidi wa kubeba hoja yako, bandiko lako linabaki la kipotoshaji!
Sio bandiko langu, bali mimi ni mchangiaji kama wewe, data zimeshawekwa huko juu, acha uvivu wa kusoma. Nikakushauri jiridhishe mwenyewe hata kwa kugoogle. Hakuna haja ya kuduplicate data wakati zimeshawekwa.
 
Sio bandiko langu, bali mimi ni mchangiaji kama wewe, data zimeshawekwa huko juu, acha uvivu wa kusoma. Nikakushauri jiridhishe mwenyewe hata kwa kugoogle. Hakuna haja ya kuduplicate data wakati zimeshawekwa.
Kama kweli data unazojaribu kueleza hapa kuwa zimo kwenye uzi huu, kiungwana kabisa ulitakiwa uelekeze zipo page ya ngapi ya uzi na bandiko namba ngapi! Ni hivyo tu ungekuwa umenifunga breki ya kutilia shaka bandiko lako.
 
Wamenipuuza?
Kwa lipi asaa.?
Kwanini wewe unajiona huko Sahihi kuliko Mimi?.
kwanini unawaamini WHO kuliko MUNGU?.
hata hivyo sipo Kwa ajili ya kuungwa mkono humu.na wala uwa sifuati mkumbo.
Mimi uwa naamini ninachokiamini.sio bendera fuata upepo.
Kama unafuatilia vizuri reaction ya wanajamvi hapa...wameshakupuuza kabisa.lakini wanazimika kukujibu ili kuzuia upotoshani ambao unaufanya ambao unaweza hatarini maisha ya watanzania kutokana na janga la korona. Unazika viongozi wa kitaifa wawili kwa mpigo waliokufa kwa korona halafu unaamini korona haiuwi.... kweli wewe ni mjinga...akili yako inasadifu jina lako!
 
Sasa kwanini Leo iwe ajabu watu kufa na Corona?
Wewe unavyoona vifo vinavyosababishwa na huu mripuko wa hawa virus ni natural deaths?
Kwa mfano kipindupindu kilivyoripuka nchini kwa Mara ya kwanza nchini miaka ya 1970's serikali ilimchukua hatua au iliacha wananchi wajifie tu majumbani mwao?
Be smart bhas mjingamimi, ndiomana kila serikali dunia I Ina mfuko maalumu wa kumshugurikia majanga na miripuko ya magonjwa inapotokea!
 
sasa kama ugonjwa wenyewe ni kutengeneza.watu wafanye nini?.
na ndo maana Mimi nasema nipo pamoja na magufuli.maana ugonjwa wenyewe hausikii Tiba wala dawa.
Wewe unavyoona vifo vinavyosababishwa na huu mripuko wa hawa virus ni natural deaths?
Kwa mfano kipindupindu kilivyoripuka nchini kwa Mara ya kwanza nchini miaka ya 1970's serikali ilimchukua hatua au iliacha wananchi wajifie tu majumbani mwao?
Be smart bhas mjingamimi, ndiomana kila serikali dunia I Ina mfuko maalumu wa kumshugurikia majanga na miripuko ya magonjwa inapotokea!
 
Sawa mkuu mimi ni muungwana, naomba ujiridhishe mwenyewe kwa kuingia www.cdc.gov/covidvie
Asante sana mkuu, nimefanikiwa kwenda kuona hizo data! Na nimeenda kuangalia data za nchi 'iliyostaarabika na yenye teknololia ya hali ya juu' kukabiliana na majanga ikiwemo hili la Corona. Nchi yenyewe ni US.

Kutoka kwenye link hii ( COVID Data Tracker ) ambayo nimeipata kutoka kwenye link mama uliyonipatia, kuna takwimu za vifo toka mwaka jana mwezi wa pili mpaka mwaka huu mwezi wapili.

Ukiangalia takwimu hizi inaonyesha kabisa vifo vimeongezeka tofauti na maelezo yako ya awali kuwa vifo vimepungua. Kibaya zaidi vifo vinaonekana kuongezeka baada ya kuanza kutumia chanjo hasa hasa mwishoni mwa mwaka jana! Fungua link hii mwenyewe ushuhudie.

Kwa maelezo haya, ninadhibisha kuwa ulikuwa na kusudio la kutupotosha ama kwa kujua ama kwa kutokujua!
 
Huwezi kufanya maamuzi kabla ya kujua ukubwa wa tatizo. Wenzetu vifo vimeanza kupunguza baada ya kuchukua hatua stahiki.
Mataifa yapi yamepiga hatuwa ya kupunguza maambukizi kama sio Uchina tu! WHO ilihusikanaje kwa udhibiti wa maambukizi ya Corona nchini China - WHO hawahusika lolote zaidi ya propaganda zao za kupigia debe chanjo za Western Big Pharma Companies na kutaka kulazimisha mataifa maskini kuchukua mikopo ya World Bank kununulia chanjo - hawajali mzigo wa madeni utakao bebeshwa nchi maskini
, wakati wala chanji zinazo pigiwa debe na WHO hazijafanyiwa utafiti wa kutosha na kijiridhisha kwamba zina ufanisi wanao dai watengenezaji.

Tuwe wakweli hapa WHO ni janga tupu taasisi nzima imewekwa mfukoni mwa foundation ya Bill Gates na mkewe, hao ndio wana pull strings na kuleta taaruki Duniani - lengo hasa ni kutaka kupiga hela ndefu kwa kupitia biashara ya chanjo zao, na kibaya zaidi batch zitakazo letwa barani Afrika zinaongezewa vinasaba vya kuzuia uzazi barani Afrika vile vile kufanya immune systems za waafrika zi over react na magonjwa ya kawaida kama allegies na common cold na si rahisi kugunduwa kwamba matatizo hayo yameletelezwa na chanjo tulizo wahi kudungwa miaka/miezi ya nyuma - narudia kukumbusha kwamba vitajitokeza vifo tatanishi kutokana na chanjo hizo na hakuna atakaye kumbuka ukweli huo.

Juzi hapa nilimsikiliza kwa umakini sana mtaalamu wa kimataifa iliye bobea katika taaluma ya Molecular Biology na Immunology, ni mama wa ki Irish Professa wa Chuo kikuu, ana uzoefu wa miaka 35 katika tafiti za masuala haya - anasema mpaka sasa hakuna kampuni hata moja iliyo wahi kutengeneza chanjo dhidi ya jamii ya virusi vya Corona kuanzia mlipumko wa SARS mpaka sasa, wote walishindwa, kuna makampuni yalifikia hatuwa ya kutumia virus vinavyo patikana kwenye ini au mafigo ya mbwa ili kutengeneza chanjo, walitumia virusi vilivyo tolewa kwenye organs za mbwa lakini chanjo haikufanya kazi ie ilishindikana - maabara ya tafiti ya huko Uingereza ilipashwa kufungwa na Serikali baada ya wanyama wengi kufa na wengine kuhugua sana baada ya kufanyiwa majaribio ya chanjo ya corona zilizo tokana na attenuated virus kutoka kwenye organs za mbwa, just imagine binadamu hawa akili zao zilivyo za ajabu wakati mwigine.

Mama huyo ilihitimisha maelezo yake kwenye kituo kimoja cha TV huko Ulaya kwa kusema given anacho kijuwa yeye mpaka sasa, hata akipewa Euro million mia moja ili adungwe chanjo awezi kukubali yeye, familia yake na watu wake wa karibu kudungwa chanjo. Hayo ndio maelezo ya mtaalamu mbobezi na msema kweli.
 
Kwani WHO ikipata taarifa za takwimu za COVID-19 kutoka tz wanasaidiaje? Mbona vifo vimezidi hata huko nchi za ng'ambo?
Swali ulilotakiwa kujuliza kwanini tumekuwa wanachama WHO.ishauri serikali tujiondoe wasitusumbue na mikataba tuliosaini
 
Back
Top Bottom