#COVID19 WHO yasema haina taarifa za COVID-19 kutoka Tanzania

#COVID19 WHO yasema haina taarifa za COVID-19 kutoka Tanzania

Na nchi za joto.corona utaikuta Kwa matajiri Tu.watuache
Hakuna mzungu anayetulazisha labda huyo muethiopia .wazungu wamesema Kama tunataka chanjo iwatoshe wao afrika labda 2023.
Uzuri wanadondoka wenye uwezo kubadilisha vipindi vya TV' sisi huku kwenye kangomba hatuna habari
 
Nchi hii imeifanya corona kuwa sandakalawe.....mwenye kupata apate na mwenye kukosa akose.........
 
Asante sana mkuu, nimefanikiwa kwenda kuona hizo data! Na nimeenda kuangalia data za nchi 'iliyostaarabika na yenye teknololia ya hali ya juu' kukabiliana na majanga ikiwemo hili la Corona. Nchi yenyewe ni US....
Mkuu observation yangu Mimi imeanzia idadi ya vifo wiki mbili zilizopita mpaka sasa. Ukiangalia kwa huo mchanganuo idadi ya vifo duniani imepungua kwa asilimia 6%.

Sina haja ya kukusanya data za mwezi mzima wakati huu ugonjwa kwa siku tu duniani unaondoa watu zaidi ya 100. Am weekly covid report based
 
hawa WHO nao ni ma-ajent wa devil worshippers kina Bill Gate. Illuminati ndio waratibu wakuu wa haya majanga. Njooni kwa Yesu muwe huru na haya madhila ya adui. Tuko katika nyakati za mwisho sana.


hakika YESU ni BWANA na MWOKOZI
 
Mataifa yapi yamepiga hatuwa ya kupunguza maambukizi kama sio Uchina tu! WHO ilihusikanaje kwa udhibiti wa maambukizi ya Corona nchini China - WHO hawahusika lolote zaidi ya propaganda zao za kupigia debe chanjo za Western Big Pharma...
Asante mkuu kwa maelezo yako yaliyoshiba. Nia na madhumuni ya hii mjadara ni kutafuta nafuu dhidi ya hili gonjwa. I wish ningemfahamu huyo mama hata kwa jina nifuatilie mijadala yake kuhusu Corona. Kwa uzoefu huo hakika ana jambo tena lenye manufaa kwa jamii ya kimataifa.

Nani tumuamini, Nani tusimuamini na gonjwa linatutafuna?

Tuchukue hatua gani hasa za kukabiriana na hili gonjwa kama taifa?
 
Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Afya Ulimwenguni,Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema WHO haijapokea taarifa yoyote kutoka Tanzania juu ya hatua zinazochukuliwa na serikali kuhusiana na janga la corona...
IMG_20210221_084044.jpg
Vaeni barakoa na kufuata utaratibu wa kujikinga.
 
Daima tutamkumbuka Donald Trump kwa kuwapa makavu WHO.
 
Si tulishawambia hazipo au wanataka za mapapai, mbuzi, fenesi nk
Acha wazimu wewe.....pambaf mkubwa usiyejitambua!

Wewe na Jiwe lako mwataka Watz wangapi wafe kwa Covid-19 ndiyo mtangaze?

MAKAMU #1 Zenji na Katibu Mkuu Kiongozi wameondoka na Corona Virus mnaendelea kuwalaghai Watz kuwa ni matatizo ya upumuaji au Pneumonia!

Just call a spade a SPADE and not a BIG SPOON.
 
Hivi kwa nn wasilichimbe mkwara hili likinjekitile la nyakati zetu?
Naona linabembelezwa tu huku linazidi kutamba na kuzidisha misifa.
Kawaida ya Kenge,kusikia kwake ni kipondo hadi damu zimtoke masikioni.Tuna Utawala wa ajabu mno.Kauli zinazosikilizwa na za waimba mapambio tu,nyie wa Julia na kusaga meno mtajuana na Mabeberu.
Hakika tutayakumbuka maneno ya Mh.Lissu...
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema na namnukulu " HATUWEZI KUTATUA MATATIZO YETU KWA KUJIDANGANYA KUWA HAYAPO"
Mwisho wa kunukulu,
Kuongopa ni silka mbaya ya mwanadamu, lakini ni mbaya zaidi unapoanza kuamini uwongo wako mwenyewe.
 
Hivi kwanza WHO ina maana gani na kazi zake ni zipi ?

Nadhani ungejua hilo / ukishajua hilo nadhani usingeuliza hili..., By the way Tanzania pia inatengeneza hio WHO yaani ni kama chain ambayo is as strong as its weakest link
Amesahau chanjo zote ambazo watoto wetu hupatiwa huidhinishwa na WHO.
Pomoja na kanuni zingine za afya.
 
Hivi kwa nn wasilichimbe mkwara hili likinjekitile la nyakati zetu?
Naona linabembelezwa tu huku linazidi kutamba na kuzidisha misifa.
Unamapepo ndio yanakuongoza kuandika haya. Sio wewe ni hiyo mipepo iliyomo ndani yako.
 
Back
Top Bottom