mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Na nchi za joto.corona utaikuta Kwa matajiri Tu.watuache
Fikiri nje box.nchi za baridi mbu utafuta kwa kurunzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fikiri nje box.nchi za baridi mbu utafuta kwa kurunzi
Hakuna mzungu anayetulazisha labda huyo muethiopia .wazungu wamesema Kama tunataka chanjo iwatoshe wao afrika labda 2023.Na nchi za joto.corona utaikuta Kwa matajiri Tu.watuache
Si tulisaini mikataba kupenda vya bure.kushindwa kuwajibika kwa raia wake.kama tuna ubavu tujitoe.Wanaomba tarifa Ili iwasaidie nini
Mkuu observation yangu Mimi imeanzia idadi ya vifo wiki mbili zilizopita mpaka sasa. Ukiangalia kwa huo mchanganuo idadi ya vifo duniani imepungua kwa asilimia 6%.Asante sana mkuu, nimefanikiwa kwenda kuona hizo data! Na nimeenda kuangalia data za nchi 'iliyostaarabika na yenye teknololia ya hali ya juu' kukabiliana na majanga ikiwemo hili la Corona. Nchi yenyewe ni US....
Asante mkuu kwa maelezo yako yaliyoshiba. Nia na madhumuni ya hii mjadara ni kutafuta nafuu dhidi ya hili gonjwa. I wish ningemfahamu huyo mama hata kwa jina nifuatilie mijadala yake kuhusu Corona. Kwa uzoefu huo hakika ana jambo tena lenye manufaa kwa jamii ya kimataifa.Mataifa yapi yamepiga hatuwa ya kupunguza maambukizi kama sio Uchina tu! WHO ilihusikanaje kwa udhibiti wa maambukizi ya Corona nchini China - WHO hawahusika lolote zaidi ya propaganda zao za kupigia debe chanjo za Western Big Pharma...
Vaeni barakoa na kufuata utaratibu wa kujikinga.Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Afya Ulimwenguni,Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema WHO haijapokea taarifa yoyote kutoka Tanzania juu ya hatua zinazochukuliwa na serikali kuhusiana na janga la corona...![]()
Kweli mjinga wewe!!Hakuna kitu kama hicho
Acha wazimu wewe.....pambaf mkubwa usiyejitambua!Si tulishawambia hazipo au wanataka za mapapai, mbuzi, fenesi nk
Kawaida ya Kenge,kusikia kwake ni kipondo hadi damu zimtoke masikioni.Tuna Utawala wa ajabu mno.Kauli zinazosikilizwa na za waimba mapambio tu,nyie wa Julia na kusaga meno mtajuana na Mabeberu.Hivi kwa nn wasilichimbe mkwara hili likinjekitile la nyakati zetu?
Naona linabembelezwa tu huku linazidi kutamba na kuzidisha misifa.
Muwe mnaelewa mbwa nyieKwani WHO ikipata taarifa za takwimu za COVID-19 kutoka tz wanasaidiaje? Mbona vifo vimezidi hata huko nchi za ng'ambo?
Mkwara haulitishi maana halitaumia bali sisi wananchiHivi kwa nn wasilichimbe mkwara hili likinjekitile la nyakati zetu?
Naona linabembelezwa tu huku linazidi kutamba na kuzidisha misifa.
NKorea wao wanapelekewa chanjo baada ya kupeleka ombiTaifa la kipekee tukiwa njia moja na North Korea teh teh
Amesahau chanjo zote ambazo watoto wetu hupatiwa huidhinishwa na WHO.Hivi kwanza WHO ina maana gani na kazi zake ni zipi ?
Nadhani ungejua hilo / ukishajua hilo nadhani usingeuliza hili..., By the way Tanzania pia inatengeneza hio WHO yaani ni kama chain ambayo is as strong as its weakest link
Unamapepo ndio yanakuongoza kuandika haya. Sio wewe ni hiyo mipepo iliyomo ndani yako.Hivi kwa nn wasilichimbe mkwara hili likinjekitile la nyakati zetu?
Naona linabembelezwa tu huku linazidi kutamba na kuzidisha misifa.