Mkuu angalia tusije kuharibu dhima ya uzi huu,lakini nitakujibu kwa ufupi tu.Inaonekana hujamaliza kusoma post zangu zilizopita,swali hili nilishalijibu.Ni hivi,....
HIV/AIDS si ugonjwa,si tatizo,si hatari kama wajuavyo wengi.HIV/AIDS ni kasumba tu,hivyo ukiambiwa kwamba umeathirika chukulia kama vile hujaambiwa kitu.Cha msingi,kama unaumwa malaria tibu malaria.kama unaumwa TB tibu TB,kama una kisukari tibu kisukari,kama una cancer tibu cancer nk....hayo ndio magonjwa halisi na yote yana tiba zake,KWISHA!!
Vinginevyo unatakiwa kufuata utaratibu mzuri wa maisha ikiwemo ulaji wa chakula bora na mazoezi.Usithubutu kamwe kutumia ARVs,hili ndilo kosa wanalofanya wengi wakidhani kwamba ARVs ndio mkombozi bila kujua kwamba mwisho wa siku hizihizi ARVs ndizo huwasababishia dalili/magonjwa ambayo ndio yanayowaua(ambayo ndio ukimwi wenyewe) huku wakidhani kwamba HIV ndio chanzo wakati sivyo.
Ukiona mtu anatumia ARVs halafu ana nywele dhaifu/zimenyonyoka au ana vipele kwenye ngozi/anajikuna au amepata kisukari au amepata cancer au ana matatizo ya moyo,figo au ini,au anakuwa na upungufu wa damu/anaemia inabidi ufahamu kwamba matatizo haya yote yanasababishwa na ARVs na si HIV,SAWASAWA?Baadhi ya matatizo haya yameandikwa hata kwenye karatasi iliyowekwa ndani ya kikopo cha dawa za ARVs,soma karatasi ile ya ndani ya kikopo utanielewa ninachozungumza,watu wengi wanaotumia ARVs huwa hawasomi karatasi ile hivyo wengi hawajui wanakula dawa zenye madhara gani.Udhaifu huu wa kutopenda kusoma/kudadisi ndio unaotuua na ndio unaofanya wengi wawe na tabia ya kupinga tu wanapoambiwa mambo kama haya bila kujua hata wanapinga nini.
Kuhusu CD4,ha ha haaaa...ndugu yangu,kuna vitu vingi sana mtaani vinaongeza CD4 ingawa CD4 si ishu ya maana sana.CD4 ni propaganda,soma post zangu utajua tu.Fanya uchunguzi wako utangundua kwamba kuna miti hapo mtaani kwenu au jirani huwa mnaikata/mnaipunguza mkiwa mnafanya usafi,inaitwa milonge.Mbegu za miti hii pia huongeza CD4,nani anapinga?Chunguza mwenyewe utajua tu,kumbe CD4 sio ishu,ha ha haaaaa.Sasa kama ishu ni CD4,halafu mbegu za mlonge zinaongeza CD4 pia,sasa kwanini serikali yetu inaingia gharama kubwa kulipa fedha nyingi kwa kila kikopo kimoja cha ARVs???Jibu la hili swali liko wazi kabisa....
Kuhusu kuacha ARVs ni process kidogo,lakini nilishaeleza kwenye zile post zangu,fuatilia.
Tusiharibu uzi huu,wewe nenda kamalizie post zangu utajua mengi sana.