Mr IQ
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 1,024
- 1,377
we n mweupe au mweusi?Ni maji tu, tumia Kwa wingi. I
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we n mweupe au mweusi?Ni maji tu, tumia Kwa wingi. I
Nielekeze nitakuja sina porojo na sitataka porojoNdg tunakualika karb sana.... kwakuwa maprofessor wetu tunawajua ni wale ambao hawajawaifanya tafiti hata kuandika article moja.
Tutakuhitaji sana porojo hatutaki. its a serious time kwa mwamsho wa mtu mweusi........
Ni kwa vile tumezoeshwa hivyo lakini hakuna ngozi bora kama ngozi nyeusiukweli utabaki kuwa watu weupe ndo wanapendwa sana! Ndio maana wanawake wazuri ambao wanakimbiza kitaa kizima weupe 2 ndo unao wabeba!
Zambarau!we n mweupe au mweusi?
Two way traffic!Kwa hiyo mzungu akinywa maji kwa wingi atakua MWEUSI!
Au hujaelewa somo
kwn we ni mzungu mbona unawasemea wazungu utadhani Kama ulishawai kuwa mzungu au mtu mweupe.....we no mweusi kabisa nakujua maswali yanayowahusu wazungu acha yajibiwe na wazungu wenyeweNever hawaipendi kihivyo bali wanapenda kuoa/kuolewa na weusi na wana sababu zao fulani za kijinga kwamba weusi ni so humble na kiukweli ni wazungu wachache, kama kweli wangeipenda nyeusi kihivyo tayari wangeshafanya mambo
of coz ngozi nyeusi ndo bora but haina mvuto!!Ni kwa vile tumezoeshwa hivyo lakini hakuna ngozi bora kama ngozi nyeusi
bila shaka we n mjaruo tena mweusi Tiii😀Zambarau!
Sijawahi kuona taahira kama hili yani nimekua nikifuatilia michango yake yani ni utumbo mtupu......sijui una umri gani....kwa mfano nimeona unakomaa na neno "tropically" unajua maana yake??![]()
![]()
![]()
"KWA UTAFITI TU MDOGO"
INAONESHA KUWA WATU WOTE NI WEUSI
ila mwili unapokosa baadhi ya Madini au vitu frani Ngozi ndo ya kwanza kuathirika.
Binafsi picha hapo juu zinaniaminisha niseme watu wa namna hiyo huwa hawasikii Maumivu. Zaidi ya kuathirika ki-saikrojia.
Ila mara baada ya madini kurejezwa tena katka miili yao huurejea tena U-orijino wao.
Therefore Hata Mweupe anaweza kuurejea tena U-weusi wake.
BINADAAM WOTE NI WEUSI by Originally
Vinavyo changia kuwa MWEUPE
NI
*Melanin
*Chemical
* Environment ( Tropically)
Mwenyewe Mawazo tofauti na Hayo Achangie hapo chini....
Sijawahi kuona taahira kama hili yani nimekua nikifuatilia michango yake yani ni utumbo mtupu......sijui una umri gani....kwa mfano nimeona unakomaa na neno "tropically" unajua maana yake??
Yaani wewe ukishindwa kutoa msaada badala yake ukashangaa, Sisi tunakushangaa kwanini Umeshangaa.Sijawahi kuona taahira kama hili yani nimekua nikifuatilia michango yake yani ni utumbo mtupu......sijui una umri gani....kwa mfano nimeona unakomaa na neno "tropically" unajua maana yake??
I totally agree with you man wings suits birds and poison is a good wepon kwa Spiderno. evolution is not a progress to perfection.
evolution through natural selection just allows the survival of organisms with characteristics that favour their survival.
circumstances might cause the same characteristics that enabled their survival to actually make them unfit for survival.
and some things are objective. a bird developed wings. a spider developed poison. which is "better" than the other!
Kwanini wazungu wakija Afrika wakioana wenyewe kwa wenyewe wanazaa mzungu badala ya kuzaa mweusi.
The same na Waafrika wakienda Ulaya au Uhindini wakioana wenyewe kwa wenyewe wanazaa mweusi na sio mzungu
huyo mwenye mimba ana bonge la mkia duh!Wapo zeruzeru weupe wanatisha kweli
![]()
![]()
Mi hoja yangu sio rangi ya,ngozi! mbona hata pua , upana wa midomo na muundo wa ngozi ya kope tunatofautiana sana!Mkuu hao wahindi wamekaa miaka mia3 haifiki evolution is a slow process you can't notice in your lifetime it could take 10thousands years wakabadilika wakawa weusi