Hamis Mushi.
Member
- Jan 16, 2016
- 53
- 38
Mm. Nadhani maji ya kunde ndio anawezakua mweusi kwa asilimia kubwa.Hivi siyo kwamba mtu mweupe akitoka sehemu ya joto akahamia sehemu ya baridi rangi yake ubadilika na kuwa mweusi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm. Nadhani maji ya kunde ndio anawezakua mweusi kwa asilimia kubwa.Hivi siyo kwamba mtu mweupe akitoka sehemu ya joto akahamia sehemu ya baridi rangi yake ubadilika na kuwa mweusi?
Mm. Nadhani maji ya kunde ndio anawezakua mweusi kwa asilimia kubwa.
Karne hii,na umasikini huu bado tuna muda na akili za kufikiria haya ??? Then tunalalamika kwa nn hatuendelei ??
I suggest YOU be the one to educate yourself on the scientific uses of the word theory.Do you know that the word NOTHING is practically not valid?You should know that evolution is just a theory and not principle.By the way,do you know the difference between theory and principle?
Jimena unataka kufananisha kikombe na pipa? Kwanza leo ni siku ya kuchill sitaki kabisa kuumiza kichwa...Leo ngoja niipe nafsi ile kitu napenda....tuonane jumataatuuuuuuu
mnepha wewe ni mgeni kwenye haya mambo na una mzuka ndio maana unasema hivi, mimi kwenye hicho kikundi chenu naweza kuwa prof kwakuwa niko kwenye fani for more than 20 yearsKaka naona elimu ya kiuzushi ndio maana unakwama.
siku hizi watu wako conscious sana na mambo yanayowahusu na ktk ukweli tuu watakuelewa Ukianza majibu ya vichochoro utaishia kumpiga mwanao akakushangaa pia kwa nin unempiga.
Nakualita katika kikundi cha Utafiti wakujitegemea wa kuutafuta ukweli ambao umevirigwa kwa malengo maalumu.
Ni mda wa kuandika stories zetu na kuziacha tulizoandikiwa na watu waliokuja jana tu hapa duniani.
Hahahahahaha basi sawaaaa..... Enjoy your weekend
ingia Google mkuu evolution is a slow change from primitive to more advanced stage,it takea milions of years hao wazungu Africa wana moaka 500 au 400 bado sana mutation kutokeaKwanini wazungu wakija Afrika wakioana wenyewe kwa wenyewe wanazaa mzungu badala ya kuzaa mweusi.
The same na Waafrika wakienda Ulaya au Uhindini wakioana wenyewe kwa wenyewe wanazaa mweusi na sio mzungu
mnepha wewe ni mgeni kwenye haya mambo na una mzuka ndio maana unasema hivi, mimi kwenye hicho kikundi chenu naweza kuwa prof kwakuwa niko kwenye fani for more than 20 years
no. evolution is not a progress to perfection.evolution is a slow change from primitive to more advanced stage,
ingia Google mkuu evolution is a slow change from primitive to more advanced stage,it takea milions of years hao wazungu Africa wana moaka 500 au 400 bado sana mutation kutokea
I suggest YOU be the one to educate yourself on the scientific uses of the word theory.
"evolution is just a theory" is a silly argument by people who know NOTHING about evolution.
I do not intend to debate about this topic.
just stop pretending you know much about things you've never read a line about.
LOL you're a mental case.Wewe inawezekana ni mmoja wa wale wanaoamini kwamba;
-Marekani waliwahi kufika mwezini,
Najua una hasira na mimi,lakini itakuwa vyema sana ukifuata ushauri huu,mimi sitajali hasira zako kwangu kwakua najua binadamu ndivyo tulivyo.
.
Evolution iko very slow Asee ikiwa human being hafikishi ata karne kwa sasa ni ngumu kunotice changes ambazo hutokea baada ata ya millennium yani 1000Yrs ahead cheki zamani watu walivyokuwa na nywele nyingi sambamba na kuwa giant miili mikubwa but now je? inshu ya color ni evolution tu ndo inatake place
LOL you're a mental case.
bye
Halafu hua najiuliza kwanini ni rahisi mweusi kua mweupe tena kwa haraka tu, kuliko mweupe kua mweusi?
Wataalamu msaada plz.
Ni maji tu, tumia Kwa wingi. I