ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
OK ndg, 10th Thousands years ni sawa na (10000 miaka)
Kwahiyo nchi kama #Libya Argeria Tunisia nk. Zilizo na miaka 2016 sasa baada ya kufikisha 10000+ Wananchi wake watakuwa Kama Wajaruo ..(weusi)
Ziko AFRICA
Zile ni rangi za rainbow. Actually tunayemuita mtu mweusi ni rangi ya zambarau,kama ambavyo sometimes umewaona watu wa West Africa ni weusi halafu wanakuwa kama vile zambarau. It is a long story. Actually it is a short story.In a far distant universe hawa purple people walileta space ship huku for exploration. Ndipo wakaiona Solar System ilivyoanza. Wakasubiri tu ipoe,halafu wakaweka watu. Watu waliowekwa hapa wametoka wapi? Wametoka kwenye maabara zao,wametengeza watu,wamewaleta hapa. Sisi labda siku moja proficiency yetu itaongezeka tutamtengeneza mtu na kumpeleka kwenye sayari mpya.
wazungu wanafanya tanning. either akae kwenye jua au kuna mchanganyiko wanatengeneza halafu wanajipulizia wanakua brown.
kwanza angalia uwepe wa mwarabu/muhindi.na uwepe wa mzungu mswedish!! Jua lipo uarabuni lakini pia barafu zipo zinatondoka kwa majiraar fulani fulani ya mwakkka so wanapata jua pia na baridi kali tofauti.na sisi wa tropical ambapo ni jua mwanzo mwisho,Ukiizungumzia Africans Jua kuna na Waarabu na wengine wenye ngozi Nyeupe.. Je wao Jua haliwapati...!?
Kwa sababu wanaojichubua hutoa layer ya juu ya ngozi
Lakin mweupe hata akitoa hyo layer,layer inayofuata nayo ni nyeupe
If people are Tropical animals why do those above not change into black...
Nafikili kuna madini mwinili yalipungua wakawa WEUPE
Sio kweli unless unazunguzia mkorogo wanadamu wali devop eastern africa then waka move North towards middle east,Asia and elsewhere.ndio wakapata uweupe usisahau hapa hapa Africa kuna makabila yametoka middle Easter maelfu ya miaka ilopita na wamekuwa weusi refer wasomali na wa EthiopiaHalafu hua najiuliza kwanini ni rahisi mweusi kua mweupe tena kwa haraka tu, kuliko mweupe kua mweusi?
Wataalamu msaada plz.
Paul ScholesKumbe hujifanya wanaipenda kinafki,
Na wakizaa na mweusi, mtoto anatoka na colour flan hv amaizing,
Ila me najiuliza pia, hawa wazungu hawana vinasaba vya albinism kweli! Maana weupe wao hua siuelewi kbs.
Sio kweli unless unazunguzia mkorogo wanadamu wali devop eastern africa then waka move North towards middle east,Asia and elsewhere.ndio wakapata uweupe usisahau hapa hapa Africa kuna makabila yametoka middle Easter maelfu ya miaka ilopita na wamekuwa weusi refer wasomali na wa Ethiopia
Paul Scholes
De Bruyne
Hawa wote ni albino
Hapana mkuu acholes sio albino wala de bruyne ni uweipe wa kawaida ulePaul Scholes
De Bruyne
Hawa wote ni albino
Hapana mkuu scholes sio albino wala de bruyne ni uweupe wa kawaida ulePaul Scholes
De Bruyne
Hawa wote ni albino
Hadithi tu hizochanzo cha weusi ni kutoka kwa Hamu mtoto wa Nuhu baada ya kumzaa kaanani na weupe chanzo chake pia ni kutoka kwa kijana wa Nuhu aitwae Shemu. Maelelezo zaidi ni kutoka kitabu cha mwanzo 6.
Mzee endelea kulala, ulichoandika akieleweki.Zile ni rangi za rainbow. Actually tunayemuita mtu mweusi ni rangi ya zambarau,kama ambavyo sometimes umewaona watu wa West Africa ni weusi halafu wanakuwa kama vile zambarau. It is a long story. Actually it is a short story.In a far distant universe hawa purple people walileta space ship huku for exploration. Ndipo wakaiona Solar System ilivyoanza. Wakasubiri tu ipoe,halafu wakaweka watu. Watu waliowekwa hapa wametoka wapi? Wametoka kwenye maabara zao,wametengeza watu,wamewaleta hapa. Sisi labda siku moja proficiency yetu itaongezeka tutamtengeneza mtu na kumpeleka kwenye sayari mpya.
Zile ni rangi za rainbow. Actually tunayemuita mtu mweusi ni rangi ya zambarau,kama ambavyo sometimes umewaona watu wa West Africa ni weusi halafu wanakuwa kama vile zambarau. It is a long story. Actually it is a short story.In a far distant universe hawa purple people walileta space ship huku for exploration. Ndipo wakaiona Solar System ilivyoanza. Wakasubiri tu ipoe,halafu wakaweka watu. Watu waliowekwa hapa wametoka wapi? Wametoka kwenye maabara zao,wametengeza watu,wamewaleta hapa. Sisi labda siku moja proficiency yetu itaongezeka tutamtengeneza mtu na kumpeleka kwenye sayari mpya.