Why Black People and White People? (Kwanini kuwe na Mtu Mweusi na Mtu Mweupe?)

OK ndg, 10th Thousands years ni sawa na (10000 miaka)

Kwahiyo nchi kama #Libya Argeria Tunisia nk. Zilizo na miaka 2016 sasa baada ya kufikisha 10000+ Wananchi wake watakuwa Kama Wajaruo ..(weusi)

Ziko AFRICA



Mkuu zingatia maelezo ya kisayansi zaidi libya,tunisia Algeria,morocco zipo kaskazini beyond the tropic of cancer as u move north ward ur skin will be more ligther ndio mana wahispania sio weupe kama wa Norway,libya ipo karibu na ulaya kuliko equatorial au tropical Africa mkuu umenisoma bila shaka
 
Melanin inakuwa determine na dna, na dna huwa haibadiliki, hivyo basi mweusi hawexi kuwa mweupe na vise versa yake. Kinachobadilika ni morphological appearance
 



Mkuu Andrew hizo zimekamaa kiporojo zaidi the is no way mtu/watu watoke sayar nyingine kwanza its very doubtful kama kuna intelligent life or even simple life beyond our solar system,a nearest habitable planet beyond our solar system is 20 light years away so emgn it take20 years by speed of light to reach it.alafu acording to Einstein any thing which weight more that a zero gram can travel by the speed of light,sasa the fastest space craft ambayo NASA ili launch mwaka 77 bado ndio imepita sayar ya Uranus so acording to NASA kuifika hiyo sayar ambayo ipo 20light years away it will take 350thousands years by the available spaceship.
 
wazungu wanafanya tanning. either akae kwenye jua au kuna mchanganyiko wanatengeneza halafu wanajipulizia wanakua brown.

Ooh hapo sawa,
Ila nilitaka na wao wawe weusi kama ndugu zetu wanavyobadilika kutoka weusi kwenda weupe.
 
Mkuuu kwanza
Ukiizungumzia Africans Jua kuna na Waarabu na wengine wenye ngozi Nyeupe.. Je wao Jua haliwapati...!?
kwanza angalia uwepe wa mwarabu/muhindi.na uwepe wa mzungu mswedish!! Jua lipo uarabuni lakini pia barafu zipo zinatondoka kwa majiraar fulani fulani ya mwakkka so wanapata jua pia na baridi kali tofauti.na sisi wa tropical ambapo ni jua mwanzo mwisho,
Angalia wahindi wa kaskazini ya India (Aryan ) walivo weupe na wahindi wa kusini(Dravidian )walivo weusi
 
If people are Tropical animals why do those above not change into black...
Nafikili kuna madini mwinili yalipungua wakawa WEUPE

Those above what? Can you elaborate your point?
 
Halafu hua najiuliza kwanini ni rahisi mweusi kua mweupe tena kwa haraka tu, kuliko mweupe kua mweusi?

Wataalamu msaada plz.
Sio kweli unless unazunguzia mkorogo wanadamu wali devop eastern africa then waka move North towards middle east,Asia and elsewhere.ndio wakapata uweupe usisahau hapa hapa Africa kuna makabila yametoka middle Easter maelfu ya miaka ilopita na wamekuwa weusi refer wasomali na wa Ethiopia
 
Kumbe hujifanya wanaipenda kinafki,
Na wakizaa na mweusi, mtoto anatoka na colour flan hv amaizing,

Ila me najiuliza pia, hawa wazungu hawana vinasaba vya albinism kweli! Maana weupe wao hua siuelewi kbs.
Paul Scholes

De Bruyne

Hawa wote ni albino
 

Nilimaanisha mkorogo mkuu.
 
chanzo cha weusi ni kutoka kwa Hamu mtoto wa Nuhu baada ya kumzaa kaanani na weupe chanzo chake pia ni kutoka kwa kijana wa Nuhu aitwae Shemu. Maelelezo zaidi ni kutoka kitabu cha mwanzo 6.
 
chanzo cha weusi ni kutoka kwa Hamu mtoto wa Nuhu baada ya kumzaa kaanani na weupe chanzo chake pia ni kutoka kwa kijana wa Nuhu aitwae Shemu. Maelelezo zaidi ni kutoka kitabu cha mwanzo 6.
Hadithi tu hizo
 
Mzee endelea kulala, ulichoandika akieleweki.
 


"KWA UTAFITI TU MDOGO"

INAONESHA KUWA WATU WOTE NI WEUSI
ila mwili unapokosa baadhi ya Madini au vitu frani Ngozi ndo ya kwanza kuathirika.

Binafsi picha hapo juu zinaniaminisha niseme watu wa namna hiyo huwa hawasikii Maumivu. Zaidi ya kuathirika ki-saikrojia.

Ila mara baada ya madini kurejezwa tena katka miili yao huurejea tena U-orijino wao.

Therefore Hata Mweupe anaweza kuurejea tena U-weusi wake.

BINADAAM WOTE NI WEUSI by Originally

Vinavyo changia kuwa MWEUPE
NI
*Melanin
*Chemical
* Environment ( Tropically)


Mwenyewe Mawazo tofauti na Hayo Achangie hapo chini....
 
Wakati mwingine mtu unaona ni bora Mungu alivyotofautisha, hata pia kwa maeneo wanayoishi, hiv ingekuwaje kama dunia yote watu wangekua weusi wa rangi na akili kama waafrica nani angemfanyia operation ya moyo mwenzake? nani angevumbua technolojia kama simu, ndege nk. Tungebaki kubishana, kuuana na kurogana tu. Maana ndo kaz ya mtu mweusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…