Why CHAUMMA!? Lissu, Lema, Heche et al kutimkia CHAUMMA

Why CHAUMMA!? Lissu, Lema, Heche et al kutimkia CHAUMMA

Kuna habari za kuaminika kabisa,kutoka kwa chanzo tiifu sana ambacho kina ukaribu wa hali ya juu mno na hawa Miamba mitatu……chanzo kinasema kuna makabrasha tayari yapo mezani na Mzee wa “ubweche” ameridhia kwa hiyari kabisa ujio wa hawa watu,tena ameomba astaafu chama awaachie LISSU na wenzake ila mwanae wa kiume (Rungwe JR) na baadhi ya viongozi wa juu hicho wawekwe kwenye kamati kuu ya Chama

Hatua hii inafuatia baada ya kuonekana kwa msigano na mvutano mkubwa sana unaoendelea pale CHADEMA,kwani Mbowe anataka aendelee kuongoza Chama yeye na genge lake,huku wanachama wengi wakimtaka Lissu ila inaonekana ni vigumu sana kwa TAL kushinda kulingana na wajumbe wengi kuwa vibaraka wa Mbowe na waliwekwa kimkakati kabisa

Unaambiwa ndani ya huu mpango wapo John Heche,Godbless Lema etc…..kinachosubiriwa ni hiyo siku ya Uchaguzi wa chama chao,endapo akishindwa TAL basi njia itakuwa ni kwenda kuungana na Hashim Rungwe Sipunda

Naiona CHAUMMA ikienda kuwa Chama kikuu cha upinzani ambacho kitakuwa hakina utapeli au hakina mafungamano na dola

VIVA CHAUMMA VIVA✊🏿
Kama wengi wanamtaka Lissu, asuburi wakutane kwa box kwanza. Ila nasikia kuna wadau wapo mikoani kugawa mshiko ili aliyepo apite.
 
Bado tuna safari ndefu sana kupata upinzani halisi maana wengi wanaoingia ulingoni ni kama wanakuwa na ndoto zao ama maslahi yao binafsi na si kutumikia nchi kama inavyotakiwa..

CCM inalijua hili fika na wao kama wenye dola na pesa. Wataendelea kaviua vyama pinzani kwa formular ile ile hadi akili itukae sawa

CHADEMA kumruhusu Lowassa kuwania urais, iliwaondolea credibility ya kupambana dhidi ya ufisadi na rushwa. Kitu ambacho kiliwapa mass support na ajenda thabiti kama Chama. Leo hii chama kimekosa direction zaidi ya kudandia matukio na kufanya activism iliyopoa. CHADEMA ijitafakari sana
 
Mzee wa Ubweche atakuwa mjumbe wa Kamati ya Mapishi.

Mpishi Mkuu atateuliwa kuwa BICHWA KOMWE -
Karibu kiongozi.
20241221_124359.jpg
 
Kuna habari za kuaminika kabisa,kutoka kwa chanzo tiifu sana ambacho kina ukaribu wa hali ya juu mno na hawa Miamba mitatu……chanzo kinasema kuna makabrasha tayari yapo mezani na Mzee wa “ubweche” ameridhia kwa hiyari kabisa ujio wa hawa watu,tena ameomba astaafu chama awaachie LISSU na wenzake ila mwanae wa kiume (Rungwe JR) na baadhi ya viongozi wa juu hicho wawekwe kwenye kamati kuu ya Chama

Hatua hii inafuatia baada ya kuonekana kwa msigano na mvutano mkubwa sana unaoendelea pale CHADEMA,kwani Mbowe anataka aendelee kuongoza Chama yeye na genge lake,huku wanachama wengi wakimtaka Lissu ila inaonekana ni vigumu sana kwa TAL kushinda kulingana na wajumbe wengi kuwa vibaraka wa Mbowe na waliwekwa kimkakati kabisa

Unaambiwa ndani ya huu mpango wapo John Heche,Godbless Lema etc…..kinachosubiriwa ni hiyo siku ya Uchaguzi wa chama chao,endapo akishindwa TAL basi njia itakuwa ni kwenda kuungana na Hashim Rungwe Sipunda

Naiona CHAUMMA ikienda kuwa Chama kikuu cha upinzani ambacho kitakuwa hakina utapeli au hakina mafungamano na dola

VIVA CHAUMMA VIVA✊🏿
Waende tu hata kesho lakini hatuwezi kuacha CHADEMA mikononi mwa mwanaharakati ambaye atakinukisha kesho anapanda ndege kwenda ulaya! Watanzania hebu tutumie akili zetu vizuri!
 
Kuna habari za kuaminika kabisa,kutoka kwa chanzo tiifu sana ambacho kina ukaribu wa hali ya juu mno na hawa Miamba mitatu……chanzo kinasema kuna makabrasha tayari yapo mezani na Mzee wa “ubweche” ameridhia kwa hiyari kabisa ujio wa hawa watu,tena ameomba astaafu chama awaachie LISSU na wenzake ila mwanae wa kiume (Rungwe JR) na baadhi ya viongozi wa juu hicho wawekwe kwenye kamati kuu ya Chama

Hatua hii inafuatia baada ya kuonekana kwa msigano na mvutano mkubwa sana unaoendelea pale CHADEMA,kwani Mbowe anataka aendelee kuongoza Chama yeye na genge lake,huku wanachama wengi wakimtaka Lissu ila inaonekana ni vigumu sana kwa TAL kushinda kulingana na wajumbe wengi kuwa vibaraka wa Mbowe na waliwekwa kimkakati kabisa

Unaambiwa ndani ya huu mpango wapo John Heche,Godbless Lema etc…..kinachosubiriwa ni hiyo siku ya Uchaguzi wa chama chao,endapo akishindwa TAL basi njia itakuwa ni kwenda kuungana na Hashim Rungwe Sipunda

Naiona CHAUMMA ikienda kuwa Chama kikuu cha upinzani ambacho kitakuwa hakina utapeli au hakina mafungamano na dola

VIVA CHAUMMA VIVA✊🏿
Wapinzani wa kweli wako ndani ya CCM.
 
Huko huko CHAUMMA na dola ipo, watu wa CCM watakuwepo kumsubiri nguli hao wa siasa za upinzani wa kweli. CCM haitalala usingizi itakula sahani moja na mpinzani wao huyo mkubwa anayewanyima usingizi, watakuwa naye popote aendako kukaba hata penati.
 
Back
Top Bottom