Why Facebook Co-Founder Mark Zuckerberg is an Atheist?

Why Facebook Co-Founder Mark Zuckerberg is an Atheist?

Of course utakuwa mjadala wa kilevi.

Kwa sababu umekubali kuwepo kwa mungu anayeweza yote.

Anayeweza kufanya a square circle.

Akaumba ulimwengu ambao yeye mqenyewe hayupo.

Ambao utamfanya awepo na asiwepo kwa wakati huohuo.

Hapo ndipo upumbavu wa habari nzima ya "mungu muweza yote" unapojitokeza.

THEO 101: God is not physical - not located in the sky or elsewhere in space.
Those silly non theist memes will not work with informed people.
 
Of course utakuwa mjadala wa kilevi.

Kwa sababu umekubali kuwepo kwa mungu anayeweza yote.

Anayeweza kufanya a square circle.

Akaumba ulimwengu ambao yeye mqenyewe hayupo.

Ambao utamfanya awepo na asiwepo kwa wakati huohuo.

Hapo ndipo upumbavu wa habari nzima ya "mungu muweza yote" unapojitokeza.

Kwa kuwa kwako Uwezo wote ni pamoja na kutokuweza...
Hizi hoja ni za kilevi mno kuzitumia kwenye mjadala, huna zaidi ya hicho ndugu ?
Hasa ndiyo sababu waandika huku mkono mmoja ukiwa karibu na ignore list kujihami.
Wewe hakika hufundishiki maana unajenga hoja kipumbavu mno ha hupendi kujenga hoja kadri ya hoja unayopewa, hoja ikiwa na maswali hujibu Bali unatengemeza maswali mbadala na kuyajibu ili kuendeleza mjadala wa kilevi.
Hupendi Kabisa kujibu maswali ambayo yangekuwa ndiyo dira ya majadiliano huku ukijibiwa kila upuuzi wako.
 
Of course utakuwa mjadala wa kilevi.

Kwa sababu umekubali kuwepo kwa mungu anayeweza yote.

Anayeweza kufanya a square circle.

Akaumba ulimwengu ambao yeye mqenyewe hayupo.

Ambao utamfanya awepo na asiwepo kwa wakati huohuo.

Hapo ndipo upumbavu wa habari nzima ya "mungu muweza yote" unapojitokeza.

Jifunze kujibu maswali au u Kama programmed machine ?
Kwamba huoni maswali sio kweli.
Kwanini hupendi kujibu Bali wewe ni kurudia rudia pumba zako Kama kasuku ?
Jibu hoja na maswali husika acha ujuha wa kurudia rudia vitu ambavyo umeonyeshwa mapungufu yake.


Uwezo ni kuweza kutenda...
Kutoweza sio uwezo...
 
Jifunze kujibu maswali au u Kama programmed machine ?
Kwamba huoni maswali sio kweli.
Kwanini hupendi kujibu Bali wewe ni kurudia rudia pumba zako Kama kasuku ?
Jibu hoja na maswali husika acha ujuha wa kurudia rudia vitu ambavyo umeonyeshwa mapungufu yake.


Uwezo ni kuweza kutenda...
Kutoweza sio uwezo...

Kwa hiyo mungu anaweza kutoweza?
 
Kwa hiyo mungu anaweza kutoweza?

Unaacha kujibu maswali ulioulizwa ndiyo nawe ulete swali unakurupuka " kuweza hadi kutoweza" labda hakuna mungu ndiye mwenye uwezo wa kutokuweza !
Jifunze kujibu hoja ndiyo nawe ulete hoja...
 
Kwa hiyo mungu anaweza kutoweza?
That must be charles darwin your deity who is now breathless and mindless.

I offered plenty of good arguments and evidence. You will not be able to defeat anything. You just ignore it.
You offered no arguments or evidence to justify non theist belief.
 
Unaacha kujibu maswali ulioulizwa ndiyo nawe ulete swali unakurupuka " kuweza hadi kutoweza" labda hakuna mungu ndiye mwenye uwezo wa kutokuweza !
Jifunze kujibu hoja ndiyo nawe ulete hoja...

Kama uwezo ni kuweza kutenda.

Mungu aliweza kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya?
 
Kama uwezo ni kuweza kutenda.

Mungu aliweza kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya?

You are now lying God Hater. I defeated you on the merits of your very first ignorant statement. I proved you dead wrong.

Nothing like another dishonest non theist hitting the wall. Can you support your malarkey?
 
"Mabaya" ndiyo mambo gani ?
"Mabaya " hupimwaje ?
Nijibu nikusaidie

Mabaya ni yale ambayo yanawafikia watu bila ya watu kutaka na wakashindwa kuyaepuka.

Kifo, magonjwa, matetemeko ya ardhi, tsunami, kubaguliwa,ukiwa,etc.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao haya yanawezekana
wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao haya hayawezekani?
 
Mabaya ni yale ambayo yanawafikia watu bila ya watu kutaka na wakashindwa kuyaepuka.

Kifo, magonjwa, matetemeko ya ardhi, tsunami, kubaguliwa,ukiwa,etc.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao haya yanawezekana
wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao haya hayawezekani?

Wewe ni mindless; kifo ni kibaya kwako Tu, kwa mchimba makaburi na muuza majeneza ni deal. Mindless...
Vivyo. Hivyo kilicho kibaya kwako kijamii ni kizuri kwa mwenzio Kama sio kiuchumi basi hata kisiasa.
Mindless
Kwa hiyo bado hujajibu mabaya ni yepi na ni mabaya kwa nani na kipimo chake nini

Jibu usaidiwe mindless
 
Wewe ni mindless; kifo ni kibaya kwako Tu, kwa mchimba makaburi na muuza majeneza ni deal. Mindless...
Vivyo. Hivyo kilicho kibaya kwako kijamii ni kizuri kwa mwenzio Kama sio kiuchumi basi hata kisiasa.
Mindless
Kwa hiyo bado hujajibu mabaya ni yepi na ni mabaya kwa nani na kipimo chake nini

Jibu usaidiwe mindless

Kwa hiyo mungu kashindwa kuumba ulimwengu ambao mimi, mtengeneza majeneza na mchimba makaburi wote tunapata deal bila mtu kufa?

Unaweza kujirusha ghorofani ili ufe kusudi mchimba kaburi apate deal?

Nani mindless sasa?
 
Mabaya ni yale ambayo yanawafikia watu bila ya watu kutaka na wakashindwa kuyaepuka.

Kifo, magonjwa, matetemeko ya ardhi, tsunami, kubaguliwa,ukiwa,etc.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao haya yanawezekana
wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao haya hayawezekani?

Irrelevant. God is necessary for morality to be objectively real. Not 'belief in God'.
You apprehend moral truth because it exists - despite your non theism. OR, if God doesn't exist, your 'morals' are nothing more than chemically induced illusions having no reality.

Logic matters
 
Kwa hiyo mungu kashindwa kuumba ulimwengu ambao mimi, mtengeneza majeneza na mchimba makaburi wote tunapata deal bila mtu kufa?

Unaweza kujirusha ghorofani ili ufe kusudi mchimba kaburi apate deal?

Nani mindless sasa?

Did God create the earth?!!!

If we are 100% chemical animals and our chemicals cause child rape, why is child rape morally wrong?
Why is the child rapist morally culpable when he has no free-will choice?

Answer the questions?
 
Kwa hiyo mungu kashindwa kuumba ulimwengu ambao mimi, mtengeneza majeneza na mchimba makaburi wote tunapata deal bila mtu kufa?

Unaweza kujirusha ghorofani ili ufe kusudi mchimba kaburi apate deal?

Nani mindless sasa?

Wewe ! Maana huwezi kujibu hoja kulingana na unavyoulizwa
Umeulizwa Mabaya ndiyo vitu gani ?
Umetaja matukio kama vifo, nimekuonyesha namna ambavyo kifo kinaweza kuwa kibaya kwako na kikawa ni Neema kwa mwingine...

Kwanini ujirushe ghorofani ?

Yaani wewe ni mindless perse
 
Kwa hiyo mungu kashindwa kuumba ulimwengu ambao mimi, mtengeneza majeneza na mchimba makaburi wote tunapata deal bila mtu kufa?

Unaweza kujirusha ghorofani ili ufe kusudi mchimba kaburi apate deal?

Nani mindless sasa?

Mindless; Mungu hayupo kwa kuwa "kaumba" ulimwengu usioutaka ?

Do ideas exist or only tangible facts?

I have an idea that a spiritual eternal God is present in my life as love, in this infinite, observable, cosmos.

Do Scientific discoveries like evolution magically appear in books? Or does the creative imagination of countless generations of humans lead one man to put together a theory that explains the origin of species.

God, Godly wisdom, and the nature of a divine creator... is the foundation of our laws, philosophy, music, art, and yes (shudder the thought) science. Our ability to predict the seasons, and understand the heavens, has allowed our species to farm, measure time, record birth , marriage, and death in relation to celestial event.

God is spiritual...

Something for mindless
 
I'm not expecting such a question! You're atheist am Christian, what do you think? as long i believe in the words of God na b'se namwamini Mungu na Mungu huyo huyo ametuambia kuzimu kupo i don't need scientific proof on that.. as long Mungu kasema inatosha sababu Mungu ni zaidi ya kitu chochote

So you sheepishly believe without any backing evidence to prove the story?
 
Kwa hiyo mungu kashindwa kuumba ulimwengu ambao mimi, mtengeneza majeneza na mchimba makaburi wote tunapata deal bila mtu kufa?

Unaweza kujirusha ghorofani ili ufe kusudi mchimba kaburi apate deal?

Nani mindless sasa?
You are mindless.

Where is your refutation of the many evidence I provided?
You dodged them!

Explain how chemical causation is free-will?

Where is your sufficient cause of a Universe which began to exist from physical nothing (per Big Bang, BGV theorem)?

Where is your objective basis for moral truth and duties?

You have failed to answer anything non theist, while I refuted everything you threw at me!

Non theism is mindless!
 
Back
Top Bottom